MAREKANI: Polisi watano wauawa huko Dallas

MAREKANI: Polisi watano wauawa huko Dallas

Ni nchi gani ya Ulaya mweusi anapigwa risasi unarmed??

Simple hakuna na kiukweli USA Sera za umiliki Wa silaha litawamaliza NRA inawaponza Republicans kuprevent arms bill na haya mauaji yataongezeka sana baada ya November 2016 only if Trump wins.
 
Obama said all fair minded people should be concerned about the frequent police killings of black Americans.
 
Wewe usiwe na akili finyu.
Wengne ni weusi na wamezaliwa hapohapo,ndio kwao hapo..
Sasa watu kama hao waende kwao, wapi kwingne?

Jifikirishe kidgo bana..acha uzembe wa akili.
Mkuu huyo jamaa ni mla vumbi,comment yake imejaa wivu fulani.
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Safi sana, wacha nao waonje joto ya kifo kama wanafikri kufa ni vizuri. Hapa kwetu watu nao wajihadhari na hizi fitina zinazopandikizwa na watawala! Tukifika kwenye kuviziana haitapendeza hata kidogo!
 
ndo maana akina malcom x na martin luther king jr waliuliwa maskini. naona hata watu weusi wanavyo shine na kupendeza kama jz na kanye west wamarekani inawauma sana
 
Hao wamewabaguwa waislam na kujenga nao chuki bado haitoshi waliwauwa na kuwatesa babu zetu kwa shuhuli za slaves bado mpaka leo wanatuuulia kaka na dda zetu.

Hakika hawa wazungu sio faida kwa dunia sasa,we african utakae tetea hwa takataka waliolaaaaaniwa na mungu na wewe utkuwa na laaaana hiyo R.I.P OUR BROTHERS BLACK.
 
VIDEO: CHRIS BROWN NAE AONGEA KUHUSU KUUWAWA KWA INNOCENT BLACK MAN NA POLISI.
 
Wasipojipambanua, watasababisha vita kubwa kuliko vile vya Wapalestina.
 
Azabu ya Zambia ya ubanguzi huwa haisubiri
 
Mlivyo wajinga mnachekelea tu bila kujua hata hao polisi wana rangi gani ya ngozi!

Mlivyo wajinga mnadhani Marekani hakuna polisi weusi? Hakuna polisi Walatino?

Ikitokea waliouliwa ni polisi weusi je? Bado mtafurahia?
USA baby..
 
Back
Top Bottom