Marekani ina kibarua kigumu Syria

Marekani ina kibarua kigumu Syria

Status
Not open for further replies.
IDF si wana makomando bana,kwanini wasiende nyumba hadi nyumba na kuwasaka hao hamas,badala ya kufanya capertbombing?.
then wanaripua mpaka generator la umeme,nalo sijui limewakosa nini.


Mara kadhaa makomando wa IDF wameendesha oparesheni Za kuvamia Nyumba na kukamata watu waliowataka... Au wewe hufahamu?

Ukijificha kwa Raia wa kawaida kutiwa Dhiki kubwa ni haki yako... Ndio Maana unaona Generator inalipuluwa...! Ni halali kabisa. Na si Hilo tu generator unaweza ukatiwa Dhiki na shida kibao mpk raia wako wakakuchukia na kukutoa huko ulikojificha au wakasaidia kuwainyesha maadui machimbo yako...! Au hujui hili?
 
Ninafahamu kabisa kua mabomu ya kutega ardhini sio Silaha kubwa..! Lkn nafikiri mpk Sasa ungekua umejifunza kitu na kuacha kuwaita Waisrael Waoga hasa kutokana na Maswali nikiyokuuluza hapo nyuma na pia nimekuonyesha Mara kadhaa Israel (Askari waoga) imevamia mataifa kadhaa ya kiarabu Lkn Hao waarabu majasiri hawajafanya hivyo ata Mara moja. Hivyo kuendelea kuwaita Waisrael waoga ni kujilisha matango pori...!

Alafu lengo la kutega mabomu ya ardhini Kusini mwa Lebanon si woga km unavyosema wewe. Walifanya hivyo makusudu ili Hizb wasirudi ktk maeneo hayo na jinsi IDF walivyo wataalamu walipima maeneo ambayo Roketi Za Hizb zikirushwa zinafika Israel basi hapo ndo wakayatega. Je umeona tena KATUSHA zinarushwa toka Lebanon?


Alafu nikija Gaza, Gaza Hamas hawana yunifomu kwamba unaweza ukawaona ktk sare zao na ukawatambua km jinsi jeshi la Israel lilivyo..!! Na pia wanajificha ktk makazi ya raia na sehemu Za huduma Za kijamii huku wakiendeleza harakati zao... Sasa IDF wafanye nini km sio kuwachapa tu vyovyote? Alafu baada ya hapo wapalestine wanakimbia ktk Vyombo vya habari na jumuia za kimataifa na kuanza kupiga kelele wanapiga raia wanaua watoto km sio unafiki ni nini?
Israel ilivamia mataifa ya kiarabu mwaka 67.
ilivamia lebanon miaka ya themanini na wameshatolewa.
lini wamevamia qatar,saud,kuwait etc.kumbuka uarabuni si nchi moja ziko nyingi.
israel imekalia palestina kwa nguvu na mgogoro bado upo ,israel imekua ikiomba wapalestina waitambue nao wamekataa,japo kuna nchi za arabuni zinaitambua .
israel imekua ikitaka wapalestina iwape sehemu ya ardhi yao kubadilishana kwa amani(land for peace).
na ivi karibu wanawadanyia wapalestina kuwapa jangwa la sinai iwe nchi yao.wapalestine hawataki kutolewa katika ardhi yao.
tatizo la nchi moja ya kiarabu usilazimishe iwe ya mataifa yote ya kiarabu.
 
Mara kadhaa makomando wa IDF wameendesha oparesheni Za kuvamia Nyumba na kukamata watu waliowataka... Au wewe hufahamu?

Ukijificha kwa Raia wa kawaida kutiwa Dhiki kubwa ni haki yako... Ndio Maana unaona Generator inalipuluwa...! Ni halali kabisa. Na si Hilo tu generator unaweza ukatiwa Dhiki na shida kibao mpk raia wako wakakuchukia na kukutoa huko ulikojificha au wakasaidia kuwainyesha maadui machimbo yako...! Au hujui hili?
Hiyo inaitwa collective punishement,jumuia za kimataifa zinakataa utaratibu huu.
huu utaratibu wa kuua watoto na wanawake na kwa makusudi ili eti wasiunge mkono adui zao,unatoa uhalali wapi?.sheria za kimataifa zinakataa.
 
Israel ilivamia mataifa ya kiarabu mwaka 67.
ilivamia lebanon miaka ya themanini na wameshatolewa.
lini wamevamia qatar,saud,kuwait etc.kumbuka uarabuni si nchi moja ziko nyingi.
israel imekalia palestina kwa nguvu na mgogoro bado upo ,israel imekua ikiomba wapalestina waitambue nao wamekataa,japo kuna nchi za arabuni zinaitambua .
israel imekua ikitaka wapalestina iwape sehemu ya ardhi yao kubadilishana kwa amani(land for peace).
na ivi karibu wanawadanyia wapalestina kuwapa jangwa la sinai iwe nchi yao.wapalestine hawataki kutolewa katika ardhi yao.
tatizo la nchi moja ya kiarabu usilazimishe iwe ya mataifa yote ya kiarabu.



Ok kwa hayo mataifa machache iliyoyavamia........ Mbona hatuoni taifa ata moja la kiarabu kuthubutu..... Maana Hawa waoga wamethubutu na Bado wanaendelea kuthubutu. Vipi Hawa ambao sio waoga? Kwanini na wao wasivamie? Nijibu hili mkuu!
 
Hiyo inaitwa collective punishement,jumuia za kimataifa zinakataa utaratibu huu.
huu utaratibu wa kuua watoto na wanawake na kwa makusudi ili eti wasiunge mkono adui zao,unatoa uhalali wapi?.sheria za kimataifa zinakataa.


Sheria Za kimataifa pia zinakataa makundi kufanya harakati Za kijeshi na kuuwa watu hovyo... Hamas uhalali wa hizo harakati wametoa wapi?

Na kwa kutanua wigo kidogo ili uelewe kua haya makundi hayana haki kufanya harakati zao.... Tizama wale wanashikiliwa Gwantanamo Bay..... Kwanini hawapandishi mahakamani? Wapelekwe mahakamani wakashitakiwe km mateka wa kijeshi au vp? Au washitakiwe km kina nani? Hii ni sawa na Hamas sasa! Kwa hiyo wakiendelea kujificha kwa raia watapigwa tu Maadamu wao wamevunja sheria kwanza...!
 
Ok kwa hayo mataifa machache iliyoyavamia........ Mbona hatuoni taifa ata moja la kiarabu kuthubutu..... Maana Hawa waoga wamethubutu na Bado wanaendelea kuthubutu. Vipi Hawa ambao sio waoga? Kwanini na wao wasivamie? Nijibu hili mkuu!
Ha ha ha,kuthubutu kufanya nini tena,hivyo ni vita vilitokea karibu miaka 50 iliyopita,sasa wathubutu nini tena?,mbona ujeruman hawathubutu kwa marekani,au argentina kwa uingereza?.
si walivamiana wakapigana basi wathubutu tena kufanya nini.
kama unaongelea golan,nishasema technical syria na israel ziko vitani kwani ishu ya golani haijawa resolved,ndo maana kuna UN peacekeeper,the same na hali ya korea kusini na kaskazini.
sasa we jamaa unataka kwa utashi wako wathubutu kufanya nini?
maisha sio game .
 
Ha ha ha,kuthubutu kufanya nini tena,hivyo ni vita vilitokea karibu miaka 50 iliyopita,sasa wathubutu nini tena?,mbona ujeruman hawathubutu kwa marekani,au argentina kwa uingereza?.
si walivamiana wakapigana basi wathubutu tena kufanya nini.
kama unaongelea golan,nishasema technical syria na israel ziko vitani kwani ishu ya golani haijawa resolved,ndo maana kuna UN peacekeeper,the same na hali ya korea kusini na kaskazini.
sasa we jamaa unataka kwa utashi wako wathubutu kufanya nini?
maisha sio game .



Naongelea hivyo kwasababu wewe unaichukulia Israel km ka kitu kadogo ktk uwezo wa kivita Wakati huo huo Israel imethubutu kukalia Golani Wakati huo huo Syria haijawahi kuingia ndani ya Israel au kukalia eneo la Israel... Upo hapo mkuu?
 
Naongelea hivyo kwasababu wewe unaichukulia Israel km ka kitu kadogo ktk uwezo wa kivita Wakati huo huo Israel imethubutu kukalia Golani Wakati huo huo Syria haijawahi kuingia ndani ya Israel au kukalia eneo la Israel... Upo hapo mkuu?
unaongea na mimi kama labda nimekua mwenyekiti wa arab league..haya mambo mi siwezi kuwaamulia na dunia hata haiendi kwa style hiyo,war is to expensiver in term of life and cost ndo maana hata mataifa makubwa yanalisolve kutumia proxy.
ingekua vita tamu,leo ungeona wamarekani wamejaa damuscu wanamtwanga asad.
unaposema israel wanawashambulia ,unaongelea habari za miaka ya nyuma.
ama vile vishambulizi vya hit and run kule syria?
 
Naongelea hivyo kwasababu wewe unaichukulia Israel km ka kitu kadogo ktk uwezo wa kivita Wakati huo huo Israel imethubutu kukalia Golani Wakati huo huo Syria haijawahi kuingia ndani ya Israel au kukalia eneo la Israel... Upo hapo mkuu?
Unajua kuwa eneo hilo liliwahi kuitwa syria palastine?.
sasa wewe jamaa golan ni ishu ya miaka 50 iliyopita na nimeshasema ni ishu iko pending na si lazima wapigane vita kurudisha ama si lazima wairudishe wiki hii kwa vita,wanaweza kuirudisha hata mwaka 2075,we wasiwasi wako ni nini?.golani si ipo tu haikimbii.watu watakuja watatoweka golani ipo,usikute miaka ya mbele ikawa mount fluk,lakini ni milima ileile tu.
 
unaongea na mimi kama labda nimekua mwenyekiti wa arab league..haya mambo mi siwezi kuwaamulia na dunia hata haiendi kwa style hiyo,war is to expensiver in term of life and cost ndo maana hata mataifa makubwa yanalisolve kutumia proxy.
ingekua vita tamu,leo ungeona wamarekani wamejaa damuscu wanamtwanga asad.
unaposema israel wanawashambulia ,unaongelea habari za miaka ya nyuma.
ama vile vishambulizi vya hit and run kule syria?



Kwanini Syria na wao wasifanye hit and run ndani ya Israel km rahisi?

Inawezekana wewe ni mwenyekiti wa Arab league kutoka na hoja zako hapo nyuma..! Nakutania tu mkuu..! Hahahaaaa!
 
Unajua kuwa eneo hilo liliwahi kuitwa syria palastine?.
sasa wewe jamaa golan ni ishu ya miaka 50 iliyopita na nimeshasema ni ishu iko pending na si lazima wapigane vita kurudisha ama si lazima wairudishe wiki hii kwa vita,wanaweza kuirudisha hata mwaka 2075,we wasiwasi wako ni nini?.golani si ipo tu haikimbii.watu watakuja watatoweka golani ipo,usikute miaka ya mbele ikawa mount fluk,lakini ni milima ileile tu.



Umeona sasa IDF walivyo vidume??? Tatizo lako hutaki kukubali ukweli...!
 
Sheria Za kimataifa pia zinakataa makundi kufanya harakati Za kijeshi na kuuwa watu hovyo... Hamas uhalali wa hizo harakati wametoa wapi?

Na kwa kutanua wigo kidogo ili uelewe kua haya makundi hayana haki kufanya harakati zao.... Tizama wale wanashikiliwa Gwantanamo Bay..... Kwanini hawapandishi mahakamani? Wapelekwe mahakamani wakashitakiwe km mateka wa kijeshi au vp? Au washitakiwe km kina nani? Hii ni sawa na Hamas sasa! Kwa hiyo wakiendelea kujificha kwa raia watapigwa tu Maadamu wao wamevunja sheria kwanza...!
Resistance to occupation ni basic right kwa wale ambao wako occupied.
sijawahi sikia kuna haki ya kusuppress occupied peoples by whatever means.
kule quantnamo marekani wanafanya EXTRA JUDICIAL DENTENTION ambayo ni sawa na kidnaping tu kama wanavyofanya isis.
marekani wanajua wanafanya kinyume na sheria ndo maana wanawaweka hao mateka huko quatnamo yaani wamezikimbia hadi sheria zao wenyewe kutowaweka marekani.
 
Kwanini Syria na wao wasifanye hit and run ndani ya Israel km rahisi?

Inawezekana wewe ni mwenyekiti wa Arab league kutoka na hoja zako hapo nyuma..! Nakutania tu mkuu..! Hahahaaaa!
Huwa wanafanya,japo jamaa wamejijengea maukuta.
halafu wewe ntuzu ukiwa rais wa marekani dunia imekwisha maana jinsi unavyoreason inaonekana una maamuzi ya kurukia sana.

kama nilivyosema awali,baada ya isis kupenya syria na kuelekea kuingia damusca ,syria wakatumia chemicaly kuwarudisha nyuma.
lakini kumbe alietoa amri ya kutumia chemicaly alikua ni Maher assad,mdogo wake hafedh asad rais.maher ndo akiongoza elite syrian force responsible for protecting presdent and damusca city.
kwa maneno mengine rais asad hakutoa ok,ndo maana asad alimweka pembeni maher na pia kuamua chemical weapons ziharibiwe.
twaweza sema asad ni aina ya rais asiyekurupuka,anafikiri na kuconsider vitu vingi kabla hajakurupuka.
sasa wewe unataka nao waige ukichaa wa netanyau,sharon ama ehud barak?,hao jamaa ni wauaji tena wauaji wa kuua kwa mikono yao.
sharon alikufa katika mateso makubwa,ehud barak nae nasikia yuko hoi,kabakia huyu netanyau
 
Umeona sasa IDF walivyo vidume??? Tatizo lako hutaki kukubali ukweli...!
Mh,wewe ndo huoni uhalisia,major geopolitical shift hazichukui miaka sijui mitatu ni hundreds of years.
mfano ambao nautoa kichwani,babylon empire wamekaa hapo palestine kwa miaka 300.
persia empire 250.
otoman empire 300,british empire 150.
america empire ambao ndo wanaibeba israel 70.
kwahiyo bado changa,huwezi jua sasa miaka 30 ijayo itakuaje.
 
Hahahaaa! Mkuu Mbona sijawahi kusikia hayo matukio ata ya kuvunja maukuta?

Mkuu mi nikiwa Rais wa US basi dunia itapata Kz sn..!!!!!! Nakutania mkuu. Nimereason hivyo ili kwenda sawa na wewe Maana bila kufanya hivyo hatuwezi kwenda saws!



Huwa wanafanya,japo jamaa wamejijengea maukuta.
halafu wewe ntuzu ukiwa rais wa marekani dunia imekwisha maana jinsi unavyoreason inaonekana una maamuzi ya kurukia sana.

kama nilivyosema awali,baada ya isis kupenya syria na kuelekea kuingia damusca ,syria wakatumia chemicaly kuwarudisha nyuma.
lakini kumbe alietoa amri ya kutumia chemicaly alikua ni Maher assad,mdogo wake hafedh asad rais.maher ndo akiongoza elite syrian force responsible for protecting presdent and damusca city.
kwa maneno mengine rais asad hakutoa ok,ndo maana asad alimweka pembeni maher na pia kuamua chemical weapons ziharibiwe.
twaweza sema asad ni aina ya rais asiyekurupuka,anafikiri na kuconsider vitu vingi kabla hajakurupuka.
sasa wewe unataka nao waige ukichaa wa netanyau,sharon ama ehud barak?,hao jamaa ni wauaji tena wauaji wa kuua kwa mikono yao.
sharon alikufa katika mateso makubwa,ehud barak nae nasikia yuko hoi,kabakia huyu netanyau
 
Resistance to occupation ni basic right kwa wale ambao wako occupied.
sijawahi sikia kuna haki ya kusuppress occupied peoples by whatever means.
kule quantnamo marekani wanafanya EXTRA JUDICIAL DENTENTION ambayo ni sawa na kidnaping tu kama wanavyofanya isis.
marekani wanajua wanafanya kinyume na sheria ndo maana wanawaweka hao mateka huko quatnamo yaani wamezikimbia hadi sheria zao wenyewe kutowaweka marekani.



Lkn hujanijibu uhalali wa kufanya hizo harakati hamas wamezitoa wapi?
 
Lkn hujanijibu uhalali wa kufanya hizo harakati hamas wamezitoa wapi?
Zinakuja naturaly kwani mtu aliyeko underoccupation naturaly tu ataresist.
ambacho sijawahi sikia kuwepo ni haki ya kimsingi ya nchi ama jamii fulani kukalia nchi jamii fulani kwa nguvu.
 
Zinakuja naturaly kwani mtu aliyeko underoccupation naturaly tu ataresist.
ambacho sijawahi sikia kuwepo ni haki ya kimsingi ya nchi ama jamii fulani kukalia nchi jamii fulani kwa nguvu.
Mkuu bado nasubiri kwa hamu sana.
 
Zinakuja naturaly kwani mtu aliyeko underoccupation naturaly tu ataresist.
ambacho sijawahi sikia kuwepo ni haki ya kimsingi ya nchi ama jamii fulani kukalia nchi jamii fulani kwa nguvu.



Nimekuuliza tangu hapo nyuma Lkn nashangaa hujanijibu.

Kati ya wapalestine na Waisrael ni nani aliepewa hiyo nchi na Mungu? Au Hilo swali hujaliona?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom