Marafiki wasiokupenda wako hivi

Marafiki wasiokupenda wako hivi

5. ukiwashirikisha jambo lako unalotaka kufanya la kimaendeleo watakukatisha tamaa kuwa hutaweza/hutafanikiwa
 
Hahahaaaaa, hawawezi wakawa hawakupendi wote, yn kama ni group la watu kadhaa yah huwezi kuelewana nao wote bt kuna mmoja, wawili au watatu mtaendana tu.
 
Nimejifunza siku zote jitahidi kuutuliza moyo wako unapoumizwa na mtu kulikoni kutaka kupambana na mtu yako maana ni kuzidi kujiongezea machungu na kuwapa watu faida kuendeleza chokochoko. Mimi hili watu hawelewi ilikuwaje wengi wanadhani niliamua mwenyewe kuacha, na hivyo hakuna anaeuliza kitu kwa kuwa hakukua na malumbano. Jitahidi kila unapoweza kutotengeneza uadui na binadamu.

Thanx I will take that advise.nimejikuta napoteza marafiki Na kutengeneza maadui wengi kwa sababu ya kukosa busara hii
 
Kujifunza hakuna mwisho,kunakitu nimeambulia kuwajua marafik fake.
 
Marafiki na ndugu ni watu ambao unatakiwa uishi nao kwa akili sana.

Unapogundua mtu wa karibu na wewe sio mtu mzuli kwako dawa ni moja tuu

1.kujitenga mbali na yeye kwa kufanya mambo yafuatayo

1.tengeneza mazingira ya kukufanya hamuonani kila mara

2.tengeneza mazingira yanakufanya ushinde mbali na unapoishii

3.tafuta marafiki wapyaa ambao wako mazingira ya mbalii na wewe

4.jitoee katika makundi ya kijamii kwa muda
 
Marafiki na ndugu ni watu ambao unatakiwa uishi nao kwa akili sana.

Unapogundua mtu wa karibu na wewe sio mtu mzuli kwako dawa ni moja tuu

1.kujitenga mbali na yeye kwa kufanya mambo yafuatayo

1.tengeneza mazingira ya kukufanya hamuonani kila mara

2.tengeneza mazingira yanakufanya ushinde mbali na unapoishii

3.tafuta marafiki wapyaa ambao wako mazingira ya mbalii na wewe

4.jitoee katika makundi ya kijamii kwa muda

Bg up mkuu kwa points ya kutosha
 
Kuna rafiki wa dhati lako lake, lake lako...huyu anakujua kiundani ukikosea anakupa za uso akikosea unampa za uso

Kuna rafiki wa kuhang out nae tu mle nyama choma basi

Kuna rafiki wa kutia nae stori za hapa na pale....huyu anakujua kiasi

Kuna rafiki mnakutana kwa sababu ya rafiki zako.....mkitoka hapo hamna mwenye time na mwenzie

Kuna rafiki mtadili ktk ideas tu baada ya hapo kila mtu na lwake

Kuna rafiki wa kumwangali kwa macho 20.......mnachekeana usoni ila unakaa nae mbali futi 20...hawa ukiwaweka karibu lazima akulize

Kuna rafiki wa kuzurura nae na kupiga umbea tu....hawa wasikujue sana...hawachelewi kukutangaza

Kuna rafiki ambae mazingira tu yamewafanya muwe pamoja....ila mna interest tofauti kabisaaaaa.... huyu mnaahea kike kilichowafanya muwe pamoja muda huo tu baaasi

Jiangalie rafiki yako yupo kundi gani
 
Watu wenye tabia ya namna hyo huwez kujenga nao urafiki,umeshamjua ni mnafiki kwa hyo hata story au kujiweka karibu nae hafai kabisa.Au we kumfaham mtu au kuwa nae ofisi moja au idara moja ndio urafiki huo??wengine ni watu tu.
 
Back
Top Bottom