Margaret Thatcher has died!!!

Margaret Thatcher has died!!!

Waziri mkuu mstaafu wa Uingereza Bi Margaret Thatcher amekufa kwa strokeakiwa na umri wa miaka 87. Huyu mama atakumbukwa kwa ushirikiano wake na Rais Regan wa marekani katika kuimarisha mfumo wa ubeberu duniani.

RIP
Source bofya hapa chini


Margaret Thatcher dies of stroke aged 87 - Telegraph

Umenishtua sana maana kichwa cha habari kinasema Waziri Mkuu mstaafu! mi nilidhani Mzee Msuya kafa! hata hivyo huyu Mama alikuwa Mwanamama Chuma!
 
kumbe ulimaanisha hivyo? Anyway ngoja nimsaidie JK kuandaa logistics za kwenda UK kuhudhuria maziko

Mkuu, JK ameshapata justification ya kusafiri... Technically, watu mnaweza kudhani jamaa anapenda kusafiri, kumbe ni timetable ya kwenda kubadili yale mambo yetu, ili uhai usije ukamtoka....
 
Hivi vichwa vya habari vya "kiglobal publishers".......haya bana umetupata...mama apumzike kwa amani...
 
mwenyezi mungu ampumzishe milele,natumaini JK atatuwakilisha katika maziko yake
 
Bado Bw.Mandela naye anauweka bado usiku tu, ma-terrorist wenzake wote washavuta alianza Bw. Reagan sasa amefwatia Bi. Thatcher!

 
Sasa safari za mshua kwenda ulaya kuuguza mara kwa mara zitakuwa zimefikia ukomo wake
 
Huyu Mama alikuwa ni Waziri Mkuu mzuri sana kwa UK na kawafanyia mengi sana mazuri kama UK.

Ila kwa nje, alikuwa mtu mbaya sana na ninaamini Mungu atamkutanisha na Maelfu waliokufa nchi kama Zimbabwe, South Africa, nk. Ninaamini sasa Mandela anaweza kupumzika kwa amani kwa sababu huyu Mama na Reagan ndiyo walikuwa VINARA wa kuisaidia Serikali ya Makuburu kwa hali na mali.

Mtoto wake pia alikuja kuanza kujihusisha na majeshi ya kukodiwa na akataka kupindua sijui serikali ya nchi gani nchi ya Africa na wakamkamata. Sijui aliisha wapi huyu Muuwaji aliyeweka pesa mbele na tayari kuuwa maelfu ili mradi na yeye awe na nguvu kama ya Mama yake kwenye ka nchi fulani duniani.

Fela Kuti aliwachukia hawa jamaa hadi akatengeneza Album yenye VIBONZO vyao Thatcher, Pieter William Botha(South Africa President 1984-1989) na Ronald Reagan wa USA vikiwa na midomo imetapakaa damu.

Nisihukumu maana nisije nikahukumiwa. Naamini alitubu dhambi zake kabla hajafa.

61z4YSRR09L.jpeg
 
Best kwani upo kwenye list ya fastjet?

chezeya mimi....nikikwambia unitafute hutaki.....juzi nilikuwa na Boflo pale Ambrosia mbezi beach.....alikwambia......?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom