alaaa kumbe!Kwa nini warudi Afrika wakati Marekani ndo kwao?
alaaa kumbe!Kwa nini warudi Afrika wakati Marekani ndo kwao?
Bhangi na shisha zinamsumbuasasa utamuuaje ili hali na ushakufa tayari?
alaaa kumbe!
sasa utamuuaje ili hali na ushakufa tayari?
Bhangi na shisha zinamsumbua
jamii yake lazima ilipe kisasi,kisasi kinaleta heshma,mtu hawez kuchezea uhai wa mwingnesasa utamuuaje ili hali na ushakufa tayari?
idadi ya watu weusi wanaouwawa na polisi hapa bongo ni kubwa kuliko hata Marekani
Warudi kwao, kwani ni lazima wakafia ugenini?Wenye ngozi nyeusi wanadhalilika sana Marekani
Mungu aisimamie Marekani. Kinachoenda kutokea kama hakitaangaliwa vizuri ni balaa
Sidhani kama kulinganisha jambo hili na hali ya usalama kenya, syria ama somalia itakuwa sahihiMambo wala siyo mabaya kama mnavyotaka kuamini. Marekani siyo Syria au Somalia.
Licha ya matukio machache ya hapa na pale nadiriki kusema kabisa kuwa Marekani ni salama kuzidi hata Kenya.
Hii ya kulipa kisasi ni kwa mjibu wa boko haramu tu.