Marekani ina kibarua kigumu Syria

Marekani ina kibarua kigumu Syria

Status
Not open for further replies.
Labda urudi kusoma iliendaje mpaka pakawepo mkataba wa campdavid ambao ndo ulisimamisha vita.
ila kwa ufupi baada ya israel kuwa kama inaishiwa silaha wali i blackmail marekani iwape silaha ama la watafyatua nyuklia.marekani wakaanza ku airlift silaha kwenda israel,hapo mrusi nae kuona ivo akatishia kuingilia kwa upande wa misri.marekani wakaona patazuka vita vya tatu ndo akaanzisha mazungumzo ya campdavid.



Ok kwanini Misri ambao wao Silaha hawakuishiwa wasivuke mpaka na kukalia maeneo ya Israel ata kidogo...? Au kwanini isiwatoe ktk hiyo milima mpk ya Misri baada ya kuonekana Hawa wameanza kuishiwa Silaha? Mbona hili swali hulijibu na unaleta story Za mitaani eti Israel ilitishia kutumua Nyuklia..? Unafahamu ni Silaha gani zilitumika na Waisrael ktk uvamizi wa Gaza mwaka 2008-2009 ambazo zilifanya IDF ikumbwe na kashfa? Km hapa Gaza walitumia hizo Silaha mbaya kwanini washindwe kuzitumia huko kwa Misri ktk Sinai? Au unabumbabumba hoja tu ilimradi kujifurahisha?
 
Ni kweli kabisa Israel ni nchi inayotililika maziwa na Asali,Ndiyo maana watu wanaitolea mimacho.
This is Tel Aviv

dest_ss_tel-aviv_001_596x334_596x334.jpg


tel-aviv-sunset-time-ron-shoshani.jpg


globalcity580.jpg



Tel-Aviv-Night-Skyline-2013.jpg



News-24-lug-Tel-Aviv.jpg



Israel-TelAviv-JeffreyWorthington2012-DSC09299.jpg
 
We jamaa,unataka kuninasa.
anyway hawa akina joshua wakitoka misri walikozaliwa wakaja hadi nchi ya caanan ambayo baadae ikaitwa palestina na kupora ardhi toka kwa wakazi wa maeneo hayo ya caanan ambayo baadae warumi waliita palestine.
kisha tena wakaja wazungu toka ulaya karne ya 18 wakisema wao ni uzao wa daud,wakapora tena ardhi toka kwa wapalestine na kuanzisha taifa la israel.



Umekua ukidai kupewa chanzo cha kuaminika cha habari...! Aya mi Naomba unipe ushahidi wa hicho unachosema kua kina Joshua walikuja hapo Caanan WAKAPORA hiyo nchi tena sijui kutoka kwa Wakazi gani Hao walioporwa..?

Alafu ktk maelezo yako hapo umesema kina Joshua walifika Caanan na si Palestine.. Na hili jina la Palestine liliitwa na Warumi baada ya Joshua kufika Caanan... Kwa mtazamo huo huoni Wayahudi walifika kwanza ktk hiyo ardhi Kabla ya wapalestine kuwako?

Alafu baada ya Rumi ya kipagana kuporomoka unaweza kunipa ushahidi wa Wayahudi kuchukuliwa utumwani na kuiacha nchi Yao?
 
Dhubutu yao!!!haitatokea wala hawatajaribu wakijaribu itakuwa sana na kujichimbia kaburi,Ni kweli waarabu wana majeshi makubwa sana na silaha za kutosha na mafuta si ya kuhemea lakini hawawezi kuingia vitani na Israel wakatoka salama,Waarabu kiboko yao ni haya ma-ISIS huoni yalivyowatoa kamasi ikabidi waombe msaafa Marekani wadaidiwe.Kwa Israel ni kikomo cha magari mabovu.



Huyu Elungata amekua anakwepa kutoa Majibu km haya ktk Maswali niliyomuuluza....! Anazunguka tu. Km wao waarabu wako na nguvu wainuke waipige Israel Mbona Israel inafanya sn ubabe ktk mataifa Yao wao Wanashindwa nini Wakati wako na AK 47 na Hawa askari wa Israel waoga...??? Teh Teh Teh Teh..!

Mkuu Echolima Warahi nakuambia km Iran ingekua inapakana kimipaka na Israel na yenyewe ingeshapigwa na Israel na kukaliwa baadhi ya maeneo yake km vile Sinai, Golani na kusuni mwa Lebanon...!
 
Last edited by a moderator:
The Big Dog Iran anaujua vizuri Mziki wa Israel,atabaki kulalama kwa mbali na kupenyeza silaha zake kwa Hamas.
Huyu Elungata amekua anakwepa kutoa Majibu km haya ktk Maswali niliyomuuluza....! Anazunguka tu. Km wao waarabu wako na nguvu wainuke waipige Israel Mbona Israel inafanya sn ubabe ktk mataifa Yao wao Wanashindwa nini Wakati wako na AK 47 na Hawa askari wa Israel waoga...??? Teh Teh Teh Teh..!

Mkuu Echolima Warahi nakuambia km Irani ingekua inapakana kimipaka na Israen na yenyewe ingeshapigwa na Israel na kukaliwa baadhi ya maeneo yake km vile Sinai, Golani na kusuni maw Lebanon...!
 
Last edited by a moderator:
The Big Dog Iran anaujua vizuri Mziki wa Israel,atabaki kulalama kwa mbali na kupenyeza silaha zake kwa Hamas.



Unajua Huyu Elungata anaongea kiushabiki sn Wakati Hao waarabu anao waona wanaweza wanaishia kurusha KATUSHA tu na kujificha kwenye mahandaki.. Na hawasogezi miguu Yao kuingia ndani ya Israel...! Kwanini Wanashindwa?
 
Last edited by a moderator:
Ok kwanini Misri ambao wao Silaha hawakuishiwa wasivuke mpaka na kukalia maeneo ya Israel ata kidogo...? Au kwanini isiwatoe ktk hiyo milima mpk ya Misri baada ya kuonekana Hawa wameanza kuishiwa Silaha? Mbona hili swali hulijibu na unaleta story Za mitaani eti Israel ilitishia kutumua Nyuklia..? Unafahamu ni Silaha gani zilitumika na Waisrael ktk uvamizi wa Gaza mwaka 2008-2009 ambazo zilifanya IDF ikumbwe na kashfa? Km hapa Gaza walitumia hizo Silaha mbaya kwanini washindwe kuzitumia huko kwa Misri ktk Sinai? Au unabumbabumba hoja tu ilimradi kujifurahisha?
Ntakujia na majibu ngoja niamke,mimi huwaga silopoki bana.
 
Naomba mkuu unisaidie maana mimi nijuavyo 1967 hakukuwepo nchi wala watu waliokuwa wanaitwa Wapalestina kusema nchi au wapalestina imetokea 1967 huko nyuma hakuwepo,na mwaka 1967 lile Gazeti maarufu Huko Israel lilikuwa linaitwa Palestina Post la wayahudi ila sasa hivi linaitwa Jerusalem Post.Naomba nawe unieleze Rais wa kwanza wa palestina ni nani na ilipata uhuru mwaka gani na imeporwa mwaka gani ikiwa chini ya rais nani.
Sasa hapa nashindwa nimlaumu nani.
nimlaumu jk kwa kumteua huyu mtu kuwa waziri ama nimlaumu mulugo mwenyewe kwa kutusababishia haya majanga.
anyway ntakuja kujaribu kukuelewesha.
 
Wewe jamaa kwa kuruka viunzi unajua sana na kurushia watu wengine mizigo ni mtaalamu sana Elungata.
Sasa hapa nashindwa nimlaumu nani.
nimlaumu jk kwa kumteua huyu mtu kuwa waziri ama nimlaumu mulugo mwenyewe kwa kutusababishia haya majanga.
anyway ntakuja kujaribu kukuelewesha.
 
Last edited by a moderator:
Umekua ukidai kupewa chanzo cha kuaminika cha habari...! Aya mi Naomba unipe ushahidi wa hicho unachosema kua kina Joshua walikuja hapo Caanan WAKAPORA hiyo nchi tena sijui kutoka kwa Wakazi gani Hao walioporwa..?

Alafu ktk maelezo yako hapo umesema kina Joshua walifika Caanan na si Palestine.. Na hili jina la Palestine liliitwa na Warumi baada ya Joshua kufika Caanan... Kwa mtazamo huo huoni Wayahudi walifika kwanza ktk hiyo ardhi Kabla ya wapalestine kuwako?

Alafu baada ya Rumi ya kipagana kuporomoka unaweza kunipa ushahidi wa Wayahudi kuchukuliwa utumwani na kuiacha nchi Yao?
Ni sawa na unasema waingereza walifika Tanganyika kabla ya Watanzania,it doesnt make sense.
jina la sehemu linapobadilika haina maana kuwa na wenyeji ama wakaazi wa eneo husika wanatoweka.
 
Wewe jamaa kwa kuruka viunzi unajua sana na kurushia watu wengine mizigo ni mtaalamu sana Elungata.
Sasa unaposema mwaka 1967 kama ujuavyo wewe hapakuwepo na palestine ama wapalestine,unategemea nimlaumu nani kama si mulugo?,kwani kukulaumu wewe ni kukuonea tu.
ntakuwekea document ya eistein myahudi mwenye akili kuliko watu wote aki refer nchi anayoishi kama palestina miaka ya nyuma sana,ili ujue palestina ilikuwepo.
lakini yataka ujue kuwa palestina,caanan,congo,zaire,tanganyika,tanzania etc ni majina tu.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom