Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,188
- 12,364
Na tumbo lake piaNi nakosa kumuita Halima mzee
It is defamation of high degree kufanya hivyo. Achana myth ya aina hiyo.
Hata hivyo kwenye kusimamia Nini, mimi naona anasimamia usaliti.
Na tumbo lake piaNi nakosa kumuita Halima mzee
It is defamation of high degree kufanya hivyo. Achana myth ya aina hiyo.
Hata hivyo kwenye kusimamia Nini, mimi naona anasimamia usaliti.
Acha wivu, wao "duo" achana nao...bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi!You are terribly off the mark my child. If we need knowledge, we don't have to depend on individuals but instead we must depend on institutions. Shall the issue be knowledge...
Shangazi ni icon namkubari sanaMaria Sarungi - yupo very calm anapokuwa na hoja, anasikiliza na anaeleza kwa utulivu sana. Ana msimamo,uelewa na hana kiburi/ujivuni. Si mtaalamu wa sheria but yupo smart...
Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
Sasa mbona we ndo kilazaUnatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
Siyo kujiamini.Inawezekana uelewa wake wa sheria ndio unampa confidence, anajiamini coz anajua amewaweka kwenye mfuko wa shati mawakili wote wa serikali.
Nami nimemshangaaUnataka kujenga hoja gani apo
Be realistic, uccm usikutoe ufahamu na welediSimply kusema kuwa hawa hawana sifa yoyote ya kupoteza muda kuwajadili katika jamii.
ToothpickNa Mzee Mdee je anasimamia nini?
Professors are individuals anyway!You are terribly off the mark my child. If we need knowledge, we don't have to depend on individuals but instead we must depend on institutions. Shall the issue be knowledge, are these girls universities or individuals?....
sio kila jambo linahitaji kueleweka kwa haraka.Uzito wa vichwa vyenu kuelewa mambo kwa haraka ndio unamsababisha awatolee povu.
Fatma kibriMaria Sarungi - yupo very calm anapokuwa na hoja, anasikiliza na anaeleza kwa utulivu sana. Ana msimamo,uelewa na hana kiburi/ujivuni. Si mtaalamu wa sheria but yupo smart.
Fatma Karume - Ana Jazba, mihemko si mzungumzaji mtulivu ana lack comm skills kwa kutumia maneno ya makwazo au ya kutaka kuonesha she is strong. Anajishuku sana kama mwanamke. Ni very feminist. Ila anaifaham sheria na anapenda kusimamia anachoamini.
Yes prof are individuals who work for the institutions.Professors are individuals anyway!
Ni nakosa kumuita Halima mzee.
It is defamation of high degree kufanya hivyo. Achana myth ya aina hiyo.
Hata hivyo kwenye kusimamia Nini, mimi naona anasimamia usaliti.
Kweli we komeo🤣🤣 Tena la chumaa, maana chuma haibadiliki😂😂Maria Sarungi - yupo very calm anapokuwa na hoja, anasikiliza na anaeleza kwa utulivu sana. Ana msimamo,uelewa na hana kiburi/ujivuni. Si mtaalamu wa sheria but yupo smart.
Fatma Karume - Ana Jazba, mihemko si mzungumzaji mtulivu ana lack comm skills kwa kutumia maneno ya makwazo au ya kutaka kuonesha she is strong. Anajishuku sana kama mwanamke. Ni very feminist. Ila anaifaham sheria na anapenda kusimamia anachoamini.