Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Mambo ya kijinga mnayo wala hamhitaji kuletewa.
Bwanchuchu hapo ndipo ninapokuona ww ni mtu muhimu sana kwangu,
Uelewa wako uko juu sana
Mambo ya kijinga mnayo wala hamhitaji kuletewa.
Mimi natetea watu kuishi wapendavyo.
Waziri wa mashauri ya Kigeni wa Marekani, John Kerry amesema tangu Uganda iidhinishe mswada huo miaka minne iliyopita, Marekani ilieleza wazi kwamba sheria hiyo inakiuka jukumu la kuhakikisha kuwepo haki za binaadamu ambalo tume ya haki za binaadamu Uganda inatambua linaambatana na sheria ya Uganda.
Kerry amesema,' Baada ya kuidhinishwa sheria hii, tunaanza ukaguzi wa ndani wa uhusiano wetu na serikali ya Uganda, kuhakikisha kwamba pande zote za uhusiano wetu, ukiwemo miradi ya msaada, zinapinga sera na sheria zinazowaonea watu na tuwe na uhusiano unaodhihirisha maadili yetu'.
Tamko hilo limetolewa siku moja baada ya rais Yoweri Museveni kukaidi shinikizo la kimataifa na kutia saini sheria hiyo iliyo zusha mzozo, inayoharamisha mapenzi ya jinsia moja Uganda, hatua iliyozusha hisia kali.
Baadhi ya mataifa ya magharibi tayari yanatishia kukatiza msaada wa moja kwa moja kwa serikali ya Uganda.
Marekani inasema kuidhinishwa kwa sheria hiyo kunatishia hatari ya kurudi nyuma katika uwajibikaji wa Uganda kulinda haki za raia wake na kutishia jamii ya wapenzi wa jinsia moja Uganda.
Source:Msaada wa Marekani kwa Uganda - BBC Swahili - Habari
Bwanchuchu hapo ndipo ninapokuona ww ni mtu muhimu sana kwangu,
Uelewa wako uko juu sana
Just come out of the closet. It ain't that big of a deal.
You have made me laugh Mr. Gay, naona unataka member , I will never be in your shoes, undelea na ushoga wako na walaaniwa wenzako
I sign out
Namaanisha Waafrika tayari ni wajinga wakubwa sana hivyo wala haihitaji mtu awaletee ujinga.
Ujinga tayari wanao.
Mimi sijali kama mtu analiwa tigo yake. Si ni yake bana..
Sasa tigo aliwe mwingine, kuhemka uhemke wewe. Majanga!!
Kuna methali ya wahenga wetu kwamba...''what i see while seating U cannot see even when standing'' ...Leo hujali kama mtu akiliwa tigo yake, kesho hutajali jirani, rafiki, akiliwa tigo yake, pengine hata pale nduguyo atakapoliwa tigo yake, na pengine hata mtoto wako....Haya ni mawazo potofu sana kwa yeyote mwenye kujali maadili.
Hata kama ni mtoto, alimuradi keshakuwa mtu mzima mwenye utashi, ridhaa, na hiari, acha aliwe tigo. Si ni yake?
Wewe kama hupendi kuliwa tigo yako basi usiigawe. Baki nayo mwenyewe na waache wenye kupenda kufanya hivyo wafanye watakavyo.
Na kama hawakuingilii kwenye maisha yako basi na wewe huna haki wala mamlaka ya kuyaingilia maisha yao hata kama hupendi wafanyayo.
Msalimie Jassu
Namaanisha Waafrika tayari ni wajinga wakubwa sana hivyo wala haihitaji mtu awaletee ujinga.
Ujinga tayari wanao.
Mimi sijali kama mtu analiwa tigo yake. Si ni yake bana..
Sasa tigo aliwe mwingine, kuhemka uhemke wewe. Majanga!!
Mjinga ni wewe unaekung'utwa 0713..!!
Mjinga ni wewe unayeandika mambo ambayo huyajui.
Bwa'Nchuchu..
Hahahahaha
Kumbe..!
Mimi natetea watu kuishi wapendavyo.