life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,031
Kukinai na ulichonacho; Yaani unakula nyama choma sahani full....Halafu mara unatazama sahani ya mwenzio !! Vipi hapo? haya mamboz yapo very common kwa marijali..... Jamenii fungukeni mutupe taswira za mujini.