Jeshi la Iran limekanusha taarifa za kuwepo kwa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran, na kuibua mashaka kuhusu mpango wa amani wenye vipengele 15 unaodaiwa kuwasilishwa na Ikulu ya Marekani.
Ebrahim Zolfaghari, msemaji mkuu wa jeshi la Iran Makao Makuu Khatam Al-Anbiya, ametoa hotuba akiikejeli Marekani kwa kile alichodai ni juhudi za kujiondoa kwenye vita iliyoianzisha pamoja na Israel, akidai Iran haitoingia makubaliano kamwe.
“Msiiite kushindwa kwenu kuwa ni makubaliano,” alisema.
“Je, migogoro yenu ya ndani imefikia hatua ya kwamba mnajadiliana wenyewe kwa wenyewe?”
“Neno letu la kwanza na la mwisho limekuwa lilelile tangu mwanzo, na litaendelea kuwa hivyo: Watu kama sisi hatuwezi kamwe kukubaliana na watu kama nyinyi,” aliongeza Zolfaghari.
“Sio sasa, wala si wakati wowote.”- Amesema Ebrahim Zolfaghari, msemaji mkuu wa jeshi la Iran Makao Makuu Khatam Al-Anbiya
Soma pia Iran yasema hakuna mazungumzo kati yake na Marekani, yadai ni njama za Trump
============
The Iranian military has dismissed reports of US-Iran peace negotiations, casting doubts over the 15-point peace plan reportedly put forward by the White House.
Ebrahim Zolfaghari, a spokesperson for the Iranian military’s Khatam Al-Anbiya Central Headquarters that commands both the regular military and the Revolutionary Guards (IRGC), gave a pre-recorded televised address where he mocked the US' efforts to pull out of the war it started alongside Israel.
"Don't call your failure an agreement," he said.
"Have your internal conflicts reached the point where you are negotiating with yourselves?"
"Our first and last word has been the same from day one, and it will stay that way: Someone like us will never come to terms with someone like you," Zolfaghari added.
"Not now, not ever."
Source: DW
Ebrahim Zolfaghari, msemaji mkuu wa jeshi la Iran Makao Makuu Khatam Al-Anbiya, ametoa hotuba akiikejeli Marekani kwa kile alichodai ni juhudi za kujiondoa kwenye vita iliyoianzisha pamoja na Israel, akidai Iran haitoingia makubaliano kamwe.
“Msiiite kushindwa kwenu kuwa ni makubaliano,” alisema.
“Je, migogoro yenu ya ndani imefikia hatua ya kwamba mnajadiliana wenyewe kwa wenyewe?”
“Neno letu la kwanza na la mwisho limekuwa lilelile tangu mwanzo, na litaendelea kuwa hivyo: Watu kama sisi hatuwezi kamwe kukubaliana na watu kama nyinyi,” aliongeza Zolfaghari.
“Sio sasa, wala si wakati wowote.”- Amesema Ebrahim Zolfaghari, msemaji mkuu wa jeshi la Iran Makao Makuu Khatam Al-Anbiya
Soma pia Iran yasema hakuna mazungumzo kati yake na Marekani, yadai ni njama za Trump
============
The Iranian military has dismissed reports of US-Iran peace negotiations, casting doubts over the 15-point peace plan reportedly put forward by the White House.
Ebrahim Zolfaghari, a spokesperson for the Iranian military’s Khatam Al-Anbiya Central Headquarters that commands both the regular military and the Revolutionary Guards (IRGC), gave a pre-recorded televised address where he mocked the US' efforts to pull out of the war it started alongside Israel.
"Don't call your failure an agreement," he said.
"Have your internal conflicts reached the point where you are negotiating with yourselves?"
"Our first and last word has been the same from day one, and it will stay that way: Someone like us will never come to terms with someone like you," Zolfaghari added.
"Not now, not ever."
Source: DW