Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Marekani mwisho wao hauko mbali. Hawawezi kucheza michezo hii ya kughiribu akili nyepesi daima. The fall is near
Pole sana unadhani marekani ndiye atapigana hiyo vita?
Ni Middle East allies kina UAE, Saudi, Kuwait etc
Marekani yeye atauza silaha tu
 
Ndio nikakuambia kuwa hapo kubwa ni vikwazo, maanake kama military action wanataka kuchukua ingelikua ZAMANI imeshachukuliwa. VITA SIO RAHISI KAMA MUNAVYOFIKIRIA

Ni sawa ,unaweza kusema Marekani hawajajiandaa kupigana kwa sasa,lakini inaonekana watakaopigana kwa sasa ni Israel akiwa na Saudia na washirika wake dhidi ya Iran,kwa msaada wa US
 
Hawa pro Iran wajinga sana, kabla ya leo walisema Trump hawezi, leo kafanya wanasingizia dini

Architect wa hii kitu ni Israel, Saudi, Kuwait, Qatar

Marekani yeye atawauzia hao wote silaha

Qatar anataka gesi ifike Ulaya kikwazo ni Iran pale Syria, akipigwa vikwazo atondoka mwenyewe Syria afu Israel anamshughulikia Assad maana Russia hana nguvu kipesa
 
Nyie mmesumbua Yemen kwa kumtoa Rais, mnaitishia Israel, mmeenda vuruga Syria afu mtegemee tufaye nini zaidi ya kuwabana msizaane
 
Ni sawa ,unaweza kusema Marekani hawajajiandaa kupigana kwa sasa,lakini inaonekana watakaopigana kwa sasa ni Israel akiwa na Saudia na washirika wake dhidi ya Iran,kwa msaada wa US
SIDHANI KAMA KUNA TAIFA LOLOTE AMBALO LITAWEZA KUINGIA KICHWAKICHWA NDANI YA IRAN KWA SASA, SO LABDA WAINGIE SYRIA NA PIA KUINGIA SYRIA SIO RAHISI COZ KUNA MRUSI, falme za kiarabu wametumia magaidi na wametengeza vikundi mbali mbali kupigana Syria but WAMESAMBARATISHWA
 
Marekani mwisho wao hauko mbali. Hawawezi kucheza michezo hii ya kughiribu akili nyepesi daima. The fall is near

Dua ya kuku haimpati mwewe!Unadhani US itakubali mwisho wake ufike kirahisi hivyo?Hakuna mtu anayechukua tahadhari ya kutofilisika kama tajiri.

Tafiti mbali mbali zilizofanywa na US zinaonyesha kuwa ili US aendelee kuwa juu na maslahi yake yabaki kuwa salama basi US hainabudi kuingia vitani ku secure interest zake na its superiority.
 
Afu Trump kawaambia hata hao waliobakia kwenye Deal watapokea Sanctions ikitokea wakashirikiana na Iran

Naona UK anasema anaomba US asiblock wale waliobakia kwenye deal

Boeing alikua na deal la dollar 20bil ila kasema atafuata kile nchi yake itakachosema
 
Hawa pro Iran wajinga sana, kabla ya leo walisema Trump hawezi, leo kafanya wanasingizia dini

Architect wa hii kitu ni Israel, Saudi, Kuwait, Qatar

Marekani yeye atawauzia hao wote silaha

Qatar anataka gesi ifike Ulaya kikwazo ni Iran pale Syria, akipigwa vikwazo atondoka mwenyewe Syria afu Israel anamshughulikia Assad maana Russia hana nguvu kipesa
Hio ni mipango yako but wenyewe inawapa shida sana nn wafanye baada ya vikwazo
 
Trump Trump Trump!!
dolan1.jpg
little-donald1.jpg
 
SIDHANI KAMA KUNA TAIFA LOLOTE AMBALO LITAWEZA KUINGIA KICHWAKICHWA NDANI YA IRAN KWA SASA, SO LABDA WAINGIE SYRIA NA PIA KUINGIA SYRIA SIO RAHISI COZ KUNA MRUSI, falme za kiarabu wametumia magaidi na wametengeza vikundi mbali mbali kupigana Syria but WAMESAMBARATISHWA

JUZI HAUJAONA DOCUMENTS ZAKE ZA NUCLEAR PROGRAM NUSU TANI ZIMEBEBWA NA MOSSAD IRAN AKIWA USIGIZINI,HAKUNA PASIPO FIKIKA! KTKT YA MIOYO YA ADUI ZAO WAO WAPO.

Pia kitu ambacho watu hawajajua,Russia anaweza akawa upande wa Iran japokua ni vigumu kwasababu Iran na Russia wana ideology tofauti dhidi ya Israel,Iran ana amini Israel ni taifa linalopaswa kufutwa kwenye uso wa dunia wakati Russia wanaamini Israel ni taifa special.

Israel haijawai kujiunga na mataifa ya magharibi kuiwekea vikwazo Russia,wanategemea Russia ata reciprocate neutrality katika vita dhidi ya Iran.
 
Tatizo la marekani na iran,sio kwamba iran anaunga mkono ugaidi,kile ni kisingizio tu,
tatizo ni kuwa iran ni emperial power,kwamaana ina ushawishi wa kujieneza kama tu ilivyokua enzi za Persia empire ilipojitanua mpaka asia,
safari hii iran haijienezi kwa nguvu bali ushawishi wa matendo yao mema kwa nchi majirani mfano iraq,yemen,syria,oman,lebanon etc,
uchaguzi wa jana Beirut unathibitisha hilo,
sasa israel na nchi zingine za kiarabu marafiki na marekani wanaona tishio na kumpressure mmarekani achukue hatua ya regime change,kwahiyo hatua hizi za marekani ni step by step kuelekea regime change,

tangu wiki iliyopitaaskari wa israel hawalali eti wanahofia shambulizi la iran kutokea syria na wametishia kumuua Assad iwapo shambulio la irani litatokea syria,

iran wao wanaendelea na shughuli kama kawaida,wakati israel kishaweka majeshi tayari,hadi Netanyau leo amekatisha ziara yake cyprus eti anarudi nyumbani akihofia iran watashambulia,
kwa ufupi hawa waisrael licha ya kuwa na silaha za nyuklia bado hawajiamini kabisa,
na hii ni kwakuwa wanajua iran ni kubwa inaweza kuabsorb mashambulizzi ya israel,wakati israel ikinyeshewa makombora ya ukweli masaa matano tu hiyo plot inapukutika,
so lets see how the cook crumble hear..vita ipo,ni suala la mda tu sasa
 
Golan Heights mambo si mambo, Mossad leo hawalali, IDF hawalali leo.
Wanasema kuna irregular activities huko Syria
Cilo za mabomu zimewekwa wazi na alert imetolewa maana lolote laweza tokea
 
Back
Top Bottom