Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Ukweli upo wazi kuwa watu waliuwawa ili wanaCCM wanamtandao waendelee kuiba rasimali za nchi.
Kiongozi mkuu wa CCM akiri wazi kuwa hatukupoteza ndugu zetu kwa kufariki by natural death ila kwa sababu watu walishaukataa utawala wa CCM.
Tundu Lissu aachiwe sababu hakuna kesi. Mahakama iishasema ushahidi ni batili hauwezi kupokelewa mahakamani
Kwa nini haachiwi?
Maridhiano sio suala dogo.
Kiongozi mkuu wa CCM akiri wazi kuwa hatukupoteza ndugu zetu kwa kufariki by natural death ila kwa sababu watu walishaukataa utawala wa CCM.
Tundu Lissu aachiwe sababu hakuna kesi. Mahakama iishasema ushahidi ni batili hauwezi kupokelewa mahakamani
Kwa nini haachiwi?
Maridhiano sio suala dogo.