STRAGGLE MAN
JF-Expert Member
- Jan 10, 2018
- 698
- 614
Kwani hujui kuwa kuekewa vikwazo Iran sababu kubwa ni ya KIDINI???Nimepitia comments, nimeona nyingi zime base kiitikadi ya dini zaidi kuliko mtazamo wa trump mwenyewe.
Kwani hujui kuwa kuekewa vikwazo Iran sababu kubwa ni ya KIDINI???Nimepitia comments, nimeona nyingi zime base kiitikadi ya dini zaidi kuliko mtazamo wa trump mwenyewe.
Tehhhhh amezuiwa N. Korea kivipi???? Au ww unaamini mpaka leo kuwa n.Korea hana silaha za nuk au hazalishi???Amezuiwa North Korea atakua Iran,Marekani itamwacha Urusi na China tuu.Israel peke yake inaweza kumdhibiti Iran
Iran lazima apigwe, kumbuka alichofanya Netanyahu juzi,
Leo nasikia Cilo za mabomu zimefunguliwa na wanajeshi wameitwa kutoka likizo.
Hii vita Marekani atoa hela tu wapiganaji watakuwa Israel, Saudi, UAE, Kuwait, Sudan,
Ww UNAWAZA vita wenzako wanawaza kujificha kwenye mahandakiNikweli licha wamarekani watakua kwenye operation maalum.Mfano miezi minne iliyopita wanajeshi wa Marekani waliweka kambi ya kudumu ndani ya kambi ya jeshi la anga la Israel hivyo nao watashiriki kuwanyoa ma Ayatolla
Tehhhhh amezuiwa N. Korea kivipi???? Au ww unaamini mpaka leo kuwa n.Korea hana silaha za nuk au hazalishi???
Kamwe hauwezi kuisha, labda mpaka dunia nzimaa tumsujudie mmarekani, nani asiyejua km marekani ndio mfadhili mkubwa wa magaidi mbalimbali dunianiMa-Ayatollah walimchezea sana Obama. Watawekwa sawa tu muda sio mrefu. Huu ujinga unaoitwa ugaidi unaenda kuwa historia.
Ww UNAWAZA vita wenzako wanawaza kujificha kwenye mahandaki
Bunker burstStrategy ya mahandaki kwa dunia ya leo is bullshit,haina maana.
UNAJIDANGANYA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], HAKUNA TAIFA LOLOTE LENYE NUK MAREKANI AENDE KUINGIA KICHWA KICHWA, KUBWA ATAFANYA VIKWAZO ILA SIO MILITARY ACTION, pia hao n. Korea hawakuanza leo vikwazo, ni kitambo sana, HUYO BABU YENU ATAISHIA VIKWAZO BUT SIO MILITARY ACTION kwa mataifa yenye nukJicheke mwenyewe,jiulize kwanini amekubali ku denuclearize nchi yake,kwanini hakufanya hivyo kwenye utawala uliopita?Tena washukuru mzee Bolton hakuwepo,ungekuta kichapo kishatolewa.
Kwani hujui kuwa kuekewa vikwazo Iran sababu kubwa ni ya KIDINI???
UNAJIDANGANYA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], HAKUNA TAIFA LOLOTE LENYE NUK MAREKANI AENDE KUINGIA KICHWA KICHWA, KUBWA ATAFANYA VIKWAZO ILA SIO MILITARY ACTION, pia hao n. Korea hawakuanza leo vikwazo, ni kitambo sana, HUYO BABU YENU ATAISHIA VIKWAZO BUT SIO MILITARY ACTION kwa mataifa yenye nuk
Afu vita ya kumtoa Iran wafadhiri watakuwa waarabu, Marekani atatoa teknolojia, silaha, ndege na nyenzo ili vita ipiganwe.
Marekani anafanya biashara hapo.
Saudi anataka awe boss sambamba na Israel
Qatar anataka apitishe bomba Syria
Pompeo, Bolton, Trump timu hatari sana
Kwenye hii vita marekani ataingiza billions kutoka kwa Waarabu
NKorea hakuweza kufanya biashara ndo maana hajapigwa kwani SKorea, Japan wote wategemezi tu
Waarabu wana hela na wanataka dominance
Kama huijui historian ya middle east kaa kimya, ukisoma historia ya falme ya saudia UTAJUA kuwa kwa nn saudia haekewi vikwazo, KILA KITU KINA SABABU. ALAF JIULIZE KWA NN IZRAIL ANAONA ADUI YAKE MKUBWA NI IRAN?? ATAELEWA HIZI NI SABABU ZA KIDINI AU LA???Mbona Saudia hajawekewe,kuna nchi ngapi za kiislam hazijawekewa,ukikimbilia karata ya udini na akili inaishia hapo,jiongezeni jamani,dunia inabadilika haraka sana sharti tubadilike.
Marekani mwisho wao hauko mbali. Hawawezi kucheza michezo hii ya kughiribu akili nyepesi daima. The fall is nearMarekani Imetangaza vikwazo dhidi ya Iran.
Trump amesema kuwa U.S haipo Tayari kulinda makubaliano ya Iran kuhusu Nyuklia badala yake ameiwekea vikwazo Iran pia amesema wakiendelea na program hizo watapata vikwazo ambavyo hawajawahi kuvipata kabla pia ameikashifu serikali ya Iran kuwa inafadhili Ugaidi kama I.S, Alqueeda na makundi mengine pia huku raia wanatabu... nipo live Aljazeera naona Rouhani anaongea ngoja nimsikilize live
Kama huijui historian ya middle east kaa kimya, ukisoma historia ya falme ya saudia UTAJUA kuwa kwa nn saudia haekewi vikwazo, KILA KITU KINA SABABU. ALAF JIULIZE KWA NN IZRAIL ANAONA ADUI YAKE MKUBWA NI IRAN?? ATAELEWA HIZI NI SABABU ZA KIDINI AU LA???
US anataka uchumi wake ukae sawa na ili afanye hivo lazima wababe wawili wapigane vita kubwa ili yeye auze silaha, mwezi uliopita aliwaambia waarabu kuwa inabidi waanze lipia vita ya Syria na wao waingie kupigana.Good analysis!