Mimi mbona niko tayari muda wowote tu, kwenda Nyumbani (kwetu Pazuri... ninayo hamu kuishi na Mwokozi wangu...) lkn hawa ma -terrorist sintakutana nao huko, kwa maana wao watakuwa motoni!unaweza ukamtangulia
what she did jamani,mimi huyu simjuiMama Thatcher you did the best " you will be missed " may your soul rest in peace " iron lady "
Rest in peace Iron Lady. Alikuwa iron Lady kweli.
Umri wa binadam ktk Biblia takatifu ni miaka 70 zaidi ni nyongeza toka kwa Mungu... Kwa hiyo Mungu amemuengezea.. Pumzika kwa amani mama..Miaka 87 si haba...Mungu ampe pumziko la milele
what she did jamani,mimi huyu simjui
RIP Margaret!
![]()
Mkuu Kanga, nipate mwaliko huo mimi kama nani?!.Pasco hujapata mwaliko kwenda na fastjet kwenye mazishi hayo, hesabuni trip nyingine hiyo.Japo mama huyo na swahiba wake Reagan walikuwa moto kwa Mataifa ya kiafrika wakti wa East/West blocks ni mfano wa kuigwa kwa kuweka viongozi wenye Legacy.Siyo kuwa na viongozi bora fuata upepo ,hujui kesho anaamuka na ajenga ipi.RIP Magee