Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Mkuu unatumia vigezo gani kuifananisha Iran na Iraq!!?
Natumia hivyo hivyo mnavyodai kuwa Marekani haiwezi kuipiga Iran. Kama Iran ilimshindwa Iraq kwenye Vita vyao vya miaka8 na Marekani akampa kichapo Iraq ndani ya wiki3 sijui Iran akipiga na Marekani atakuwa katika hali gani.
 
Golan Heights mambo si mambo, Mossad leo hawalali, IDF hawalali leo.
Wanasema kuna irregular activities huko Syria
Cilo za mabomu zimewekwa wazi na alert imetolewa maana lolote laweza tokea
Naona wanafuta sababu ya kumtoa Assad
 
Natumia hivyo hivyo mnavyodai kuwa Marekani haiwezi kuipiga Iran. Kama Iran ilimshindwa Iraq kwenye Vita vyao vya miaka8 na Marekani akampa kichapo Iraq ndani ya wiki3 sijui Iran akipiga na Marekani atakuwa katika hali gani.
Iraq ilipigana na Iran yenyewe kama yenyewe au kwa kusaidiwa na hao hao maraekani na washirika wake!?
au bado ulikuwa mdogo mkuu!
 
Iraq ilipigana na Iran yenyewe kama yenyewe au kwa kusaidiwa na hao hao maraekani na washirika wake!?
au bado ulikuwa mdogo mkuu!
Na Irani alisaidiwa na nani Mkuu au bado ulikuwa unanyonya Mkuu?
 
UONGO MTUPU NA FULL OF FABRICATION KAMA ZA DICTATOR ERDOGAN WA UTURUKI !

Mji wa Israel ulianzishwa na Mfalme Daudi zaidi Miaka 3000 iliyopita yani miaka 1000 kabla ya Yesu ambapo ni sehemu Ibrahim Isaka na Yakobo walifanya ibada.

Mwaka 586 kabla ya Yesu Wababiloni walilibomoa hekalu la kwanza na wayahudi wakakimbia kujificha lakini wakarudi muda siyo mrefu mwaka 516 kabla ya Yesu.

Miaka 500 baadae yaani mwaka 70 baada ya Yesu Warumi wakalibomoa hekalu la pili la Yerusalem,katika miaka iliyofuata Falme mbali mbali mbali kama Rumi,Byzantine,Persian,Arabs,Seljuks,Cruseders,Ottoman, British na nyingine zimekua zikivamia Yerusalem lakini siyo kufanya Yerusalem kuwa makao makuu yao

Mwaka 985 baada ya Yesu mwandishi maarufu kutoka Uarabuni Muhammad ibn Ahmad Shams al Din al -Muqaddasi aliandika kitabu akilalamika kuwa wayahudi wana idadi kubwa ya watu pale Jerusalem kuliko jamii yoyote.

Mwaka 1864 bado Wayahudi waliendelea kuwa wengi kuliko jamii yoyote pale Yerusalem kama takwimu zilizotolewa na British Consul of Jerusalem(Noel Temple Moore) mwaka 1864 Wayahudi wakiwa 8000,Waislam wa kiarab 4500,na Wakristo 2500.

Wayahudi hata wakiwa uhamishoni au sehemu yoyote duniani,maombi yao na sala zao zilikua zinaonyesha tumaini la kurudi Yerusalem
Waislam na dini yao iliyoanzishwa miaka 1400 iliyopita wakiwa popote walipo duniani hata walioko Yerusalem swala zao na ibada zao wamekua wakitazama Macca.Macca na Medina ni miji mitakatifu kuliko Yerusalem kulingana na uislam.

Yerusalem haijatajwa moja kwa moja kwenye quran wakati biblia imetaja Yeusalem mara 669.

Nini kilitokea mwaka 1967,kwanza kabisa hakukuwa wala halijawai kuwepo taifa au nchi ya Palestina.Mwaka 1948 Jordan iliteka eneo la Yerusalem mashariki na kuikalia kimabavu, kuwafukuza Wayahudi na kubomoa makazi yao,Yerusalem magharibi ikawa ni makao makuu ya Israel huku Jordan makao makuu yake yakiwa ni Aman.Katika ile vita ya siku 6 mwaka 1967 Israel ikaifukuza Jordan na kuunganisha Yerusalem.Hii ndio historia ya ukweli.
Nimetamani uendelee na uchambuzi huu
 
Iran itapiga hatua ya kumiliki nuclear weapon very soon. Trump hataweza kuwagusa hao.
Hizi ni ndoto za alnacha mkuu.Iraq na Saddam walikuwa vizuri kuliko Iran Leo wako wapi?
 
Hata Sadaam mlisema hivi hivi kwa kumsikilia yule Comedian Ally Sahaf
😀😀😀😀😀,Ally Sahaf alikuwa na mikwara mbuzi kama yuele msemaji wa JKT Ruvu Masau Bwire.Ila mimi sioni vita hapa kwa sasa,labda uko mbeleni.
 
Sio bure kuna mkono wa Israel na Saudi Arabia, nchi zenye fitina
 
Mzee baba niaje? leo team yako ni ipi,Maana kule kiduku alishaku disappoint. Wewe si mtaalamu wa kuchagua team za kushabikia😀😀😀😀😀
Hahahaha kiduku tusubiri upepo utabadilika kwenye meza ya mazungumzo!
Hapa kwa Iran nina kuunga mkono vita haita kuwepo labda vikwazo kwanza viwapunguze kwanza nguvu!
baadae wanaweza pigika ila kupigwa kwa sasa hivi taifa teule litapata taabu sana! na ndugu zao Saudi Arabia!
 
Hahahaha kiduku tusubiri upepo utabadilika kwenye meza ya mazungumzo!
Hapa kwa Iran nina kuunga mkono vita haita kuwepo labda vikwazo kwanza viwapunguze kwanza nguvu!
baadae wanaweza pigika ila kupigwa kwa sasa hivi taifa teule litapata taabu sana! na ndugu zao Saudi Arabia!
😀😀😀😀😀,Haya bana tusubiri
 
Hivi wale team Kiduku mlibadili username au, mjiandae tena kubadili maana kituo cha kijeshi tayari kishaonywa na wayahudi!
 
we mponze mwenzako....aone kitakacho mkuta...
wale ni IRAN siyo ushubwada new york itakuwa unga..
We sifia tu, kosa nisikie unaleta huruma, ''ooo wamemuonea'' sitaki kusikia!
 
Back
Top Bottom