steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,572
- 10,278
Hata bila kuwa refa mimi wapinzani mmejikita zaidi mijini nalo pia kuna kijani kibao,hao maridhiano ni ya nn sasa wakati mnapiga za uso kila mahali,unadhani zenji na hapa hali ya ushindani ni sawa?Refa wewe na mshindani wewe na bado mnao ujasiri wa kujikiia washindi.
Mbona maridhiano haya ni kwa wazanzibari tu? Humuoni Mh. Zitto alivyopwaya kwenye hiyo hafla?