OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Dunia inahitaji USA kuliko USA inavyohitaji dunia.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwanini ebu fafanua.Dunia inahitaji USA kuliko USA inavyohitaji dunia.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Jamaa hawa wabishi sana na vig'ang'anizi, sijui wanaishi Duniani gani?? Wanaona wazi wazi the "beginning of the end" ya Taifa lao lakini wapi bwana!!
Dalili zinavyo onyesha ni wazi kabisa kwamba Dunia hivi sasa inajongea taratibu kwenye WW3, hivyo wanadamu tunapaswa kumuomba mwenyezi Mungu kutuhepushwa na hilo ili katika katika tapa tapa ya USA majenerali wao wasije kufanya miscalculation wakajitia ku spring up a surprise attack dhidi ya majeshi ya Urusi au China[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Jamaa hawa wabishi sana na vig'ang'anizi, sijui wanaishi Duniani gani?? Wanaona wazi wazi the "beginning of the end" ya Taifa lao lakini wapi bwana!!
Juzi hapa nilishangazwa sana na viongozi wa kijeshi wa utawala wa Biden walipo kusanya NATO members kwenda kufanya mazoezi makubwa ya kijeshi ndani ya Black Sea,USA vile vile ilitangaza ina mpango kuweka/jenga Naval bases Romania na Bulgaria au Poland.
Hii inaonyesha wazi kwamba maendeleo na teknilojia ya silaha za kijeshi ya mataifa ya Urusi na China scares a living day lights out of Uncle SAM's psych and like mind, narudia kukumbusha kwamba ukweli huo ndio unawafanya jamaa hawa wachanganyikiwe sana, yaani wako radhi kufanya lolote kwa lengo la ku-provoke Urusi au Uchina for duel of which they can't win.
Dalili zinavyo onyesha ni wazi kabisa kwamba Dunia hivi sasa inajongea taratibu kwenye WW3, hivyo wanadamu tunapaswa kumuomba mwenyezi Mungu kutuhepushwa na hilo ili katika katika tapa tapa ya USA majenerali wao wasije kufanya miscalculation wakajitia ku spring up a surprise attack dhidi ya majeshi ya Urusi au China - USA ikumbuke kwamba ikifanya ujinga huo Taifa lao litachajazwa vilivyo kwa mara ya kwanza katika historia ya Taifa lao aridhi yao itashambuliwa - sisemi Urusi au Uchina zitapata madhara kidogo lakini bado USA ndio itachakazwa zaidi na kibaya zaidi USA wala hawana kinga dhidi ya makombora ya kisasa ya mataifa ya Urusi na China.
Nye nye nye[emoji1]Jamaa hawa wabishi sana na vig'ang'anizi, sijui wanaishi Duniani gani?? Wanaona wazi wazi the "beginning of the end" ya Taifa lao lakini wapi bwana!!
Juzi hapa nilishangazwa sana na viongozi wa kijeshi wa utawala wa Biden walipo kusanya NATO members kwenda kufanya mazoezi makubwa ya kijeshi ndani ya Black Sea,USA vile vile ilitangaza ina mpango kuweka/jenga Naval bases Romania na Bulgaria au Poland.
Hii inaonyesha wazi kwamba maendeleo na teknilojia ya silaha za kijeshi ya mataifa ya Urusi na China scares a living day lights out of Uncle SAM's psych and like mind, narudia kukumbusha kwamba ukweli huo ndio unawafanya jamaa hawa wachanganyikiwe sana, yaani wako radhi kufanya lolote kwa lengo la ku-provoke Urusi au Uchina for duel of which they can't win.
Dalili zinavyo onyesha ni wazi kabisa kwamba Dunia hivi sasa inajongea taratibu kwenye WW3, hivyo wanadamu tunapaswa kumuomba mwenyezi Mungu kutuhepushwa na hilo ili katika katika tapa tapa ya USA majenerali wao wasije kufanya miscalculation wakajitia ku spring up a surprise attack dhidi ya majeshi ya Urusi au China - USA ikumbuke kwamba ikifanya ujinga huo Taifa lao litachajazwa vilivyo kwa mara ya kwanza katika historia ya Taifa lao aridhi yao itashambuliwa - sisemi Urusi au Uchina zitapata madhara kidogo lakini bado USA ndio itachakazwa zaidi na kibaya zaidi USA wala hawana kinga dhidi ya makombora ya kisasa ya mataifa ya Urusi na China.
Hawa jamaa kwenye mission hatarishi Wana usiri wa hali juu, nani alijua WWII kama wangekuja na bomu la nyukilia, na sasa hivi wanajua wanawindwa kila Kona, isije kuwa wana likitu lingine ambalo ulimwengu haujuhi. Na huwezi kusema hawana kinga dhidi ya makombora ya Urusi na China na wakati wanajua fika threat ya kitu kama hicho kwao, kwahiyo ni ngumu Sana kudhibitisha hilo.Jamaa hawa wabishi sana na vig'ang'anizi, sijui wanaishi Duniani gani?? Wanaona wazi wazi the "beginning of the end" ya Taifa lao lakini wapi bwana!!
Juzi hapa nilishangazwa sana na viongozi wa kijeshi wa utawala wa Biden walipo kusanya NATO members kwenda kufanya mazoezi makubwa ya kijeshi ndani ya Black Sea,USA vile vile ilitangaza ina mpango kuweka/jenga Naval bases Romania na Bulgaria au Poland.
Hii inaonyesha wazi kwamba maendeleo na teknilojia ya silaha za kijeshi ya mataifa ya Urusi na China scares a living day lights out of Uncle SAM's psych and like mind, narudia kukumbusha kwamba ukweli huo ndio unawafanya jamaa hawa wachanganyikiwe sana, yaani wako radhi kufanya lolote kwa lengo la ku-provoke Urusi au Uchina for duel of which they can't win.
Dalili zinavyo onyesha ni wazi kabisa kwamba Dunia hivi sasa inajongea taratibu kwenye WW3, hivyo wanadamu tunapaswa kumuomba mwenyezi Mungu kutuhepushwa na hilo ili katika katika tapa tapa ya USA majenerali wao wasije kufanya miscalculation wakajitia ku spring up a surprise attack dhidi ya majeshi ya Urusi au China - USA ikumbuke kwamba ikifanya ujinga huo Taifa lao litachajazwa vilivyo kwa mara ya kwanza katika historia ya Taifa lao aridhi yao itashambuliwa - sisemi Urusi au Uchina zitapata madhara kidogo lakini bado USA ndio itachakazwa zaidi na kibaya zaidi USA wala hawana kinga dhidi ya makombora ya kisasa ya mataifa ya Urusi na China.
Sio wao tu...sahivi wote wana siri zao ndo maana wanaogopana nani amuanzishie mwingineHawa jamaa kwenye mission hatarishi Wana usiri wa hali juu, nani alijua WWII kama wangekuja na bomu la nyukilia, na sasa hivi wanajua wanawindwa kila Kona, isije kuwa wana likitu lingine ambalo ulimwengu haujuhi. Na huwezi kusema hawana kinga dhidi ya makombora ya Urusi na China na wakati wanajua fika threat ya kitu kama hicho kwao, kwahiyo ni ngumu Sana kudhibitisha hilo.
Sio leo wala kesho na huweza isitokee. Kuchora katuni ni kitu rahisi Sana.
Mnajidanganya. Ukweli ni kwamba historia ya dunia inakwenda kuandikwa upya. Anguko la Marekani siyo tunavyofikiri.Likianguka hili taifa dunia itapumua angalau