Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Dua ya kuku haimpati mwewe!Unadhani US itakubali mwisho wake ufike kirahisi hivyo?Hakuna mtu anayechukua tahadhari ya kutofilisika kama tajiri.

Tafiti mbali mbali zilizofanywa na US zinaonyesha kuwa ili US aendelee kuwa juu na maslahi yake yabaki kuwa salama basi US hainabudi kuingia vitani ku secure interest zake na its superiority.
Halijui hivyo anajua kuanguka ni kuamka tuu na kujikuta taifa limeanguka.....yeye anadhan hao US wao hawaoni mifano ya hao watu wengine ambao wameanguka?
 
Kama huijui historian ya middle east kaa kimya, ukisoma historia ya falme ya saudia UTAJUA kuwa kwa nn saudia haekewi vikwazo, KILA KITU KINA SABABU. ALAF JIULIZE KWA NN IZRAIL ANAONA ADUI YAKE MKUBWA NI IRAN?? ATAELEWA HIZI NI SABABU ZA KIDINI AU LA???
Ingekua dini basi Israel wasingekua marafiki mana Israel dini ya kiyahudi ndo imeshamiri lakini marekani ni Ukristo kwa sana,
Uku bongo ndo mnaendekeza udini we unafurahia Irani anayetangaza kuifuta nchi nyingne kwenye uso wa dunia.
 
Pole sana unadhani marekani ndiye atapigana hiyo vita?
Ni Middle East allies kina UAE, Saudi, Kuwait etc
Marekani yeye atauza silaha tu
Hujui siasa za marekani wewe. By the way tuneshe vita moja hivi karibuni ambayo Marekani hajashiriki, zaidi ya Libya walikokodi mercenaries. Hapo anahamasisha uungwaji mkono. Unakumbuka "The Axis of evil" za Bush?
 
Ma-Ayatollah walimchezea sana Obama. Watawekwa sawa tu muda sio mrefu. Huu ujinga unaoitwa ugaidi unaenda kuwa historia.
Weewe umeona mpaka Dubai, Saudia Arabia wamefungua maduka ya Nguruwe unafanya masihara nn?
 
Marekani chini ya Trump ni unguided missile. Hapa Trump amehongwa na matajiri wanaofanya biashara ya mafuta ili akimuwekea vikwazo Iran mafuta yanapanda bei yafike pipa moja dola 80 hata kama ni kwa mwaka mmoja wataingiza fedha nyingi. Shida ya kushindana na Marekani ni kuwa ndo mnunuzi mkubwa wa bidhaa zaChina ,na China ndio mpinzani mkubwa wake kiuchumi. Kumbana Kim wa Korea amemuweza baada ya kupandisha kodi bidhaa za China kisha kaiambia China usipomdhibiti dogo tutatoza kodi zaidi bidhaa zako. China akamwambia dogo ahirisha hayo makombora, ndipo dogo akanywea ,.Itachukua muda kumdhibiti Marekani na Sera zake za ubabe. Lakini Marekani si taifa LA kushabikia, maana hivi mafuta yakipanda yeye ndio anafaika sana ,maana sasa hivi ndio mzalishaji mkubwa ingawa hauzi nje, Lakini mafuta yakishuka dola 50 kwa lita viwanda vyake vya Cracking Shale Oil vinakosa faida na vilianza kufungwa, sasa ili viende kwa faida lazima aanzishe vagi sehemu inayozalisha mafuta mengi kama Iran uzalishaji ushuke na bei ipande duniani . Sisi tutulie huku dunia ya tatu hamna mwema kwetu wote wanalinda maslahi yao . Sana tukishabikia tuna maana nani atatupa makombo zaidi baada ya kula akavimbewa. Huo ndio ukweli.
 
Nampongeza sana Trump kwa ujasiri mkuu,wakuiondoa US kwenye hii Iran nuclear deal,ilikua ni ujinga kufanya mapatano na mtu anayepiga kelele akitangaza kifo chako na kifo kwa ndugu zako.

Huu sio wakati wa nyoronyoro Obama,bali ni wakati wa kutenda.Akitoka Iran anafuata Uturuki.
Kumbe umegundua kibri cha erdogan,na viongozi wa EU wamemlea sana.
 
UKISKIA PAAAAA UJUE KIMENUKA, muyahudi jana kachezea kipigo cha mbwa koko kutoka kwa wajemi, siri hawazitoi, Ndio MAAANA bwana wao tramp anaeka vikwazo Iran hahahahahahahaha
 
MAREKANI NDO WAFUGA MAGAIDI, WALA SIYO WAARABU NA WAPERSHIA. GAIDI MKUU NI MAREKANI NA WASHIRIKA WAKE. HATA KINACHOENDELEA NIGERIA NA KONGO NI KWA SABABU YA UGAIDI WA MAREKANI ILI WAWEZE KUENDELEA KUIBA RASILIMALI ZA NCHI ZINGINE.
 
Back
Top Bottom