yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 830
- 1,473
Akapambane na matendo yake kwa mzee mungu..Marehemu hasemwi vibaya.
Ila ya huko nyuma ni mabaya zaidi
Akapambane na matendo yake kwa mzee mungu..Marehemu hasemwi vibaya.
Ila ya huko nyuma ni mabaya zaidi
Allah ni nani?Allah ndio kakukaririsha hivyo
Anyway wewe ni ✝️ au ☪️Allah ni nani?
Nimekuuliza Allah ni nani?Anyway wewe ni ✝️ au ☪️
Naona mfitini anamlaani mleviGardner alikuwa mlevi na mpaka alikuwa balozi wa pombe kiufupi huyu alikuwa mtu wa hovyo hafai kuigwa katika jamii
Wewe kichwani hamupo sawaNaona mfitini anamlaani mlevi
Who is worse ?
Mimi nilikua nafuatilia kipindi cha reality show yake yeye na jide EatvHOnestly, mbali na picha zake, huyo jamaa sikuwah kumjua, sikuwah hata kusikia vipind vyake hata sauti Yake sikuwah kuijua hata clip ya video yake sikuwahig kuiona ndio saa hii namjua sasa
Sikuwahi kusikia ana ugomvi na mtu, Alikua ni mtu na nusu muda wote kwake ni bata misosi ya kutosha drinks usipimeUkisoma comments za wananzengo hapa ndio utajua kuna watu wengi sana wanaishi maisha ya kuigiza ili kuwaridhisha watu wengine badala ya kuishi na kifurahia maisha yao
The likes of Kibonde Gardina walikua wanaishi maisha yao waliokuwa wanayafurahi bila kujali wengine mnawachukuliaje
Kikubwa ni usiwe na roho mbaya kwa wengine
Marehemu sioni kama ana baya. Mtangazaji definition yake ni mropokaji. Imagine kazi ambayo kila siku uwe na mada ya kuongea na iwavutie watu. Ni kazi ngumu sana. Miaka zaidi ya 20 wewe tu ndio ulete topic redioni ndio maana kuna watangazaji hawataki kuumiza kichwa wameweka segment ya msikilizaji kupiga simu mtangaze na nyie😂Huyo mwamba anavyo pambwa na hiyo cmg yao...unaweza sema alikuwa malaika.
But... Tumekubaliana kuwa marehemu hasemwi kwa ubaya.
Mbona sifa zake wanavyomuelezea hapa watu si kama wewe unavyomuelezea?Mimi nilikua nafuatilia kipindi cha reality show yake yeye na jide Eatv
Alikua ni mkimya na msikivu, sio mwanaume mkorofi
Naona alikua anaishi kama vile hakuna kesho yeye nikuenjoy tu
Kitu kikubwa nilichojifunza kwake ni kufurahi muda wote..!
Kwa kile alichokua anakifanya mimi nimeangalia positive sideMbona sifa zake wanavyomuelezea hapa watu si kama wewe unavyomuelezea?
Kwani umasikini ni sifa?Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Ni ujinga kwa mzazi kutoka hadharani na kujibaragua kuwa mtoto wangu ataolewa na tajiriWanaume mnajifaragua tu, ila ni ndoto ya lila mzazi mtoto wake kuolewa na tajiri. Ila sasa ndio vile tena inapobidi unamshukuru tu Mungu kwa kila kitu.
Sawa My,,, tumekuelewaHakika...na hutoweza yarudisha kinywani maana uliyemtamkia kayatunza tayari moyoni.....Ulimi
Ni ujinga kwa mzazi kutoka hadharani na kuanza kutamka maneno ya kipuuziWaja mna maeno utafikiri hii dunia mtaishi milele.
Maneno ya Jokes aliyoongea kuhusu mtoto wake mmeanza kumsakama marehemu?
Heri nyie malaika mtaishi milele.