Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Labda urudi kusoma iliendaje mpaka pakawepo mkataba wa campdavid ambao ndo ulisimamisha vita.Nafahamu Lkn hapo awali Kabla ya mkataba kwanini Misri haikuwafurusha Hao askari waoga wakaondoka hapo Sinai???
ila kwa ufupi baada ya israel kuwa kama inaishiwa silaha wali i blackmail marekani iwape silaha ama la watafyatua nyuklia.marekani wakaanza ku airlift silaha kwenda israel,hapo mrusi nae kuona ivo akatishia kuingilia kwa upande wa misri.marekani wakaona patazuka vita vya tatu ndo akaanzisha mazungumzo ya campdavid.