Margaret Thatcher has died!!!

Margaret Thatcher has died!!!

Miaka hiyo ya themanini, kwenye taarifa ya habari wakati huo RTD wakitangaza jina lake nilikuwa nasikia kama Margaret Chacha.Pumzika Mungu aliko kupangia
 
Wenzetu hawatumii neno mstaafu,wanasema waziri mkuu wa zamani!
 
Umenishtua nilijua mmoja wa mawaziri wakuu wetu, aisee
 
Rest in piece namesake! ulikuwa na ushawishi katika maisha yangu.
 
Waziri mkuu mstaafu wa Uingereza Bi Margaret Thatcher amekufa kwa strokeakiwa na umri wa miaka 87. Huyu mama atakumbukwa kwa ushirikiano wake na Rais Regan wa marekani katika kuimarisha mfumo wa ubeberu duniani.

RIP
Source bofya hapa chini


Margaret Thatcher dies of stroke aged 87 - Telegraph


unfortunately, umekimbilia ku-post ku-attract-attention. Na heading umeiandika kimaksudi bila kuweka wazi ni waziri mkuu wa nchi gani...! next time grow up...

Anyway R.I.P Thatcher
 
bora pinda au wewe... ndio ingekuwa habari au???
 
Mkuu hii si ndio Hottest news kwa sasa?? Hujui nature ya JF members?
kumbe ulimaanisha hivyo? Anyway ngoja nimsaidie JK kuandaa logistics za kwenda UK kuhudhuria maziko
 
huyu mama na reagan waliitawala dunia kwa mabavu sana! Sasa zamu yake mbele ya haki huko ahera
 
du kuna watu wanapenda kuwavuta watu, du kweli kichwa cha habari ndio kinachouza. aya wape polen familia yake. ila siku nyingine weka wazi hapa si blogs z wajanjawajanja ni kwa nyumba ya watu wanaofikiri kwa kina.
 
Back
Top Bottom