Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Marekani Yatangaza Vikwazo dhidi ya Iran

Gwanggaeto the Great

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
882
Reaction score
1,909
Marekani Imetangaza vikwazo dhidi ya Iran.


Trump amesema kuwa U.S haipo Tayari kulinda makubaliano ya Iran kuhusu Nyuklia badala yake ameiwekea vikwazo Iran pia amesema wakiendelea na program hizo watapata vikwazo ambavyo hawajawahi kuvipata kabla pia ameikashifu serikali ya Iran kuwa inafadhili Ugaidi kama I.S, Alqueeda na makundi mengine pia huku raia wanatabu... nipo live Aljazeera naona Rouhani anaongea ngoja nimsikilize live
 
aisee ila trump ni kiburi aisee,yan yeye anafuata anachokiamini tu basi.............................................................................................................................obama alikua mpole sana
 
Nampongeza sana Trump kwa ujasiri mkuu,wakuiondoa US kwenye hii Iran nuclear deal,ilikua ni ujinga kufanya mapatano na mtu anayepiga kelele akitangaza kifo chako na kifo kwa ndugu zako.

Huu sio wakati wa nyoronyoro Obama,bali ni wakati wa kutenda.Akitoka Iran anafuata Uturuki.
 
Back
Top Bottom