Maria Tsehai acha upotoshaji kusema Lissu hajalipwa stahiki zake ili achangiwe kununua V8, VXR nyingine

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,384
22,967
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa sababu Lissu mwenyewe alishakiri kulipwa stahiki zake zote na serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama Samia. Soma uzi huo hapo.

- Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Kusema kwamba Lissu anakodisha gari kwa pesa nyingi ni uhuni mwingine wa CHADEMA chini ya Mbowe. Naibu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kukosa gari la kupewa na chama ni aibu isiyoelezeka. Michango ya Join The Chain ingetosha kununua gari la kiongozi kama Lissu. Mbowe anafakamia ruzuku kumbe kiongozi wake anakodi gari kwa pesa nyingi. Yale magari ya M4C huwa yana kazi gani kama Lissu hana gari. Au Lissu alikataa double cabin akataka LC300?

Ninawasihi watanzania msiingie kwenye huo uhuni wa kuchangia mambo ya kipuuzi. Lissu ni tajiri anayeweza kumudu kusomesha watoto Marekani na kuwahudumia kwahiyo hashindwi kujinunulia hata Prado ya 50m. Pia kama Mbowe aliweza kuchangisha zaidi ya Tsh 400m kumnunulia gari la kifahari Askofu wa chama chake hashindwi kukusanya matajiri wenzake na kuwachangisha 400m kumnunulia Lissu gari la kifahari baada ya kusumbua nyumbu wenye hali ngumu kimaisha.

Kwenye maandamano yenu mmekuwa mkiongelea ugumu wa maisha sasa inakuwaje mnataka kuwakamua tena wananchi hela zao kidogo ili kumfurahisha Lissu kwa gari la anasa? Nyie mkiingia madarakani mtakuwa wabaya mara 10 ya CCM mnaotulaumu.

Screenshot_20240517-211503_Instagram.jpg
 
Mimi ntachanga mkuu Lissu namkubali Sana kiukweli hayo maneno yako hayana logic za msingi

Nimekuona mjinga Sana ulipowaita binadamu wenzako nyumbu hii inaashiria haujitambui na hauna hekima na utu dhidi ya binadamu wenzako.

Kumuita MTU nyumbu kisa kuwa chadema ni akili za kijinga Sana.

Na hii inaonesha wazi Una chuki binafsi na watu waliokuzidi kila kitu.
 
Wewe inakuuma nini tukiamua kumchangia sisi (na tutafanya hivyo)?

Wewe una uthibitisho gani kuwa alishalipwa stahiki zake?

Unaleta ushahidi wa mabandiko ya JF kutoka kwa LB7000 mnayojitekenya na kucheka nayo wenyewe huko Lumumba kama uthibitisho wa kulipwa stahiki zake?

Hizo ulizo nazo unadhani ni akili kweli au ndiyo upuuzi wenyewe ulionao wewe MamaSamia2025?
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa

View attachment 2992838
Kwani huyo Maria Sarungi ndiye msemaji wa Chadema? Yeye ametoa maoni yake wala hujalazimishwa kuchangia. Umasikini wako tu ndiyo unakutesa. CCM mumeshindwa kujibu hoja zake ndiyo kila fala wa ccm anaanzisha uzi kumhusu Lissu ili aonekane kuwa kada mtiifu.
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo

Wewe ni mwongo. Lisu hajawahi kutamka hata mara kuwa amelipwa stahiki zake zote. Mara kadhaa ametamka kuwa Rais Samia aliwezesha kulipwa mafao yake ya ubunge, na pia alipewa passport mpya baada ya ile ya mwanzo kupotea. Lisu amerudia mara nyingi kutamka hajawahi kurudishiwa hata shilingi ya gharama ya matibabu. Kwa hiyo kusema alilipwa stahiki zake ZOTE ndipo ulipo uwongo wako.
 
Mimi nitachangia tena kiroho saafi kabisa.
Wengi tutachangia. Maana madhira yaliyompata Lisu yalitokana na ushujaa wake wa kulinda uhuru wa maoni wwa Mtamzania. Hakukubali haki hiyo iporwe na mtu yegote hata kama ana mamlaka makubwa kiasi gani.

Andiko la mleta mada, ukilisoma unajua kabisa limetoka kwa mtu mwenye upeo wa kiasi gani. Mtu kama huyu ni wa kumwonea huruma tu, sidhani kama hata yeye alipenda awe hivyo.
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa sababu Lissu mwenyewe alishakiri kulipwa stahiki zake zote na serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama Samia. Soma uzi huo hapo.

- Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Kusema kwamba Lissu anakodisha gari kwa pesa nyingi ni uhuni mwingine wa CHADEMA chini ya Mbowe. Naibu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kukosa gari la kupewa na chama ni aibu isiyoelezeka. Michango ya Join The Chain ingetosha kununua gari la kiongozi kama Lissu. Mbowe anafakamia ruzuku kumbe kiongozi wake anakodi gari kwa pesa nyingi. Yale magari ya M4C huwa yana kazi gani kama Lissu hana gari. Au Lissu alikataa double cabin akataka LC300?

Ninawasihi watanzania msiingie kwenye huo uhuni wa kuchangia mambo ya kipuuzi. Lissu ni tajiri anayeweza kumudu kusomesha watoto Marekani na kuwahudumia kwahiyo hashindwi kujinunulia hata Prado ya 50m. Pia kama Mbowe aliweza kuchangisha zaidi ya Tsh 400m kumnunulia gari la kifahari Askofu wa chama chake hashindwi kukusanya matajiri wenzake na kuwachangisha 400m kumnunulia Lissu gari la kifahari baada ya kusumbua nyumbu wenye hali ngumu kimaisha.

Kwenye maandamano yenu mmekuwa mkiongelea ugumu wa maisha sasa inakuwaje mnataka kuwakamua tena wananchi hela zao kidogo ili kumfurahisha Lissu kwa gari la anasa? Nyie mkiingia madarakani mtakuwa wabaya mara 10 ya CCM mnaotulaumu.

View attachment 2992838
Sisi hela zetu tutamchangia Lisu ananunue gari, ww na wenzako za kwenu kachangieni kwenye mbio za mwenge wa Uhuru.
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa sababu Lissu mwenyewe alishakiri kulipwa stahiki zake zote na serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama Samia. Soma uzi huo hapo.

- Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Kusema kwamba Lissu anakodisha gari kwa pesa nyingi ni uhuni mwingine wa CHADEMA chini ya Mbowe. Naibu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kukosa gari la kupewa na chama ni aibu isiyoelezeka. Michango ya Join The Chain ingetosha kununua gari la kiongozi kama Lissu. Mbowe anafakamia ruzuku kumbe kiongozi wake anakodi gari kwa pesa nyingi. Yale magari ya M4C huwa yana kazi gani kama Lissu hana gari. Au Lissu alikataa double cabin akataka LC300?

Ninawasihi watanzania msiingie kwenye huo uhuni wa kuchangia mambo ya kipuuzi. Lissu ni tajiri anayeweza kumudu kusomesha watoto Marekani na kuwahudumia kwahiyo hashindwi kujinunulia hata Prado ya 50m. Pia kama Mbowe aliweza kuchangisha zaidi ya Tsh 400m kumnunulia gari la kifahari Askofu wa chama chake hashindwi kukusanya matajiri wenzake na kuwachangisha 400m kumnunulia Lissu gari la kifahari baada ya kusumbua nyumbu wenye hali ngumu kimaisha.

Kwenye maandamano yenu mmekuwa mkiongelea ugumu wa maisha sasa inakuwaje mnataka kuwakamua tena wananchi hela zao kidogo ili kumfurahisha Lissu kwa gari la anasa? Nyie mkiingia madarakani mtakuwa wabaya mara 10 ya CCM mnaotulaumu.

View attachment 2992838
Kwenye issue za cdm mnakuwa wakali mbona ccm mnatuibia kwenye report ya cag hujajawahi kuwa mkali hivi

Bandari zinauzwa uko kimya
Mbuga zimeuzwa uko kimya,
wake wa wastasfu wamejipa mafao uko kimya

Lakini lissu kulipwa haki zake ndo unakuwa mkali kama mbogo

Mi nadhani alipwe na fidia kubwa zaidi + interest mpaka leo
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa sababu Lissu mwenyewe alishakiri kulipwa stahiki zake zote na serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama Samia. Soma uzi huo hapo.

- Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Kusema kwamba Lissu anakodisha gari kwa pesa nyingi ni uhuni mwingine wa CHADEMA chini ya Mbowe. Naibu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kukosa gari la kupewa na chama ni aibu isiyoelezeka. Michango ya Join The Chain ingetosha kununua gari la kiongozi kama Lissu. Mbowe anafakamia ruzuku kumbe kiongozi wake anakodi gari kwa pesa nyingi. Yale magari ya M4C huwa yana kazi gani kama Lissu hana gari. Au Lissu alikataa double cabin akataka LC300?

Ninawasihi watanzania msiingie kwenye huo uhuni wa kuchangia mambo ya kipuuzi. Lissu ni tajiri anayeweza kumudu kusomesha watoto Marekani na kuwahudumia kwahiyo hashindwi kujinunulia hata Prado ya 50m. Pia kama Mbowe aliweza kuchangisha zaidi ya Tsh 400m kumnunulia gari la kifahari Askofu wa chama chake hashindwi kukusanya matajiri wenzake na kuwachangisha 400m kumnunulia Lissu gari la kifahari baada ya kusumbua nyumbu wenye hali ngumu kimaisha.

Kwenye maandamano yenu mmekuwa mkiongelea ugumu wa maisha sasa inakuwaje mnataka kuwakamua tena wananchi hela zao kidogo ili kumfurahisha Lissu kwa gari la anasa? Nyie mkiingia madarakani mtakuwa wabaya mara 10 ya CCM mnaotulaumu.

View attachment 2992838
Sisi wazalendo tutamchangia!!! Kama haikuhusu tuliza talko
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa sababu Lissu mwenyewe alishakiri kulipwa stahiki zake zote na serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama Samia. Soma uzi huo hapo.

- Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Kusema kwamba Lissu anakodisha gari kwa pesa nyingi ni uhuni mwingine wa CHADEMA chini ya Mbowe. Naibu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kukosa gari la kupewa na chama ni aibu isiyoelezeka. Michango ya Join The Chain ingetosha kununua gari la kiongozi kama Lissu. Mbowe anafakamia ruzuku kumbe kiongozi wake anakodi gari kwa pesa nyingi. Yale magari ya M4C huwa yana kazi gani kama Lissu hana gari. Au Lissu alikataa double cabin akataka LC300?

Ninawasihi watanzania msiingie kwenye huo uhuni wa kuchangia mambo ya kipuuzi. Lissu ni tajiri anayeweza kumudu kusomesha watoto Marekani na kuwahudumia kwahiyo hashindwi kujinunulia hata Prado ya 50m. Pia kama Mbowe aliweza kuchangisha zaidi ya Tsh 400m kumnunulia gari la kifahari Askofu wa chama chake hashindwi kukusanya matajiri wenzake na kuwachangisha 400m kumnunulia Lissu gari la kifahari baada ya kusumbua nyumbu wenye hali ngumu kimaisha.

Kwenye maandamano yenu mmekuwa mkiongelea ugumu wa maisha sasa inakuwaje mnataka kuwakamua tena wananchi hela zao kidogo ili kumfurahisha Lissu kwa gari la anasa? Nyie mkiingia madarakani mtakuwa wabaya mara 10 ya CCM mnaotulaumu.

View attachment 2992838
Mkuu, pili pili usioila yakuashia nini?? Hayo ni maamuzi yao, kwa mapenzi yao, wewe kinachokuuma ni nini?? Acha roho mbaya!! Hajalazimishwa mtu!
 
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili kumrahisishia shughuli zake. Huo ni uongo kwa sababu Lissu mwenyewe alishakiri kulipwa stahiki zake zote na serikali ya awamu ya 6 chini ya Mama Samia. Soma uzi huo hapo.

- Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Kusema kwamba Lissu anakodisha gari kwa pesa nyingi ni uhuni mwingine wa CHADEMA chini ya Mbowe. Naibu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kukosa gari la kupewa na chama ni aibu isiyoelezeka. Michango ya Join The Chain ingetosha kununua gari la kiongozi kama Lissu. Mbowe anafakamia ruzuku kumbe kiongozi wake anakodi gari kwa pesa nyingi. Yale magari ya M4C huwa yana kazi gani kama Lissu hana gari. Au Lissu alikataa double cabin akataka LC300?

Ninawasihi watanzania msiingie kwenye huo uhuni wa kuchangia mambo ya kipuuzi. Lissu ni tajiri anayeweza kumudu kusomesha watoto Marekani na kuwahudumia kwahiyo hashindwi kujinunulia hata Prado ya 50m. Pia kama Mbowe aliweza kuchangisha zaidi ya Tsh 400m kumnunulia gari la kifahari Askofu wa chama chake hashindwi kukusanya matajiri wenzake na kuwachangisha 400m kumnunulia Lissu gari la kifahari baada ya kusumbua nyumbu wenye hali ngumu kimaisha.

Kwenye maandamano yenu mmekuwa mkiongelea ugumu wa maisha sasa inakuwaje mnataka kuwakamua tena wananchi hela zao kidogo ili kumfurahisha Lissu kwa gari la anasa? Nyie mkiingia madarakani mtakuwa wabaya mara 10 ya CCM mnaotulaumu.

View attachment 2992838
Acha kupangia watu matumizi ya pesa zao. Kama wewe hutachangia, kaa kimya. Hujalazimishwa.

Mbona miaka nenda nyinyi Maccm mnatulazimisha Watanzania kuchangia hela kwa ajili ya mbio za mwenge! Unataka kusema serikali yako haina hela?

Halafu hoja zako nyingi ni za kipuuzi. Unaongele habari ya Prado na Toyota Hilux za M4C! Wewe viongozi wako wanatumia hayo magari kwenye shughuli zao za kila siku?

Unahoji habari ya matumizi ya fedha za ruzuku na bla bla nyingine!! Wewe na serikali yako mna lipi jema? Kila sehemu ndani ya serikali kunanuka ufisadi na upigaji!

Acha unafiki aisee.
 
Swala la kumchangia Lisu sio jambo la chadema ni utu wa mtu na jinsi alivyo guswa na tukio lile na namna Lisu alivyo pambana tangu akiwa bungeni kuhakikisha haki na usawa kwa Watanzania na ndio maana hata sisi tusiokua mashabiki wa chama chochote kile cha siasa tutachanga iwapo ataomba mchango, lakini kwakua wana ccm hamna akili timamu unataka uwapangie watu matumizi ya pesa zao, nyie mbona mmekua mna jichanga kuwachukulia fomu wagombea ccm na wakati Wana pesa kwa hiyo na nyie ni nyumbu ? shenzi kabisa nyie
 
Back
Top Bottom