Nafikiri Zaidi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 519
- 670
That's clear... sema ndio ivyo mkuu hakuna mkamilifuMm sijamkashifu japo hakuwa mzazi mwema kbsa
That's clear... sema ndio ivyo mkuu hakuna mkamilifuMm sijamkashifu japo hakuwa mzazi mwema kbsa
Unahisi kwann aliyekuwa anaonyeshwa Kila mara ni huyo binti hapo juu na SI mwingine?Ana watoto wawili acha uongo mwingine ni WA kike
Hakupiga kweli maana nasikia walikuwa wanalala pamojaHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Hakuna mzazi anayependa mwanae aolewe na fukara .Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Yeye alikua tajiri?? Isijekua alivunja miiko aliyoweka mwenyewKwahiyo akaishia kuzalia nyumbani? Labda alivyoona hakuna tajiri akaamua amalize mchezo mwenyewe
Kavunja miikoYeye alikua tajiri?? Isijekua alivunja miiko aliyoweka mwenyew
Alikufanyia niniUkiachalia mbali saut mengine marehemu hafai kuigwa kwa lolote
Unashangaa nini sasa?Nashngaaa mijittu inamsifia na kumpa sifa kedekede mtu asiye fah kwenye jamii
Ndugu yanguKeshangulia mbele ya haki; mwacheni apumuzike. Kama kuna ya kujifunza kutokana na maisha yake tujifunze ili yatusiadia tuliobaki lakini tusimlaumu marehemu akiwa kaburini kwani hawezi kujitetea.
Alikuwa sahihi kwa mtazamo wake vipi wewe unapenda Binti yako aolewe na masikiniHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Kwa akina gardner ni wapi? Tanga, dar au rombo? Huyo anayemponda alitaka ajenge rombo? Why?Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.
Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.
Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni kujenga kwenu.
Apumzike kwa amani.