Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Sasa kweli heaven mmeo nioshe masufuria na beki 3 yupo mjengoni mamsap? Haya tuna mtoto wetu Sarah nae anakupiga tough akitoka shule...Muhimu nitakudekeza tu maana napata likizo ya majukum flani ila kupigishana deki hio labda ujaribu india na ufilipino!
Mmmh nyie hata mbaki wawili ndani ya nyumba na mwenzio anaumwa, still utaambiwa "jikaze tu", ilhali mume ni mzima wa afya na yupo tu. Huko kumdekeza mwenzio si ndo mnaita ufilipino?