Marekani imeanza kujihami mapema kuhusu vifaru vyake vya ABRAHAMS inavyopeleka Ukraine!! Inahofu vitaunguzwa na kutekwa na URUSI!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,039
Marekani imeshaanza kuonesha hofu ya vifaru vyake kutekwa au kuchomwa moto na Majeshi ya urusi kama ambavyo vifaru vya ujerumani (Leopords) vinavyochomwa moto na kutekwa huko ukraine!! Marekani inasema kuwa itavyofoa sehemu muhimu kwenye vifaru hivyo ikiogopa teknologia yake kuangukia mikononi mwa urusi!!

Lakini hii ni uongo!! Marekani inajua kuwa vifaru vyake ni lazima vitateketezwa tu huko ukraine. Inajihami ili vitakapounguzwa iseme kuwa ni kwa kuwa nilivipunguzia makali!! Ije iseme kuwa nisingenyofoa sehemu zake muhimu urusi isingeweza kuviunguza!! Ninaamini kabisa hakuna sehemu ya vifaru hivyo itakayonyofolewa!! Sababu yake ni kwamba marekani ingependa kujua je vifaru vyake kama vilivyo vina uwezo kiasi gani kupambana na silaha za urusi? je waboreshe kipi? Hilo ni moja ya lengo lao.

Hadi sasa Marekani imeshajiridhisha kuwa magari yake ya vita (Badley fighting vehicles) si lolote si chochote mbele ya zana za kivita za Urusi. Inataka kuona pia vipi kwa vifaru vyake!!

The 16 US Bradley infantry fighting vehicles either destroyed or damaged and abandoned in recent days represent almost 15% of the 109 that Washington has given Kyiv, according to Jakub Janovsky of the Dutch open-source intelligence website Oryx, which has been collecting visual evidence of military equipment losses in Ukraine since Russia’s invasion began on February 24, 2022.

US to give Ukraine Abrams tanks without ‘sensitive technology’ – media​

The tanks that Washington plans to send to Kiev will first be stripped of modern armor and electronics, Western outlets have reported.
 
Ukraine imeshakata tamaa!! Aliingizwa mkenge akakubali kutumiwa na NATO ili damu ya Wa-Ukraine itumike kupigana na Urusi!! Ukraine iliaminishwa kuwa kwa kupewa silaha za Marekani na NATO kwa ujumla ni lazima wataishinda Urusi. Zelensky akaambiwa asitishe mazungumzo ya amani na Urusi!! Marewkani ikasema ni lazima Urusi ishindwe kwenye uwanja wa vita!!

Tulipofikia sasa Marekani inahaha kutafuta gia ya kuanza mazungumzo na Urusi!! Inajaribu kuzishawishi nchi zilizogoma kuilaani urusi na zikagoma kuiwekea vikwazo zikubali kusaidia kuishinikiza urusi iachane na vita na kuanza mazungumzo. Wamepanga kikao kufanyika Saudi arabia bila kuishirikisha urusi na kuzialika India, Afrika ya kusini, Brazil ili kujaribu kuzishawishi.

Imefikia pahala ambapo Zelensky amekiri wazi kuwa hakuna kiwango cha msaada toka nchi za magharibi utakaotosha kuisaidia ukraine kushinda vita. Hadi sasa ukraine imekea zaidi ya dola za marekani bilioni 185 kama silaha na misaada mingine lakini kilio ni kile kile HAZITOSHI!!

‘Nothing is enough’ for Ukraine – Zelensky​

Kiev will need more assistance from its Western backers until its conflict with Russia ends, the Ukrainian president has said
‘Nothing is enough’ for Ukraine – Zelensky

FILE PHOTO: Ukrainian President Vladimir Zelensky © Global Look Press / Office of the President Of Ukraine
The assistance that has been provided by the US and its allies to Ukraine is not enough, President Vladimir Zelensky told Brazil’s Globo News broadcaster in an interview last week. As long as Kiev’s conflict with Moscow carries on, no amount of help will be sufficient, he added.
“As long as the war continues, nothing can be enough,” Zelensky told Globo, as reported by Russia’s RIA Novosti.

The total amount of Western aid to Kiev added up to €165 billion ($185.6 billion) by early summer 2023, according to data from the Kiel Institute for the World Economy (IfW). Some of Kiev’s Western backers shouldered additional costs due to the need to accommodate refugees coming from Ukraine, the IfW reported.

Zelensky amechelewa sana kupata ufahamu huu kuwa hakuna kiwango cha misaada toka nchi za magharibi zinazoweza kutosha kumpatia ushindi dhidi ya URUSI!! Kama tukiwa wakweli, Ukraine kama ukraine isingefika mwaka 2023 ikipigana na urusi maana ilimaliza silaha zake mapema sana!! kinachomfanya aendelee ni misaada ya silaha toka NATO ambayo nayo keshajiridhisha kuwa haitaweza KUTOSHA!! Huku ni kukata tamaa kunakotokana na kuutam,bua ukweli kuwa Urusi si ya kushindwa vita hivi!!
 
walete tu hivyo vifaru vinasubiriwa kwa hamu kubwa na Iskander
Marekani imekuwa iki-overate vifaru vyake na magari yake ya kivita ili kuhalalisha kuviuza kwa bei mbaya. Lakini kiuhalisia ni vya kawaida sana na havina ubora unaodaiwa na vinashambulika kirahisi sana!
 
Back
Top Bottom