Kuongoza nchi kwa sababu umemfuatilia tweeter!!!!????
Seriously ndio urais umekuwa hivi sasa???!!!
Asee. .,. . . . . . !!!!!
Maria ndie "kamuoa" huyo MuEthiopia. Si unaona wanaishi Tanzania? Unacheza na binti wa Kiluo wewe!Kwa hiyo mmeamua kuiuza nchi kwa Waethiopia???
mkuu OLESAIDIMU, mimi nimeshangaa na kusikitika sana kwa maoni ya huyu mkuu hapo juu. ndio maana kila mtu anaona kuwa anaweza kuwa rais wa tz,ni kutokana na akili fupi za baadhi yetu watz.mtu anafaa kuwa kiongozi sababu ya tweets zake tu!!!Kwa mtindo huu,basi JF ina watu wengi sana wenye uwezo wa kuwa rais wa tz.
Tuache utani na hii taasisi,vinginevyo tutaendelea kuongozwa na watu wa aina ya ''sura nzuri'',na ''tabasamu pana''.
Kila mtu na mtazamo wake! Wanawake kuwatawala/kuwaongoza Wanaume ni CHUKIZO mbele za Mungu! Wanawake ni mashetani wamekuwa wakitumika kudhambisha wengine! Ndiyo maana Mungu hakupenda wawe viongozi wa kuwaongoza Wanaume! Mahala popote panapoongozwa na Wanawake huwa hapakosi mapungufu, na mara zote uongozi wa Wanawake ni wa kihisia, wanapopingwa mitazamo yao au wakishindwa kwa hoja huwa wanahisi kudharauliwa "...au mnanidharau kwavile mimi ni mwanamke!?" na maneno mengine kama hayo! Kiukweli mwanamke hawezi kubalance hasira/mihemko yake kwa watu ambao wapo upande tofauti na mtazamo wake! Chunguza uone Bungeni, Serikalini, Mahakamani au kwenye Sekta binafsi kama kwenye Mabenki! Viongozi(ma-manager) Wanawake mara nyingi huwa hawako sawa kwenye uongozi wao! Sikatai wapo wanaofanya vizuri maeneo yao, ila wengi wao huwaharibia wenzao! Mifano ipo mingi inayoonesha kuwa wanawake hawawezi sio tu kuongoza bali wameshindwa na wameonesha kuwa hawawezi hata wakiwezeshwa! Eg Spika na mawaziri wengi tu Wanawake wameshindwa!
Watu kama huyu mleta mada ambao wanadai wana kitu inaitwa ''exposure'' ndiyo wa kwanza kurudi hapa janvini na kuanza kutoa kejeli eti CCM inapata kura kutoka kwa watu ambao hawana elimu wakati ukweli ndiyo huu.
Eti mtu anapitishwa kuwa kiongozi anayefaa baada ya kumkubali kutokana na tweets zake. GOD forbid!
Wananchi wengi wapiga kura siyo wajinga kwa kiasi hiki!.
Wananchi wengi wanatumia hekima na busara katika matumizi ya haki zao za kidemokrasia kwenye sanduku la kura.
Ni hawa hawa kama mleta mada baada ya kumchagua utawasikia baadaye wanaanza kusema, huyu ni mamluki au msaliti huku wakisahau kuwa maamuzi yao ya kitoto ndiyo yamemuweka kuwa kiongozi.
Hizi ndizo siasa za ''kizazi kipya''.
Unfortunately it's virtually hard to separate political party/parties from the state since they have got that so called symbiotic relationship.If you ever read about the so called 'the organized crime' you will obviously understand me what I am trying to say.It's a world wide problem, If you ever visited American blogs and saw how Americans blamed both Democratic and Republican Parties for betraying people's interests while putting the corperations' interests first and then you will subsequently come to your senses that all political parties are serving the same master, big corperations.In Tanzanian circumstances, it's almost the story. You can't convince me that there is no single CHADEMA cadre who is not benefitting from the current system (CCM government).So they (opposition political parties & the current ruling party) consist of insiders in this sense. We need people are completely outside the system,the genuine outsiders."Insiders" you meant from the party wing??
Thought you were thinking of the state. . . . . .
huwa nashindwa kumtofatisha na SALAMA. sorry for that
Alipokuwepo kwenye Bunge la Katiba kuna lolote alilifanya likaingizwa kwenye hansard niende huko nikasome?
Kweli wewe ni Kichuguu Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzoMaria Sarungi ni binti wa Mzee Profesa Philemon Sarungi aliyewahi kuwa mkurugenzi wa kitivo cha afya cha Muhimbili na baadaye kushika nyadhifa kadhaa serikalini kabla ya kusitaafu.
Mwanamama huyu ameolewa na mwanamme mwenye asili ya Ethiopia akiwa na maskani yake Dar es Salaama ambako ana biashara zake binafsi kadhaa, mojawapo ikiwa ya kutafuta warembo wa kushiriki mshindano ya Miss World ya Donald Trump. Mmoja wa warembo waliopitia katika mikono ya Maria Sarungi ni mrembo Flaviana Matata ambaye sasa hivi anang'aa sana kwenye anga za urembo huko New York Marekani.
Ingawa sijui undani wake binafsi, najua kuwa Maria Sarungi siyo mwanasiasa, bali aliteuliwa na Rais kuingia kwenye bunge la katiba ambalo limemaliza muda wake. Mchango wake kwenye bunge hilo la katiba uko wazi.
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja sasa, nimekuwa nafuatlia tweets zake, na kugundua kuwa ni mwanamama mwenye msimamo thabiti ambaye hajawa corrupted na party politics za vyama. Anachukua mazuri kutoka vyama vyote na kupinga mabovu ya vyama vyote.
Ingawa hatujaruhusu kuwa na independent candidates kwenye nchi hii, mtu wa aina hiyo ndiye nilikuwa ninataka ashike uskani wa kuingoza nchi hii.
Party politics zimechangia sana kuharibu nchi yetu na tunatakiwa kuachana nazo kuanzia sasa.
Huyu dada ni kichwa sana, naomba ccm wasimloge
Unfortunately it's virtually hard to separate political party/parties from the state since they have got that so called symbiotic relationship.If you ever read about the so called 'the organized crime' you will obviously understand me what I am trying to say.It's a world wide problem, If you ever visited American blogs and saw how Americans blamed both Democratic and Republican Parties for betraying people's interests while putting the corperations' interests first and then you will subsequently come to your senses that all political parties are serving the same master, big corperations.In Tanzanian circumstances, it's almost the story. You can't convince me that there is no single CHADEMA cadre who is not benefitting from the current system (CCM government).So they (opposition political parties & the current ruling party) consist of insiders in this sense. We need people are completely outside the system,the genuine outsiders.
Tunataka political leaders
Huyu ni Shy Rose Bhanji mwingine!!! Jamani! Hatutaki political celebrities!! Tunataka political leaders