- Thread starter
- #21
Mbona unasikitika? Tunawaenzi viongozi wetuMmh jamani this s not fair ,khaaa!
JESUS IS LORD
Mbona unasikitika? Tunawaenzi viongozi wetuMmh jamani this s not fair ,khaaa!
JESUS IS LORD
Watakaa wajukuu mkuuWamekosa Nini hao..? Kweli mwenye nacho huongezewa
Maji madogo huelekea kwenye baharini kwenye maji mengi!Kweli mwenye nacho anazidishiwa
Ova
Kwani akiwa na mbili kuna dhambi?!..bora wangejenga zahanati ikasaidia wananchi.
..Mzee Mwinyi tayari ana nyumba yake binafsi.
Atajengewa atakapochaguaNafikiri huko Chattle litasimama HEKALU.
Kumbe umekumbuka hongera Magufuli. Ndio dunia hiyo Mzee wangu. HongeraView attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Kwani akiwa na mbili kuna dhambi?!
Hawa jamaa wamekwishajua kuwa CCM inaondoka tar 28 Okt 2020. Wameamua kuchukuwa chao mapema! Hiki kweli ni cha majambazi!
Huu ni ubadhirifu na matumizi mabaya ya kodi za wananchi. Hawa marais wakiwa madarakani wanakuwa wameisha kukusanyia pesa za kutosha na kujijengea mahekalu mengi. Maana mwinyi na Kikwete wanamiliki vijiji vyao.View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam