Maridhiano: Zanzibar wanapofanikiwa, Bara tunakwama Wapi?

Refa wewe na mshindani wewe na bado mnao ujasiri wa kujikiia washindi.

Mbona maridhiano haya ni kwa wazanzibari tu? Humuoni Mh. Zitto alivyopwaya kwenye hiyo hafla?
Hata bila kuwa refa mimi wapinzani mmejikita zaidi mijini nalo pia kuna kijani kibao,hao maridhiano ni ya nn sasa wakati mnapiga za uso kila mahali,unadhani zenji na hapa hali ya ushindani ni sawa?
 
Wazanzibar siku zote wanavurugwa na upande wa bara

Huku Watanganyika hatupendani, ndo maana alipoingia tu madarakani akawatoa wazanzibar wenzake uhamsho, wakati huo huo watanganyika wanamtengenezea mtanganyika mwenzao kesi ya ugaidi na walitaka kumuua Lissu kisa kutofautiana mitizamo ya kisiasa

Zanzibar hii iliyovurugika ni Zanzibar rais JMT akiwa mbara:



Imetokea hivyo na Nyerere, Mkapa, Kikwette na Magufuli. Lakini ikawa tofauti na Mwinyi na leo Samia.

Zanzibar inavurugwa na uwepo wa marais wabara JMT. Itakuwa mibara ina roho za aina yao.

Bila shaka mama naye kaamua kuangalia maslahi yake. Yanini kumwamsha Simba aliyelala?
 
Hata bila kuwa refa mimi wapinzani mmejikita zaidi mijini nalo pia kuna kijani kibao,hao maridhiano ni ya nn sasa wakati mnapiga za uso kila mahali,unadhani zenji na hapa hali ya ushindani ni sawa?

Kama upinzani wamejikita mijini wasiwasi wenu nini kuridhia tume huru? Si mtashinda tu nyie mliojizatiti?

Kwani wasiwasi wenu nyie nini hadi makubaliano kujiweka kwenye mazingira ya kujiweka kwenye ushindani dhwalimu usiokubalika hata na mtoto mdogo?
 
Kama upinzani wamejikita mijini wasiwasi wenu nini kuridhia tume huru? Si mtashinda tu nyie mliojizatiti?

Kwani wasiwasi wenu nyie nini hadi makubaliano kujiweka kwenye mazingira ya kujiweka kwenye ushindani dhwalimu usiokubalika hata na mtoto mdogo?
Tukubaliane na nyinyi nini wakati nyie ni washindwa tu,Tume hata ikiwa huru kama mnavyotaka hamna uwezo wa kuongoza nchi nyie,mtatuuza tu,kuliko nchi mchukue nyinyi bora tutawaliwe na jeshi kuliko nyie vibaraka wa mabeberu
 
Tukuliane na nyinyi nini wakati nyie ni washindwa tu,Tume hata ikiwa huru kama mnavyotaka hamna uwezo wa kuongoza nchi nyie,mtatuuza tu,kuliko nchi mchukue nyinyi bora tutawaliwe na jeshi kuliko nyie vibaraka wa mabeberu
Umma ndo utaamua
 
Tukubaliane na nyinyi nini wakati nyie ni washindwa tu,Tume hata ikiwa huru kama mnavyotaka hamna uwezo wa kuongoza nchi nyie,mtatuuza tu,kuliko nchi mchukue nyinyi bora tutawaliwe na jeshi kuliko nyie vibaraka wa mabeberu

Kwani wewe nani mjomba? Kulikoni kunipa umuhimu usiokuwa nao?
 
Kwani hapa kuna haja ya kujua nani ni nani?

Huo utambulisho kwenye red yumkini ni kupoteza uelekeo:

IMG_20211107_123408_877.jpg
 
Back
Top Bottom