Marekani ina kibarua kigumu Syria

Marekani ina kibarua kigumu Syria

Status
Not open for further replies.
Sasa unaposema mwaka 1967 kama ujuavyo wewe hapakuwepo na palestine ama wapalestine,unategemea nimlaumu nani kama si mulugo?,kwani kukulaumu wewe ni kukuonea tu.
ntakuwekea document ya eistein myahudi mwenye akili kuliko watu wote aki refer nchi anayoishi kama palestina miaka ya nyuma sana,ili ujue palestina ilikuwepo.
lakini yataka ujue kuwa palestina,caanan,congo,zaire,tanganyika,tanzania etc ni majina tu.

Sasa tena unaanza kujihami
 
Ok kwanini Misri ambao wao Silaha hawakuishiwa wasivuke mpaka na kukalia maeneo ya Israel ata kidogo...? Au kwanini isiwatoe ktk hiyo milima mpk ya Misri baada ya kuonekana Hawa wameanza kuishiwa Silaha? Mbona hili swali hulijibu na unaleta story Za mitaani eti Israel ilitishia kutumua Nyuklia..? Unafahamu ni Silaha gani zilitumika na Waisrael ktk uvamizi wa Gaza mwaka 2008-2009 ambazo zilifanya IDF ikumbwe na kashfa? Km hapa Gaza walitumia hizo Silaha mbaya kwanini washindwe kuzitumia huko kwa Misri ktk Sinai? Au unabumbabumba hoja tu ilimradi kujifurahisha?
Hizi ni habari za mitaani kweli?.
1436902402.jpg
.
huyo mwenye chongo ndo moshe dayan alipoona wanaelemea alijaribu kumshawishi golda meir watumie nuclear.ndo golda meir akaenda washington na kumwambia rais nixon kuwa kama marekani haitoi silaha israel wataripua nyuklia.
 
Ni sawa na unasema waingereza walifika Tanganyika kabla ya Watanzania,it doesnt make sense.
jina la sehemu linapobadilika haina maana kuwa na wenyeji ama wakaazi wa eneo husika wanatoweka.


Lete ushahidi kutoka kokote na si Majibu ya kisiasa km haya...! Maana mmekua mkiimba sn humu
Kua Hawa Waisrael pale si kwao... Haya tuambie kwao ni wapi Na nani Mwenye asili ya pale alieporwa???


Ukileta ushahidi wa kisiasa km Huu hapo juu utakua sawa Ma Wazanzibar wanaodai kunyonywa na bara Wakati hawachangii chochote kile ktk muungano...!
 
Hii hapa haaretz source.in case hufahamu hili ni gazeti la israel.
Media outlets around the world have reported that state archive documents declassified this week showed that Israel's leadership considered using "drastic means" during the 1973 Yom Kippur War.
On October 9, a day after Egypt repulsed Israel's counterattack on the southern front, prime minister Golda Meir convened a top-level discussion in her office.
The outlook was grim. Troop losses were high, and ammunition and weapons stores were running out. At one point, Meir blurted out that she had a "crazy idea."
That idea, however, was not a nuclear attack, but many believe a lightning visit to Washington to meet with U.S. president Richard Nixon. The visit was to be so secret that Meir advocated not even informing the cabinet. Defense minister Moshe Dayan supported her plan, but it was never implemented.
At the same meeting, officials also discussed the option of having the air force bomb strategic sites in Damascus.
Was the "crazy idea" connected to a critical strike at Syria. It seems the answer is yes.
In another meeting - according to Hanna Zemer, the one-time editor of the newspaper Davar - Dayan spoke of the possibility that "the Third Temple," meaning the state, would be destroyed. Foreign news outlets have reported that Israel readied its nuclear weapons and even considered using them as a last resort.
The Dimona nuclear facility was completed in 1960. Those same foreign reports say Israel had several dozen nuclear weapons in October 1973, as well as the means to deliver them: French-made Mirage and U.S.-made Phantom aircraft and the Jericho missile, an Israeli improvement on a French model. All of these, the reports said, were at full readiness.
Investigative journalist Seymour Hersh called his book on Israel's nuclear program "The Samson Option." The implication is that Israel would use atomic weapons if it viewed itself as facing certain, imminent destruction.
If these reports are accurate - and the documents released this week do not confirm them, but possibly only hint at them through portions blacked out by the military censor - this would be neither the first nor the last time Israel's leaders have discussed their so-called "doomsday weapons."
International researchers have posited that Israel had a nuclear device even before the 1967 Six-Day War.
In 1991, Israel again reportedly considered using atomic weapons in response to the Scud missile attacks launched by Saddam Hussein during the Gulf War. Rightist ministers, including Yuval Ne'eman (a physicist involved in Israel's nuclear program), Rafael Eitan and Rehavam Ze'evi, urged Yitzhak Shamir's government to respond forcefully, but Shamir rejected Israeli military action out of hand.
In recent years, as Iran emerged as Israel's foremost threat, experts at home and abroad have raised the nuclear option once again. In lectures in Vienna and Berlin, and later in an ill-considered op-ed in The New York Times, historian Benny Morris has urged Israel's leaders to hit Iran with a nuclear bomb.
Thankfully, government officials on both left and right have thus far shown responsibility and stuck to the ambiguity policy instituted in 1961, under which Israel promised it would not be the first country to introduce nuclear weapons to the Middle East.
They know as well as anyone that the first country to do so will not only forfeit its seat among the community nations, but will likely cease to exist.
To get the latest from Haaretz
Like us on Facebook and get articles directly in your news feed
 
Alafu kuna account ya neno kwa neno kama sikosei iko katika archieve za gazeti la times of israel maybe nikipata ntaweka.vilevile kuna source nyingi tu za kujaza toyota pickup,tembelea google.
 
Lete ushahidi kutoka kokote na si Majibu ya kisiasa km haya...! Maana mmekua mkiimba sn humu
Kua Hawa Waisrael pale si kwao... Haya tuambie kwao ni wapi Na nani Mwenye asili ya pale alieporwa???


Ukileta ushahidi wa kisiasa km Huu hapo juu utakua sawa Ma Wazanzibar wanaodai kunyonywa na bara Wakati hawachangii chochote kile ktk muungano...!
Just staytuned nakupa summary,ili uelewe ntaenda deep haraka ya nini.
 
Hizi ni habari za mitaani kweli?.
1436902402.jpg
.
huyo mwenye chongo ndo moshe dayan alipoona wanaelemea alijaribu kumshawishi golda meir watumie nuclear.ndo golda meir akaenda washington na kumwambia rais nixon kuwa kama marekani haitoi silaha israel wataripua nyuklia.



Mbona unaleta mipasho mkuu??? Namfahamu Vzr Moshe Wala sijaomba unipe picha Yake.

Gaza 2008-2009 IDF ilitumua Silaha mbaya kuwashambulia Hamas bila kuomba kibali au kuiarifu USA... Kwanini washindwe kuzitumia kwa Misri mpk wakaombe ruhusa kwa USA?

Kusini mwa Lebanon Israel imemwaga mabomu ya kutega ardhini kibao Karibu Km 40 kutoka mpakani mwa Israel na Lebanon kuingia ndani mwa Lebanon kote kumetegwa mabomu ya ardhini na haya mabomu yalipigwa marufuku na UN yasitumiwe... Lkn Israel iliyatumia kuwazuia Hizb wasirudi ktk maeneo Yao... Kwanini Israel iombe ruhusa kwa USA kutumua Silaha zake kubwa dhidi ya Misri Wakati Lebanon na Gaza wametumia Silaha mbaya bila ruhusa?
 
Kula kwanza hii,.
Operation Nickel Grass
M60 tankunloaded from a USAF C-5 Galaxyduring Operation Nickel Grass
Operation Nickel Grasswas an overt strategic airliftand operationconducted by the United Statesto deliver weapons and supplies to Israelduring the 1973 Yom Kippur War. In a series of events that took place over 32 days, the Military Airlift Commandof the U.S. Air Forceshipped 22,325 tons of tanks, artillery, ammunition, and supplies in C-141 Starlifterand C-5 Galaxytransport aircraft between October 14 and November 14, 1973. [ 1 ]The U.S. support helped ensure that Israel survived a coordinated and surprise life-threatening attack from the Soviet-backed Arab Republic of Egyptand Syrian Arab Republic. [ 1 ]
Following a U.S. pledge of support on October 19, the oil-exporting Arab states within the Organization of Petroleum Exporting Countries ( OPEC) held to their previously declared warnings to use oil as a "weapon" and declared a complete oil embargo on the United States, and restrictions on other countries. This, and the contemporaneous failure of major pricing and production negotiations between the exporters and the major oil companiesboth led to the 1973 oil crisis.
Background
Israel, as well as the US and most of the world, were caught by surprise on October 6, 1973 when Egyptand Syriacrossed their borders and attacked Israel from the Sinaiand the Golan Heights, respectively. In attempt to undermine the United States ally, the Arab states were trained, prepared and supplied by Moscow. [ 1 ]The Soviet Union had supplied Egypt and Syria over 600 advanced surface-to-air missiles, 300 MiG-21 fighters, 1,200 tanks, and hundreds of thousands of tons of war material. [ 1 ]Seeing Israel's vulnerable position, Henry Kissinger, the United States Secretary of Stateand President Richard Nixon's National Security Adviser, made arrangements for El Alto pick up some items, including ammunition, "high technology products" and AIM-9 Sidewindermissiles at a US naval base in Virginia. A modest effort soon began, but Kissinger still hoped to keep any visible involvement at a minimum. [ 2 ]On October 8, Israeli Prime Minister Golda Meirauthorized the assembly of thirteen 20-kiloton nuclear warheads on Jericho missilesand F-4s, which were prepared for action against Syrian and Egyptian targets; [ 3 ]their preparation was made easily detectable, likely as a signal to the United States. [ 4 ]Kissinger learned of this threatening nuclear escalation on the morning of 9 October. On that same day, Meir issued a personal appeal for military assistance, which European nations declined. U.S. President Richard Nixon, however, ordered the commencement of Operation Nickel Grass, to replace all of Israel's materiellosses. [ 5 ]The decision was taken the same day the Sovietsbegan their own resupply operationof Arab forces by sea. [ 6 ]Anecdotal evidence suggests that Kissinger had told Anwar El Sadatthat the reason for the U.S. airlift was that the Israelis were close to "going nuclear." [ 3 ]
Operation
Initially, only the Israeli national airline, El Al, provided transport, and supplies began to arrive in Israel on October 10, the same day the first Soviet resupply by air arrived in Damascus. Nonetheless, it was soon clear that El Al's limited supply of ill-configured passenger aircraftwere insufficient. Still wanting to avoid direct US involvement, starting October 10, the use of commercial carriers was explored to provide 10-20 flights a day. [ 7 ]None of these were willing to accept the job for fear of being refused entry to Arab nations after the war.[ citation needed]On October 12, Nixon decided that no more delays could be allowed, and ordered the air force to "send everything that can fly." Within nine hours, C-141s and C-5s were en route to Israel. [ 8 ]The political maneuvering was not immediately solved by the air force's participation however: traditional European allies refused to allow re-supply aircraft to land for refueling or even overfly their territory. Portugalseemed willing to help though, so aircraft were dispatched to Lajes Fieldin the Azores Islands. After a few hours in the air, word came through that Portugal would permit them to land, and Lajes became a key staging point for the rest of the airlift. Strategic Air Command (SAC) KC-135As were the first to arrive at Lajes Air Base. The Stratotankers had left Pease AFB NH the night of Saturday, 13 October (one of the bases El Al was using to re-supply the war effort), the tankers were ferrying factory-fresh A-4 and F-4 aircraft flying non-stop from the factory in St Louis Missouri to Ben Gurion Airport. To comply with the demands of other European nations, even U.S. supplies already stationed in Europe were routed through Lajes, and soon over thirty aircraft per day were moving through Lajes.
 
Katika hali ngumu walokua nayo israel walijaribu kuomba misaada toka europe.
europe ikakataa,ndo wakatishia kulipua nuclear ikabidi rais wa marekani nixon aanzishe operation NICLE GRASS ku airlift silaha za kisasa kwenda kusaidia.
 
Mbona unaleta mipasho mkuu??? Namfahamu Vzr Moshe Wala sijaomba unipe picha Yake.

Gaza 2008-2009 IDF ilitumua Silaha mbaya kuwashambulia Hamas bila kuomba kibali au kuiarifu USA... Kwanini washindwe kuzitumia kwa Misri mpk wakaombe ruhusa kwa USA?

Kusini mwa Lebanon Israel imemwaga mabomu ya kutega ardhini kibao Karibu Km 40 kutoka mpakani mwa Israel na Lebanon kuingia ndani mwa Lebanon kote kumetegwa mabomu ya ardhini na haya mabomu yalipigwa marufuku na UN yasitumiwe... Lkn Israel iliyatumia kuwazuia Hizb wasirudi ktk maeneo Yao... Kwanini Israel iombe ruhusa kwa USA kutumua Silaha zake kubwa dhidi ya Misri Wakati Lebanon na Gaza wametumia Silaha mbaya bila ruhusa?
Mabomu ya kutega ardhini sio silaha kubwa kama unavyofikiria.
na sababu ya umoja wa mataifa kuyazuia ni kwasababu yakitegwa huendelea kuwa tishio kwa raia hata baada ya miaka mingi kupita tangu mgogoro husika kuisha.
kitendo cha israel kutega mabomu hayo mpakani mwake na lebanon inaonyesha uoga fulani,kwani kama wanajeshi la kuaminika wanaogopa nini hadi kutega mabomu ili eti walebanon wasiingie?.
israel imetumia phosphorus dhid ya raia wa gaza,hiyo ni chemical weapons,sasa kama wanajeshi la kuaminika kwanini watumie chemical na sio makomandoo wao?.
wametumia depleted uranium ammunition dhidi ya raia,hii ni radition weapons few steps from nuclear,why use such material on civilian?
 
Lete ushahidi kutoka kokote na si Majibu ya kisiasa km haya...! Maana mmekua mkiimba sn humu
Kua Hawa Waisrael pale si kwao... Haya tuambie kwao ni wapi Na nani Mwenye asili ya pale alieporwa???


Ukileta ushahidi wa kisiasa km Huu hapo juu utakua sawa Ma Wazanzibar wanaodai kunyonywa na bara Wakati hawachangii chochote kile ktk muungano...!
Kuna wale waisrael wakazi wa palestine waliokua wakiishi pale na jamii za hapo kwa maelfu ya miaka.
ishu ni hawa wazungu waliotoka ulaya na kujidai wao ni wayahudi na kurudi kunyang'anya ardhi ya wakazi na kuanzisha taifa la israel hapo palestine.
wayahudi asili wa hapo wamekuepo hapo miaka na miaka hata baadhi walioenda babel walirudi na kukaa hapo wakati mtawala wa uajemi koreshi (cryrus)alipowaondoa wababeli na kukamata eneo hilo.
hata warumi walipokamata pale si wayahudi wote waliondoka wapo waliobaki na kukaa hapo.
nitoe mfano kidogo,mfano kiranga,mwanakijiji,mzizimkavu vizazi vyao miaka elfu ijayo warudi tanzania na kuanza kuchukua ardhi kwa nguvu eti ilikua ya babu zao miaka mingi iliyopita bila kuja na title deed ,inakubalika hiyo?.
tena hao wanaokuja wawe wamarekani hasa,ngozi nyeupe
 
Kwanza kabisa nakushukuru sana maana toka tulipoanza sikusikia tusi lolote lakini nilikuwa nasikia kutoka kwako hoja pamoja na kunikwepa sana lakini nimefurahishwa sana na unavyo-wakilisha mtizamo wako sasa nakuomba sana wala hakuna haja ya kumlaumu Mulugo wala nani,naomba unijibu maswali yangu 12 kama walivyo watoto wa Jacob naomba uanze na namba moja tafadhali sana usikwepe hata swali moja.
If you are so sure that "Palestine , the country, goes back through most of recorded history," I expect you to be able to answer a few basic questions about that country of Palestine :
1) When was it founded and by whom?
2) What were its borders?
3) What was its capital?
4) What were its major cities?
5) What constituted the basis of its economy?
6) What was its form of government?
7) Can you name at least one Palestinian leader before Arafat?
8) Was Palestine ever recognized by a country whose existence, at that time or now, leaves no room for interpretation?
9) What was the language of the country of Palestine ?
10) What was the prevalent religion of the country of Palestine ?
11) What was the name of its currency? Choose any date in history and tell what was the approximate exchange rate of the Palestinian monetary unit against the US dollar, German mark, GB pound, Japanese yen, or Chinese yuan on that date.
And, finally, since there is no such country today, what caused its demise and when did it occur?
You are lamenting the "low sinking" of a "once proud" nation. Please tell me, when exactly was that "nation" proud and what was it so proud of?
And here is the least sarcastic question of all: If the people you mistakenly call "Palestinians" are anything but generic Arabs collected from all over - or thrown out of - the Arab world, if they really have a genuine ethnic identity that gives them right for self-determination, why did they never try to become independent until Arabs suffered their devastating defeat in the Six Day War?
I hope you avoid the temptation to trace the modern day "Palestinians" to the Biblical Philistines: substituting etymology for history won't work here.
The truth should be obvious to everyone who wants to know it. Arab countries have never abandoned the dream of destroying Israel ; they still cherish it today. Having time and again failed to achieve their evil goal with military means, they decided to fight Israel by proxy. For that purpose, they created a terrorist organization, cynically called it "the Palestinian people" and installed it in Gaza , Judea, and Samaria . How else can you explain the refusal by Jordan and Egypt to unconditionally accept back the "West Bank" and Gaza , respectively?
The fact is, Arabs populating Gaza, Judea, and Samaria have much less claim to nationhood than that Indian tribe that successfully emerged in Connecticut with the purpose of starting a tax-exempt casino: at least that tribe had a constructive goal that motivated them. The so-called "Palestinians" have only one motivation: the destruction of Israel , and in my book that is not sufficient to consider them a nation" - or anything else except what they really are: a terrorist organization that will one day be dismantled.
In fact, there is only one way to achieve peace in the Middle East . Arab countries must acknowledge and accept their defeat in their war against Israel and, as the losing side should, pay Israel reparations for the more than 50 years of devastation they have visited on it. The most appropriate form of such reparations would be the removal of their terrorist organization from the land of Israel and accepting Israel ‘s ancient sovereignty over Gaza , Judea, and Samaria.
That will mark the end of the Palestinian people. What are you saying again was its beginning?
Elungata Ntuzu Ishmael UHURU JR
Elungata [USER=162152 said:
Ntuzu[/USER]@10869058]Sasa hapa nashindwa nimlaumu nani.
nimlaumu jk kwa kumteua huyu mtu kuwa waziri ama nimlaumu mulugo mwenyewe kwa kutusababishia haya majanga.
anyway ntakuja kujaribu kukuelewesha.
 
Last edited by a moderator:
Mabomu ya kutega ardhini sio silaha kubwa kama unavyofikiria.
na sababu ya umoja wa mataifa kuyazuia ni kwasababu yakitegwa huendelea kuwa tishio kwa raia hata baada ya miaka mingi kupita tangu mgogoro husika kuisha.
kitendo cha israel kutega mabomu hayo mpakani mwake na lebanon inaonyesha uoga fulani,kwani kama wanajeshi la kuaminika wanaogopa nini hadi kutega mabomu ili eti walebanon wasiingie?.
israel imetumia phosphorus dhid ya raia wa gaza,hiyo ni chemical weapons,sasa kama wanajeshi la kuaminika kwanini watumie chemical na sio makomandoo wao?.
wametumia depleted uranium ammunition dhidi ya raia,hii ni radition weapons few steps from nuclear,why use such material on civilian?



Ninafahamu kabisa kua mabomu ya kutega ardhini sio Silaha kubwa..! Lkn nafikiri mpk Sasa ungekua umejifunza kitu na kuacha kuwaita Waisrael Waoga hasa kutokana na Maswali nikiyokuuluza hapo nyuma na pia nimekuonyesha Mara kadhaa Israel (Askari waoga) imevamia mataifa kadhaa ya kiarabu Lkn Hao waarabu majasiri hawajafanya hivyo ata Mara moja. Hivyo kuendelea kuwaita Waisrael waoga ni kujilisha matango pori...!

Alafu lengo la kutega mabomu ya ardhini Kusini mwa Lebanon si woga km unavyosema wewe. Walifanya hivyo makusudu ili Hizb wasirudi ktk maeneo hayo na jinsi IDF walivyo wataalamu walipima maeneo ambayo Roketi Za Hizb zikirushwa zinafika Israel basi hapo ndo wakayatega. Je umeona tena KATUSHA zinarushwa toka Lebanon?


Alafu nikija Gaza, Gaza Hamas hawana yunifomu kwamba unaweza ukawaona ktk sare zao na ukawatambua km jinsi jeshi la Israel lilivyo..!! Na pia wanajificha ktk makazi ya raia na sehemu Za huduma Za kijamii huku wakiendeleza harakati zao... Sasa IDF wafanye nini km sio kuwachapa tu vyovyote? Alafu baada ya hapo wapalestine wanakimbia ktk Vyombo vya habari na jumuia za kimataifa na kuanza kupiga kelele wanapiga raia wanaua watoto km sio unafiki ni nini?
 
Huyu mwingine hajui hata neno ama eneo palestine limeitwa na mtawala wa warumi,hadrian na si waarabu.
huyu mwingine nae anadai kwamba mabomu ya kutega ardhini yameweka sehemu ambazo roketi ya hezbulah zinafika,kama kwamba mabomu ya ardhini kazi yake ni kudungua roketi.
ntuzu kumbe mambo ya silaha yanakupiga chenga sana.
 
Hili liko ktk makubaliano ktk mikataba kati ya US na Israel.

Na kwa kukumbusha tu ata Misri iko Na mkata wa kusaidiana na kijeshi na Us. Na ni mwaka Jana tu US walisitisha msaada wao wa Ndege 20 aina ya F16 kwa Misri.

Kwahiyo sio big deal kihivyo km unavyodai.

Kula kwanza hii,.
Operation Nickel Grass
M60 tankunloaded from a USAF C-5 Galaxyduring Operation Nickel Grass
Operation Nickel Grasswas an overt strategic airliftand operationconducted by the United Statesto deliver weapons and supplies to Israelduring the 1973 Yom Kippur War. In a series of events that took place over 32 days, the Military Airlift Commandof the U.S. Air Forceshipped 22,325 tons of tanks, artillery, ammunition, and supplies in C-141 Starlifterand C-5 Galaxytransport aircraft between October 14 and November 14, 1973. [ 1 ]The U.S. support helped ensure that Israel survived a coordinated and surprise life-threatening attack from the Soviet-backed Arab Republic of Egyptand Syrian Arab Republic. [ 1 ]
Following a U.S. pledge of support on October 19, the oil-exporting Arab states within the Organization of Petroleum Exporting Countries ( OPEC) held to their previously declared warnings to use oil as a "weapon" and declared a complete oil embargo on the United States, and restrictions on other countries. This, and the contemporaneous failure of major pricing and production negotiations between the exporters and the major oil companiesboth led to the 1973 oil crisis.
Background
Israel, as well as the US and most of the world, were caught by surprise on October 6, 1973 when Egyptand Syriacrossed their borders and attacked Israel from the Sinaiand the Golan Heights, respectively. In attempt to undermine the United States ally, the Arab states were trained, prepared and supplied by Moscow. [ 1 ]The Soviet Union had supplied Egypt and Syria over 600 advanced surface-to-air missiles, 300 MiG-21 fighters, 1,200 tanks, and hundreds of thousands of tons of war material. [ 1 ]Seeing Israel's vulnerable position, Henry Kissinger, the United States Secretary of Stateand President Richard Nixon's National Security Adviser, made arrangements for El Alto pick up some items, including ammunition, "high technology products" and AIM-9 Sidewindermissiles at a US naval base in Virginia. A modest effort soon began, but Kissinger still hoped to keep any visible involvement at a minimum. [ 2 ]On October 8, Israeli Prime Minister Golda Meirauthorized the assembly of thirteen 20-kiloton nuclear warheads on Jericho missilesand F-4s, which were prepared for action against Syrian and Egyptian targets; [ 3 ]their preparation was made easily detectable, likely as a signal to the United States. [ 4 ]Kissinger learned of this threatening nuclear escalation on the morning of 9 October. On that same day, Meir issued a personal appeal for military assistance, which European nations declined. U.S. President Richard Nixon, however, ordered the commencement of Operation Nickel Grass, to replace all of Israel's materiellosses. [ 5 ]The decision was taken the same day the Sovietsbegan their own resupply operationof Arab forces by sea. [ 6 ]Anecdotal evidence suggests that Kissinger had told Anwar El Sadatthat the reason for the U.S. airlift was that the Israelis were close to "going nuclear." [ 3 ]
Operation
Initially, only the Israeli national airline, El Al, provided transport, and supplies began to arrive in Israel on October 10, the same day the first Soviet resupply by air arrived in Damascus. Nonetheless, it was soon clear that El Al's limited supply of ill-configured passenger aircraftwere insufficient. Still wanting to avoid direct US involvement, starting October 10, the use of commercial carriers was explored to provide 10-20 flights a day. [ 7 ]None of these were willing to accept the job for fear of being refused entry to Arab nations after the war.[ citation needed]On October 12, Nixon decided that no more delays could be allowed, and ordered the air force to "send everything that can fly." Within nine hours, C-141s and C-5s were en route to Israel. [ 8 ]The political maneuvering was not immediately solved by the air force's participation however: traditional European allies refused to allow re-supply aircraft to land for refueling or even overfly their territory. Portugalseemed willing to help though, so aircraft were dispatched to Lajes Fieldin the Azores Islands. After a few hours in the air, word came through that Portugal would permit them to land, and Lajes became a key staging point for the rest of the airlift. Strategic Air Command (SAC) KC-135As were the first to arrive at Lajes Air Base. The Stratotankers had left Pease AFB NH the night of Saturday, 13 October (one of the bases El Al was using to re-supply the war effort), the tankers were ferrying factory-fresh A-4 and F-4 aircraft flying non-stop from the factory in St Louis Missouri to Ben Gurion Airport. To comply with the demands of other European nations, even U.S. supplies already stationed in Europe were routed through Lajes, and soon over thirty aircraft per day were moving through Lajes.
 
Ninafahamu kabisa kua mabomu ya kutega ardhini sio Silaha kubwa..! Lkn nafikiri mpk Sasa ungekua umejifunza kitu na kuacha kuwaita Waisrael Waoga hasa kutokana na Maswali nikiyokuuluza hapo nyuma na pia nimekuonyesha Mara kadhaa Israel (Askari waoga) imevamia mataifa kadhaa ya kiarabu Lkn Hao waarabu majasiri hawajafanya hivyo ata Mara moja. Hivyo kuendelea kuwaita Waisrael waoga ni kujilisha matango pori...!

Alafu lengo la kutega mabomu ya ardhini Kusini mwa Lebanon si woga km unavyosema wewe. Walifanya hivyo makusudu ili Hizb wasirudi ktk maeneo hayo na jinsi IDF walivyo wataalamu walipima maeneo ambayo Roketi Za Hizb zikirushwa zinafika Israel basi hapo ndo wakayatega. Je umeona tena KATUSHA zinarushwa toka Lebanon?


Alafu nikija Gaza, Gaza Hamas hawana yunifomu kwamba unaweza ukawaona ktk sare zao na ukawatambua km jinsi jeshi la Israel lilivyo..!! Na pia wanajificha ktk makazi ya raia na sehemu Za huduma Za kijamii huku wakiendeleza harakati zao... Sasa IDF wafanye nini km sio kuwachapa tu vyovyote? Alafu baada ya hapo wapalestine wanakimbia ktk Vyombo vya habari na jumuia za kimataifa na kuanza kupiga kelele wanapiga raia wanaua watoto km sio unafiki ni nini?
IDF si wana makomando bana,kwanini wasiende nyumba hadi nyumba na kuwasaka hao hamas,badala ya kufanya capertbombing?.
then wanaripua mpaka generator la umeme,nalo sijui limewakosa nini.
 
Huyu mwingine hajui hata neno ama eneo palestine limeitwa na mtawala wa warumi,hadrian na si waarabu.
huyu mwingine nae anadai kwamba mabomu ya kutega ardhini yameweka sehemu ambazo roketi ya hezbulah zinafika,kama kwamba mabomu ya ardhini kazi yake ni kudungua roketi.
ntuzu kumbe mambo ya silaha yanakupiga chenga sana.


Usigeuze maneno weye...! Nimesema hapo nyuma hayo maeneo yaliyotegwa mabomu Hizb wameshindwa kurudi na kufanya harakati zao Ndio Maana huoni uto tusilaha twa KATUSHA tunarushwa.

Usigeuze maneno weye...! Twende hoja kwa hoja na ujibu Maswali..!
 
Kuna wale waisrael wakazi wa palestine waliokua wakiishi pale na jamii za hapo kwa maelfu ya miaka.
ishu ni hawa wazungu waliotoka ulaya na kujidai wao ni wayahudi na kurudi kunyang'anya ardhi ya wakazi na kuanzisha taifa la israel hapo palestine.
wayahudi asili wa hapo wamekuepo hapo miaka na miaka hata baadhi walioenda babel walirudi na kukaa hapo wakati mtawala wa uajemi koreshi (cryrus)alipowaondoa wababeli na kukamata eneo hilo.
hata warumi walipokamata pale si wayahudi wote waliondoka wapo waliobaki na kukaa hapo.
nitoe mfano kidogo,mfano kiranga,mwanakijiji,mzizimkavu vizazi vyao miaka elfu ijayo warudi tanzania na kuanza kuchukua ardhi kwa nguvu eti ilikua ya babu zao miaka mingi iliyopita bila kuja na title deed ,inakubalika hiyo?.
tena hao wanaokuja wawe wamarekani hasa,ngozi nyeupe



Aha..! Kumbe Kulikua na wengine pale waliobaki na waliishi Pamoja sio? Katika Hao waliobaki, ni nani alipewa hiyo nchi na Mungu zamani ikiitwa Caanan? Je ni Muisrael au Mpalestine? Nijibu kwa ushahidi mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom