Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 882
- 1,909
Marekani Imetangaza vikwazo dhidi ya Iran.
Trump amesema kuwa U.S haipo Tayari kulinda makubaliano ya Iran kuhusu Nyuklia badala yake ameiwekea vikwazo Iran pia amesema wakiendelea na program hizo watapata vikwazo ambavyo hawajawahi kuvipata kabla pia ameikashifu serikali ya Iran kuwa inafadhili Ugaidi kama I.S, Alqueeda na makundi mengine pia huku raia wanatabu... nipo live Aljazeera naona Rouhani anaongea ngoja nimsikilize live
Trump amesema kuwa U.S haipo Tayari kulinda makubaliano ya Iran kuhusu Nyuklia badala yake ameiwekea vikwazo Iran pia amesema wakiendelea na program hizo watapata vikwazo ambavyo hawajawahi kuvipata kabla pia ameikashifu serikali ya Iran kuwa inafadhili Ugaidi kama I.S, Alqueeda na makundi mengine pia huku raia wanatabu... nipo live Aljazeera naona Rouhani anaongea ngoja nimsikilize live