Halafu ndio Lissu anawategemea eti wamsaidie kupata urais kwa kudhani watashitaki viongozi wetu huko ICC wakati wao wamepigwa biti kuwachunguza wamerekani walioua watoto wasio na hatia huko uarabuni, wamebaka, wamelawiti leo hii hao Icc ambao Lissu anawategemea wameufyata kwa marekani na wanawekewa vikwazo!! Mwaka huu machadema mkileta vurugu za kingese mtatembezewa kichapo na hakuna cha ICC wala baba yake na ICCMarekani yatangaza vikwazo dhidi ya mwendesha mashitaka mkuu wa ICC
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo alitangaza jana kuwa Marekani imeweka vikwazo dhidi ya mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC Fatou Bensouda kwasababu ya ofisi yake kuendelea na uchunguzi wa watu wa Marekani.
Pompeo alisema aliyeongezwa pia katika orodha ya vikwazo ni Phakiso Mochochoko mkuu wa idara ya sheria ya ICC, anayehusika na ushirikiano na hisani, kwa kutoa msaada kwa Bensouda za taarifa mbali mbali. Mwanadiplomasia huyo wa ngazi ya juu wa Marekani ameiita mahakama hiyo ya uhalifu wa kivita, ambayo Marekani haihusiki nayo, kuwa ni taasisi iliyovurugika na yenye ufisadi wa hali ya juu
Mwezi Juni , rais wa Marekani Donald Trump alitoa amri ya rais inayoweka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya maafisa wa ICC wanaohusika katika uchunguzi wa vikosi vya jeshi la Marekani kwa uwezekano wa uhalifu wa kivita nchini Afghanistan.
Wanawaita watetezi wa haki za binaadam (USA) ambao wanaogopa kuhukumiwa na ICC kutokana na makosa yao.Ingekuwa nchi nyingine USA na washiriki wake wange shinikiza mpaka vikwazo kwa hiyo nchi.Marekani imewawekea vikwazo waendesha mashitaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku kadhaa baada ya mahakama hiyo kuidhinisha uchunguzi kuhusu tuhuma za uhalifu wa kivita unaodaiwa kutekelezwa na Marekani nchini Afghanistan. View attachment 1557370View attachment 1557371View attachment 1557372
WALE MASHABIKI WA USA NA WASHIRIKA WAKE, NA KUAMINI KUWA JAMAA WAPO SAHIHI KWA KILA KITU KUNA, JAMBO KUBWA SANA LA KUJIFUNZA HAPA
Marekani imewawekea vikwazo waendesha mashitaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku kadhaa baada ya mahakama hiyo kuidhinisha uchunguzi kuhusu tuhuma za uhalifu wa kivita unaodaiwa kutekelezwa na Marekani nchini Afghanistan. View attachment 1557370View attachment 1557371View attachment 1557372
WALE MASHABIKI WA USA NA WASHIRIKA WAKE, NA KUAMINI KUWA JAMAA WAPO SAHIHI KWA KILA KITU KUNA, JAMBO KUBWA SANA LA KUJIFUNZA HAPA
Niujinga kujilinganisha na marekani. Hii nchi hata wakiweka vikwazo wanajiweza.sisi tuna nini?
Hii akili yako mipaka yake inaishia mitaa ya lumumba huna unalooelewa.hio i mindset yako, kma wanaweza kuishi wenyewe wasije kuchimba madini uku afrika na wasije kununua chakula
Hapana Mkuu ni lissu anayetumiwa na Mabeberu ndio anampango huo
Hii akili yako mipaka yake inaishia mitaa ya lumumba huna unalooelewa.
Unaumwa lisuismHahaha lissu akiona hivi anaanza kupiga ngumi ukuta
Wasaliti wa Nchi hawana nafasi Tanzania
Unaumwa lisuismHahaha lissu akiona hivi anaanza kupiga ngumi ukuta
Wasaliti wa Nchi hawana nafasi Tanzania