Marekani yawawekea vikwazo waendesha mashitaka (ICC)

Hao ndio watetezi wa haki za binadamu duniani ambao ni marufuku kabisa kuguswa na chombo chochote siku zote hao wanatakiwa waachwe tu wafanye chochote hata Kama ma Askari wao wanabaka ma binti za watu huko wanakolinda amani lakini ni marufuku kabisa kuchunguzwa.
Ukimuona Lisu anavyowashobokea utamuonea huruma
 
Back
Top Bottom