apple tv
Senior Member
- Aug 17, 2018
- 106
- 94
Subiri waje😊!Mada imekuwa LUGHA sasa....kwa mtaji huu tusiojua Kiingereza sijui tutafanyia wapi mazoezi? Wenye lugha yao wanasema PRACTICE MAKES PERFECT sijui nimepatia?
Subiri waje😊!Mada imekuwa LUGHA sasa....kwa mtaji huu tusiojua Kiingereza sijui tutafanyia wapi mazoezi? Wenye lugha yao wanasema PRACTICE MAKES PERFECT sijui nimepatia?
😂😂😂ilibidi apotee bila kuaga, jf sio pazuri kabisa
Naona hapewi nafasi kila anapo geukia anakutana na ngumi kali
Hahahaha shida kweli kweliSiyo hapo tu mkuu, karibia kila sehemu ulipoweka kilugha hicho.
Zote hizo zina makosa.
Hata kiswahili chako ni tia maji tia maji. Komaa na shule kwanza!


watu mna maneno kuntuHongera kwa kuyamaliza salama mkuu,ushauri wangu kwakoHabari wana JF
Siku 3 zilizopita nilileta mkasa hapa kuwa i have girlfriend na inabidi nikaishi far away nae kutokana na sababu zilizopo nje za uwezo wetu namshukuru Mungu tumeweza kuyamliza salama kabisa na tumeeweza kuongea na Pande zote mbili upande wa familia yangu na yao kuna agreement tumeafikiana now we so happy asante sana wana Jf walionishauri vizuri nashukuruni kwa ushauri wenu asanteni sana.
Na pia kuna ambao waliodiriki kunitukana nakusema mimi eti ni mwanafunzi na hii habari meiona kwenye yamthilia kwakweli nimeona bora nikae kimya na sikuwajibu chochotee, na nyie pia mbarikiwe sana.
Am very happy with My love.. asanteni kwa ushauri wenu wana Jf kwa wale walionidhihaki pia Mbarikiwe mimi sio mwanafunzi wa Form 2 am 25 yrs Old.
I didn't lose a friends but I just realize i never had one(fo dem who insults me)
Hata kiswahili chenyewe umekiona! Ni shiiiiidaBora utumie kiswahili tu kiingereza kinakushinda
Hata kiswahili chenyewe umekiona! Ni shiiiiida
Si ndio mkuu, sasa dogo anafanya practice ili awe perfect lakini wakuu huku hawajafurahia hiloMada imekuwa LUGHA sasa....kwa mtaji huu tusiojua Kiingereza sijui tutafanyia wapi mazoezi? Wenye lugha yao wanasema PRACTICE MAKES PERFECT sijui nimepatia?
NipoBibie upo?!
25 ok,angalia na wewe usije ukaanguka kazini tukakukimbiza aga khan..Habari wana JF
Siku 3 zilizopita nilileta mkasa hapa kuwa i have girlfriend na inabidi nikaishi far away nae kutokana na sababu zilizopo nje za uwezo wetu namshukuru Mungu tumeweza kuyamliza salama kabisa na tumeeweza kuongea na Pande zote mbili upande wa familia yangu na yao kuna agreement tumeafikiana now we so happy asante sana wana Jf walionishauri vizuri nashukuruni kwa ushauri wenu asanteni sana.
Na pia kuna ambao waliodiriki kunitukana nakusema mimi eti ni mwanafunzi na hii habari meiona kwenye yamthilia kwakweli nimeona bora nikae kimya na sikuwajibu chochotee, na nyie pia mbarikiwe sana.
Am very happy with My love.. asanteni kwa ushauri wenu wana Jf kwa wale walionidhihaki pia Mbarikiwe mimi sio mwanafunzi wa Form 2 am 25 yrs Old.
I didn't lose a friends but I just realize i never had one(fo dem who insults me)
Nipo
Watoto wanataka kuruka stage hawa. Analilia mapenzi wakati kuandika kwenyewe hajui.![]()
KANA jamani nimecheka hapa





Huyu kijana inabidi asome tu kwanza. Hayo mengine sio muhimu sana!hii ndio Jf ukiweza kuzimudu challenge za humu .. hakuna mtu ambaye atakuja akusumbue Mtaani