Marekani yawaonya raia wake kutembelea Tanzania kuepuka kuambukizwa COVID-19

Vipi wangapi hapo kwenu wamekufa na corona?
Ukijibiwa ndio utafurahi, acha kuwa na mawazo mgandoo. Akili za hivi hata ukiambiwa Trump kashindwa urais utauliza lini you don't go with current issues.

Na hata akisema hakafa mtu kwao is that justification to that Corona? Mpaka leo Ukimwi unaua so nkutajie waliokufa ili uamini upo.Kama una bht ulipo ugonjwa haupo kwa kasi shukuru and stop talking in rubbish
 
Hakika, Ukweli ni kwamba Ugonjwa wa Corona Tanzania upo na Maambukizi ni makubwa

Aga Khan na Muhimbili wagonjwa Wapo wengi sana...
Huu unaitwa umalaya wa mawazo.

Hao watu wa kufia Aga khan pekee, ndio tunaowatafuta.

Kwenu mnavaa barakoa?
 
Corona ipo Tanzania watu wanakufa lakini kwa kuwa Serikali ilipiga marufuku kuongelea corona inabidi Hosptal waache kusema ukweli
We mbona hujafa na nakuona kila uchao unaendelea na maisha yako bila kuchukua tahadhari!..... Corona might be there but we but weu
have our way to overcome
it
 
Hakika, Ukweli ni kwamba Ugonjwa wa Corona Tanzania upo na Maambukizi ni makubwa...
Fala sana wewe, yaani unazungumzia unathubutu kusema sijui agha khan mara muhimbili blabla mtupu. Chukulia mfano wa Ulaya hospitali Katiba zote zilijaa watu wakawa wanarudushwa majumbani, Itali waliwahi kupeleka wagonjwa Ujerumani baada ya kuzidiwa nchini meal.

Nikuambie tu kwamba Kama ugonjwa ungekuwepo maambukizi yangekuwa mengi kama Brazil maana sisi hatuchukui tahadhari yoyote kwa takriban nusu mwaka sasa, hakuna social distancing, sio curfew wala lockdown, hatuna sanitizer wala kuosha mikono.

Unaposema tuna korona Unaonyesha UJINGA wako tuu kwa sababu sisi site tuko humuhumu Bongo Agha Khan na Muhimbili tunazijua na tunaenda KILA siku hakuna lolote fala wewe
 
Serikali ya Marekani kupitia Taasisi ya Centre for Desease Control ama CDC imetoa onyo kwa raia wa Marekani kuchukua tahadhari ya kutembelea Tanzania kwani kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa corona...

Za kuambiwa wachanganye na zao. Where are they more likely to catch COVID-19? In the US or in Tanzania?
 
Serikali ya Marekani kupitia Taasisi ya Centre for Desease Control ama CDC imetoa onyo kwa raia wa Marekani kuchukua tahadhari ya kutembelea Tanzania kwani kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa corona...
Usiwe na wasi wasi; wamarekani wanakuja sana, wala Tangazo hizlo haliwazuii kabisa. Kuna wamarekani wengi wanataka kwenda kupumzikia Tanzania kuliko kwao.
 
Juzi hapa nilimuona Balozi wa Merikani chini Tanzania alikuwa anazungumza kwenye sherehe bila ya kuvaa face mask - what does that tell you?

Hivi inaingia akilini kwamba Serikali ya USA inajuwa vizuri kinachojiri nchini Tanzania kuliko Balozi wao!!

Wee hujui kuwa mzungu akicheka ndio kakasirika? jifunze body language zao kwanza,...Binafsi niliamini kuwa wachezaji wa Simba wengine watapatikana na Corona huko Nigeria lakini mungu mkubwa wote wakawa fit,

Sasa suala la Tanzania tuna Corona au laa ni jambo la kisayansi ambalo wenzetu huitaji figures na kama hatutoi hizo data, hatupimi, hatuzingatii ushauri wa gonjwa hili wakati wao wanaendelea kufa na Corona pia jirani zetu Kenya wakiwa na wagonjwa kadhaa kamwe hawatokaa watuelewe zaidi ya kutuona kuwa ni hatarishi kwa usalama wao
 
Meanwhile Balozi wao anapiga misele kitaa tena bila barakoa.

Wanafki wakubwa hawa US
 
Hii habari inahalalisha Ngurdoto kugeuzwa hostel
Watalii toka wapi watafikia Hotel ambayo mwenye hotel kutangulizwa mbele za haki na gonjwa la Covid-19? Wiki hii tumesherehekea siku ya UKIMWI lakini nchini kwetu kwa zaidi miaka 40, hakuna mtu aliyekufa kwa gonjwa hilo, watu wanakufa kwa saratani tu. Wacha wanafunzi watakaokaa Hostel ya Ngurdoto wafe kwa mafua kwenye 5-star Hotel!
 
Jibu maswali yangu kwa ufasaha kaka!Nimekuuliza Tanzania corona ipo au haipo ukanijibu kuwa kwani nina ndugu aliekufa kwa Corona?, ndipo nikakuuliza:

Kwani katika nchi zenye Corona kila mtu ana ndugu aliekufa kwa Corona?

Jibu ulilonipa halina uhusiano wowote na swali langu hili
Kwao America Corona haipo?libalozi Lao linafanya nini kwetu kama kuna Corona?shenzi kabisa
 
Corona ipo Duniani kote Ndege zinakuja wageni wanakuja kinachowafanya Serikali kuongopa kuhimiza unawaji mikono kupaka vitakasa mikono ni nni? au Serikali inataka watu wafe kwa wingi ili wapate pesa za misaada kuzuia corona?

corona ipo ingawa hofu ya kusema imetawala ndiyo maana Serikali wanaona wamese haipo
Selikali inaogopa kuhimiza unawaji mikono? Mbona unakuwa mjinga mkuu?
 
Ajabu ni kwamba baadhi ya wamarekani wenyewe hawakutaka kurudi Kwao kipindi kile Corona iko juu. Matamko yapo ila nao wana akili.

Subiri takwimu za wamarekani watakoingia TZ next 3 months utashangaa.

"It's safe to live in Tanzania than to live with Corona and Trump in the same country."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom