Marekani inaomba "po" kiaina: Inaiambia Ukraine ikubali mazungumzo ya amani na Urusi!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha Urusi bali kuna dalili ya Ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya Ukraine yameota mbawa!

Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha Urusi kusalimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga!

Kuona hivyo japo kwa aibu lakini Marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri Ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia Ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya Urusi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye Urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media
 
The Biden administration is privately encouraging Ukraine’s leaders to signal an openness to negotiate with Russia and drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, according to people familiar with the discussions.
 
Nadhani shida ni kiingereza.
Tafsiri hii hapa wewe unayedai kujua kiingereza!! halafu utuambie kama msimamo wa kugomea mazungumzo na Putin bado marekani wanaushikilia!
The Biden administration is privately encouraging Ukraine’s leaders to signal an openness to negotiate with Russia and drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, according to people familiar with the discussions.
 
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha urusi bali kuna dalili ya ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya ukraine yameota mbawa! Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha urusi kusalkimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga! Kuona hivyo japo kwa aibu lakini marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya uruisi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media
Nilishasemaga Western hawawezi kushinda hii vita kwa njia yoyote ile. Inasikitisha wamechelewa sana kufahamu hili jambo
 
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha urusi bali kuna dalili ya ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya ukraine yameota mbawa! Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha urusi kusalkimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga! Kuona hivyo japo kwa aibu lakini marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya uruisi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media
Tulishakubaliana Vyombo vya mgharibi vinapiga Propaganda. Kwahiyo Hii Ni Propaganda nyingine kutoka WASHINGTON POST.
 
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha urusi bali kuna dalili ya ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya ukraine yameota mbawa! Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha urusi kusalkimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga! Kuona hivyo japo kwa aibu lakini marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya uruisi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media
....sisi Warusi wa huku Mbwinde tunamuomba Braza Putin aliposhikilia hapo hapo asiachie mambo ya ku-withdraw kimbinu hatutaki na hayo mazungumzo yeye ndiye awe mzungumzaji wengine wasikilizaji na watia sahihi kukumaji wakubwa hao.
 
Tafsiri hii hapa wewe unayedai kujua kiingereza!! halafu utuambie kama msimamo wa kugomea mazungumzo na Putin bado marekani wanaushikilia!
The Biden administration is privately encouraging Ukraine’s leaders to signal an openness to negotiate with Russia and drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, according to people familiar with the discussions.
Bado tatizo lako ni lugha ya Malkia
 
Walidhani wataidhoofisha Urusi kijeshi na kiuchumi kwa kuiwekea vikwazo,kuipa Ukraine silaha na fedha Huku wao wakibaki "stable".
Hakuna kitu kama hicho.
 
Tafsiri hii hapa wewe unayedai kujua kiingereza!! halafu utuambie kama msimamo wa kugomea mazungumzo na Putin bado marekani wanaushikilia!
The Biden administration is privately encouraging Ukraine’s leaders to signal an openness to negotiate with Russia and drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, according to people familiar with the discussions.
Kubali tu kwamba lugha ya mfalme inakupiga chenga..,Sasa mtu unajifanya mjuaji alafu unataka kuwalazimisha watu watafasiri?.., muungwana akivuliwa nguo uchutama..,na asipochutama tunamuacha hivyo hivyo tu aendeleze ujinga wake

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha urusi bali kuna dalili ya ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya ukraine yameota mbawa! Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha urusi kusalkimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga! Kuona hivyo japo kwa aibu lakini marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya uruisi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media
Hivi nyie pro russia shule mmeenda kweli umesoma vema habari hii au unakurupuka .kama umeisoma hichi kipengele ulikiona
The request by American officials is not aimed at pushing Ukraine to the negotiating table, these people said. Rather, they called it a calculated attempt to ensure the government in Kyiv maintains the support of other nations facing constituencies wary of fueling a war for many years to come.
 
Nadhani shida ni kiingereza.
Jamaa kingereza halijui habari limebeba nusunusu .hichi kipengele limetoa
The request by American officials is not aimed at pushing Ukraine to the negotiating table, these people said. Rather, they called it a calculated attempt to ensure the government in Kyiv maintains the support of other nations facing constituencies wary of fueling a war for many years to come.
 
Back
Top Bottom