Marriage (What it is and why we do it)

Marriage (What it is and why we do it)

Nimemsikia ila tatizo its less practical...siamini kama utaishi na mumeo milele hamjagombana. The guy doesn't give a touch ya hilo...ina maana hajawahi nuniwa na mkewe!?
Kugombana kupo, ni wapi amesema hawajawahi kugombana? Lakini anatufundisha jinsi njia sahihi ya kusuluhisha endapo mtagombana. Wapi amekosea?
 
Kugombana kupo, ni wapi amesema hawajawahi kugombana? Lakini anatufundisha jinsi njia sahihi ya kusuluhisha endapo mtagombana. Wapi amekosea?
Kwahio ye ni kungwi eeh...ha ha ha ha!
 
Na ndoa ni watu wawili, hawa wao wanataka kuona mwanamke anapambana kuijenga wao pembeni tu wanakuna pmb
Yaani ni upuuzi uliopitiliza, utakuta mtu anasema mke ajishushe, amuombee mumewe na mambo mengi kibao mke ndo afanye jitihada za kuimarisha penzi, wakati huo mume karelax akitegemea mke yupo atanivumilia upuuzi wangu. Na hafanyi jitihada zozote za kuboresha mahusiano
 
Kwahio ye ni kungwi eeh...ha ha ha ha!
Unaweza kusema hivyo. Asipotokea wa kutufundisha na kutuelekeza unadhani itakuaje? Tunahitaji watu kama hao maana si kila kitu tunajua.
 
Nimemsikia ila tatizo its less practical...siamini kama utaishi na mumeo milele hamjagombana. The guy doesn't give a touch ya hilo...ina maana hajawahi nuniwa na mkewe!?
Mke akinuna unafanya marekebisho kuondoa huo mnuno, sio akinuna nawe unanuna, unaenda kucheka na washkaji bar hao sio wake zako
 
Mauki ni mwanasaikolojia na mshauri wa mahusiano. Mnadhani kuna siku atasema ndoa ni mbaya?. Y'all get serious.
Halafu kupata mtu mnaeendana katika mambo mbalimbali ndio mzizi wa maelewano. WaTZ inabidi muelewe, kama mnaweza kuzaliwa katika familia moja, lakini ndugu mkawa tofauti kabisa; unafikiri ni rahisi kumbadilisha mwenzako?.
Lets get real here, huwezo ukambadilisha mwenzako katika mahusiano, au wewe kujibadilisha ili ya-work out. Mnaoana miaka ya 20-30, umeshakuwa sugu wa tabia yako.
This isn't telemundo. People dont change. Ila pale mnapoendana kimitazamo, ndipo mnakuwa katika mahusiano hai.
Inabidi ikumbukwe utaishi na mtu huyo mpaka kifo kiwatenganishe, hivyo ni vizuri kuwa makini kwa sababu baada ya muda utachoka ku-pretend, na kurudi to your original self.
Stop this bullshit of nani anakosea na nani yupo sahihi.
The problem is, mliingia kwa sababu mnapendana TU, na sio kwa sababu mnaendana.
Face it, y'all, Love dies. Hivyo kumbuka ndoa isifungwe kwa ajili ya mapenzi TU.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo na nyinyi rafiki yako akikutaka basi na urafiki unauvunja! Best yako damu in ngumu kukuvua pichu na kukutelekeza! Muwe mnawakubalia tujenge ndoa njema Kwa ustawi wa familia zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itokee na yeye kakupenda. Usilazimishe. Sio kila best friend anaweza akawa mke/mume
 
Amebahatika kupata mke ambae wanaelewana. Goal yao kuhakikisha ndoa yao inadumu. Na sidhani kama wapo perfect bali wanajitahidi kufundisha yale yanayofundishika. Tatizo wanaume hampendi kujifunza mpo mpo tu. Jengeni ndoa zenu bana
Khaa ujue jana niliona ule uzi nikabaki natoa tu macho, wanaume wengi ni wabinafsi jamani. Kisa mambo mengi anayoongea Chris ni ya kuwapa furaha wanawake basi ndo wanamshambulia. Ingekuwa anasema wanawake wabebeni waume zenu migongoni ili wasichepuke ungewaona ambavyo wangechekelea, wanavyojikuta walemavu wa viungo sasa. Ukija uzi humu wa kuwakumbusha wanawake wanajazana hao na kujichekesha "eeh umeolewa, huna mdogo ako", mtcheew. Subiri uje uzi wa kuwakumbusha wanaume sasa "ooh tamthilia sijui biashara sijui ndoa za insta". Yani Chris hata kama anavyoishi ndani ni tofauti kidogo lakini you can still see he is trying, nani asiyependa mume wake amuappreciate like he does?
 
Itokee na yeye kakupenda. Usilazimishe. Sio kila best friend anaweza akawa mke/mume
Mpk amekuwa rafiki means mnapendana kama marafiki. Mmoja akipata hisia za mapenzi kwa mwingine basi mpeane nafasi Mara nyingi things start to work out.. Wengi huvunja urafiki na kuona mwenzie amemdharau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khaa ujue jana niliona ule uzi nikabaki natoa tu macho, wanaume wengi ni wabinafsi jamani. Kisa mambo mengi anayoongea Chris ni ya kuwapa furaha wanawake basi ndo wanamshambulia. Ingekuwa anasema wanawake wabebeni waume zenu migongoni ili wasichepuke ungewaona ambavyo wangechekelea, wanavyojikuta walemavu wa viungo sasa. Ukija uzi humu wa kuwakumbusha wanawake wanajazana hao na kujichekesha "eeh umeolewa, huna mdogo ako", mtcheew. Subiri uje uzi wa kuwakumbusha wanaume sasa "ooh tamthilia sijui biashara sijui ndoa za insta". Yani Chris hata kama anavyoishi ndani ni tofauti kidogo lakini you can still see he is trying, nani asiyependa mume wake amuappreciate like he does?
Na pia anaongea mambo mengi tu kuhusu wanawake na mengine yanachoma kama pasi lkn sie tunapokea ushauri bila kulalamika.
 
Mnadhani kuna siku atasema ndoa ni mbaya?.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ndoa sio mbaya, hakuna kitu ambacho Mungu alikitengeneza afu akakiona ni kibaya,; vyote alivyovitengeneza Mungu ni vyema machoni pake including ndoa. Na hakuna taasisi ambayo Mungu ameiheshimisha kama ndoa. Ndo maana hata akaufananisha uhusiano wa mume na mke, na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Sisi wanandoa ndo tunaijitahidi kuidharaulisha na kuitukanisha ndoa kutokana na matendo yetu. Angalau hata kina Chris wa najitahidi kuonesha kuwa pamoja na chagamoto zote, still Ndoa ni kitu chema sana, so tushirikiane kuzipa uhai ndoa zetu.
 
Huenda amebahatika kupata ndoa nzuri anataka auaminishe umma kuwa ndoa nyingi ni pepo, but kiuhalisia majority ya ndoa za ki tz ni hell!
Ndoa kuwa imara si bahati tu. Lazima kuwe na mawasiliano mazuri ili muweze kuifanya izidi kuimarika. Wengi hawafanyi juhudi za kuimarisha zaidi ya kulumbana na lawama pindi tatizo linapojitokeza.

Lakini kuna wengine ambao hawana chemistry wamekutana tu bahati mbaya, hao maelewano ni shida tupu.

-Silasc-
 
Back
Top Bottom