hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,534
- 73,784
hahaa KANA bwana ..dahh !!Hata kiswahili chako ni tia maji tia maji. Komaa na shule kwanza!
hahaa KANA bwana ..dahh !!Hata kiswahili chako ni tia maji tia maji. Komaa na shule kwanza!
hii ndio Jf ukiweza kuzimudu challenge za humu .. hakuna mtu ambaye atakuja akusumbue MtaaniHaaaaa kweli kazi ipo
No we so happy?typing error mkuu iam 25 yrs old i think hapa ndo nilopkoseaa
Mleta uzi😂😂😂Kuna mtu ataukimbia huu uzi..,![]()
I didn't lose a friends ndo nini?Habari wana JF
siku 3 zilizopita nilileta mkasa hapa kuwa i have girlfriend na inabidi nikaishi far away nae kutokana na sababu zilizopo nje za uwezo wetu .Namshukuru mungu tumeweza kuyamliza salama kabisa na tumeeweza kuongea na Pande zote 2 upande wa Familia Yangu na Yao kuna agreement tumeafikiana .Now we so happy Asante sana wana Jf walionishauri vizuri nashukuruni kwa ushauri wenu asanteni sana.
Na pia kuna ambao waliodiriki kunitukana nakusema mimi eti ni mwanafunzi na Hii habari meiona kwenye Tamthilia kwakweli nimeona bora nikae kimya na sikuwajibu chochotee, Na nyie pia mbarikiwe sana.
Am very happy with My love.. asanteni kwa ushauri wenu wana Jf
kwa wale walionidhihaki pia Mbarkiwe
mimi sio Mwanafunzi wa Form 2 am 25 yrs Old.
I didn't lose a friends but I just Realize i never had one(fo dem who insults me)
Kabisa...et we so happy, atumie kiswahili tu kwa kweli au kama vipi apige ung'eng'e nwanzo mwenga anatuchanganyia madawaBora utumie kiswahili tu kiingereza kinakushinda
Huyu jamaa inaonesha ni mgumu sana kusamehe. Atapata tabu na huyo mtu wake kwa tabia hiiMwanaume ukitukanwa unapotezea, tangu siku ile umebeba yale yale matusi?
Wewe utakuwa na tatizo.
Hata kiswahili chako ni tia maji tia maji. Komaa na shule kwanza!


























kwa tanzania huo umri akili haina tofauti na mtoto wa sdt 7 maana ukute bado unaomba hela ya vitumbua kwa mama yako.am 25 yrs Old.
😂😂maana sio kwa kukosolewa huko!Mimi cjataja mtu, ila naona atakuwa ndo yeye...![]()
😂😂mna majungu nyie watukwa tanzania huo umri akili haina tofauti na mtoto wa sdt 7 maana ukute bado unaomba hela ya vitumbua kwa mama yako.