Marekani kusitisha misaada kwa Uganda

Marekani kusitisha misaada kwa Uganda

tunataka bunge la katiba nalo liweke wazi hii kitu nashangaa kwanini wakina warioba walikwepa wasikae kujadili tu siasa katiba ni zaidi ya siasa ingawa kuna wabunge mashoga na wasagaji
 
Mbona nchi za uarabuni Kama UAE, Kuwait, Saudi Arabia, Qatar, Oman n.k. na zingine kama Brunei hazijapewa matakwa kama haya... Hawa wanapenda onea sana Afrika.

Baba wa taifa ndio alikuwa kinara wa kupinga mambo kama haya, ya kuchaguliwa sheria za nchi..

Mataifa ya magharibi wanaziogopa nchi hizo maana ni tajiri kuliko wao, na wao ndio wana tegemea kutoka Kwao, ndio maana kila
Siku wanachofanya ni kuwagombanisha iLi watawala mafuta km Iraq na kwingine, mbona hawapendi siria ? Kwavile Hakuna kitu, stupid hao , hongera Museveni , Kikwete kikaangoni, tunasubiri


Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
 
si shangai kauli ya kerry kwan nafaham marekan haja wahi kuwa na rafiki hata siku moja yeye ana washirika kwamba wakati wowote unaweza kuwa adui yake waganda hamja katwa mikono na siku zote matatizo kipimo cha akili
 
Jk nae bado anajifanya kukwepa maswali,nae ajiandae,watambana tu achague ushoga ama la miradi ya umeme ndo ifikie mwisho.

JK hajakwepa swali. JK amejibu swali sahihi kabisa, na amesema haungi mkono mahusiano ya ushoga. Na JK ameelewa vizuri mada na amejibu vizuri. Marekani hawalazimishi watu wa afrika kufunga ndoa za kisheria kwa watu wa jinsia moja, wamarekani wanapinga serikali za nchi ambazo mashoga wanateswa hadi kuuawa. Na JK amesema hakuna shoga aliyeteswa wala kuuawa ndani ya TZ na amesema hayuko tayari kuruhusu ndoa za kisheria za jinsia moja. Na marekani hatoondoa miradi TZ. JK ni wale watu ambao hata akiwa serious hauwezi kujua kwa sababu sura yake ipo kama anatabasamu kila wakati.
Marekani kuna states takriban 50, states zinazozidi 40 zinapinga ndoa za jinsia moja, states zisizozidi nne ndio zinaruhusu ndoa hizo, hivyo basi kwa ujumla huwezi kusema marekani watatulazimisha kukubali ndoa za jinsia moja.
Same sex relationship na same sex marriage ni vitu tofauti, ingawa kimoja ni subset ya kingine.
 
Long live brother Kagutta,eti tukubali ushoga kwasababu ya hivyo vi USAID tusivikose,f*ck USAID,UGANDA ktk kilimo pekee wanaweza kuzalisha chakula cha kutosha EA nzima throughout the year,mungu nyoosha mkono wako.
 
Mimi naunga mkono Ushoga. (Mimi nalala na Wanawake tu)
 
Namaanisha Waafrika tayari ni wajinga wakubwa sana hivyo wala haihitaji mtu awaletee ujinga.

Ujinga tayari wanao.

Mimi sijali kama mtu analiwa tigo yake. Si ni yake bana..

Sasa tigo aliwe mwingine, kuhemka uhemke wewe. Majanga!!

yani wewe kila uzi unaohusu ushoga wewe unatetea una nini lakini.
 
Mimi siyo shoga. Sijawahi kuwa shoga. Sitakuja kuwa shoga.

Na maandishi yako humu hayawezi kunigeuza kuwa shoga.

Na kwa mtaji huo, hata wewe waweza kuwa shoga vile vile.

Kwanini usiwe shoga?
 
Mataifa mengine yanayositisha msaada uganda ni Norway,denmark,netherland,holland.
 
USA wanatafuta laana na wataporomoka kiuchumi very soon
 
USA wanatafuta laana na wataporomoka kiuchumi very soon

Pole sana mkuu, hao walishalaanika muda sana, ila sasa waelekea mwisho wao utafahamika tu..!

Maana wao sasa weshajiona ndo Miungu hapa Ulimenguni na mbaya zaidi wakuta baadhi ya wapuuzi na walaaniwa wenza wao ati hata hapa Tanzania petu pia hufurahika kwa Ushaitwaani ufanzwao na hao..!!

Kiwauliza nini shidaenu hadi mumkubali kiasi hito huyo fidhuli..!??

Majibu ati ndo Taifa lenye nguvu na ndo liamualo Duniani huwa na pasi na hivyo basi twafa ndaa...!!
Shida sana kwa mwene fikara kama hizo.

Yule alokuleta Duniani ndo atakayekulisha na hilo kwake si tabu hata ila kama utaketi ndani na kujitia ati mrokole pasi navkifanza kazi ili upate rizki atakayo kupangia.
 
matatizo ya kuwa tegemezi hayo. masharti ya ajabu ajabu kibao.
 
Back
Top Bottom