Marejesho roho inaniuma ila sina jinsi

Marejesho roho inaniuma ila sina jinsi

Mada imekuwa LUGHA sasa....kwa mtaji huu tusiojua Kiingereza sijui tutafanyia wapi mazoezi? Wenye lugha yao wanasema PRACTICE MAKES PERFECT sijui nimepatia?
Subiri waje😊!
 
25 yrs old bado mdgo sana kijana sio mda wako sahïhi wa kuhangaikia mapenzi utatokwa kamasi bure hadi ukome.
 
Habari wana JF

Siku 3 zilizopita nilileta mkasa hapa kuwa i have girlfriend na inabidi nikaishi far away nae kutokana na sababu zilizopo nje za uwezo wetu namshukuru Mungu tumeweza kuyamliza salama kabisa na tumeeweza kuongea na Pande zote mbili upande wa familia yangu na yao kuna agreement tumeafikiana now we so happy asante sana wana Jf walionishauri vizuri nashukuruni kwa ushauri wenu asanteni sana.


Na pia kuna ambao waliodiriki kunitukana nakusema mimi eti ni mwanafunzi na hii habari meiona kwenye yamthilia kwakweli nimeona bora nikae kimya na sikuwajibu chochotee, na nyie pia mbarikiwe sana.

Am very happy with My love.. asanteni kwa ushauri wenu wana Jf kwa wale walionidhihaki pia Mbarikiwe mimi sio mwanafunzi wa Form 2 am 25 yrs Old.

I didn't lose a friends but I just realize i never had one(fo dem who insults me)
Hongera kwa kuyamaliza salama mkuu,ushauri wangu kwako
Usipende kuyaweka moyoni yanayokuumiza

Humu kila mtu na mawazo yake,kuna wenye mawazo -,na+,so usikasirike wala kutilia maanani matusi na kejeli,angalia kilicho kufunza chenye umuhimu basi.
 
toba! mrekebisheni basi alimokosea kiingilishi humo nami nijifunze au mnahofia kurekebisha nanyi mkarekebishwa mana lugha hiyo acha tu
 
Mada imekuwa LUGHA sasa....kwa mtaji huu tusiojua Kiingereza sijui tutafanyia wapi mazoezi? Wenye lugha yao wanasema PRACTICE MAKES PERFECT sijui nimepatia?
Si ndio mkuu, sasa dogo anafanya practice ili awe perfect lakini wakuu huku hawajafurahia hilo
 
Habari wana JF

Siku 3 zilizopita nilileta mkasa hapa kuwa i have girlfriend na inabidi nikaishi far away nae kutokana na sababu zilizopo nje za uwezo wetu namshukuru Mungu tumeweza kuyamliza salama kabisa na tumeeweza kuongea na Pande zote mbili upande wa familia yangu na yao kuna agreement tumeafikiana now we so happy asante sana wana Jf walionishauri vizuri nashukuruni kwa ushauri wenu asanteni sana.


Na pia kuna ambao waliodiriki kunitukana nakusema mimi eti ni mwanafunzi na hii habari meiona kwenye yamthilia kwakweli nimeona bora nikae kimya na sikuwajibu chochotee, na nyie pia mbarikiwe sana.

Am very happy with My love.. asanteni kwa ushauri wenu wana Jf kwa wale walionidhihaki pia Mbarikiwe mimi sio mwanafunzi wa Form 2 am 25 yrs Old.

I didn't lose a friends but I just realize i never had one(fo dem who insults me)
25 ok,angalia na wewe usije ukaanguka kazini tukakukimbiza aga khan..

Haya mambo haya hayanaga master
 


KANA jamani nimecheka hapa
Watoto wanataka kuruka stage hawa. Analilia mapenzi wakati kuandika kwenyewe hajui.

Hadi nmekumbuka enzi zetu za mapenzi ya barua. Mwandiko safi, maneno yamenyooka!

Sweet little memories!

 
Back
Top Bottom