Marafiki wa kusafiri nao (Travelling Partners)

Marafiki wa kusafiri nao (Travelling Partners)

The world is like a book, the people who don't travel read only one page..but the people who travel read the whole book.

Kesho nitakuwa na safari ya kuelekea Ethiopia kupitia Uganda, Kenya then Ethiopia via Marsabit border.. Nawahaidi zawadi ya picha murua sana kuanzia njiani hadi nitakapofika Sheba empire.

We were not born to pay rent and die.

Envié D'aventure.
Humble aliyekuteka akuachie jamani kidogo kidogo tukuone
 
Nilifanyaga safari ya uholanzi kumtembelea sister nauli kwenda kurudi chakula na kuzunguka Amsterdam,deft,Belgium,German na kurudi bongo nlitumia kama million 2.5.kwa mara ya Kqanza kumuona ombaomba wa kizungu ilinifungua macho sana kuondoa inferiority complex mbele ya wazungu...naja inbobo ingawa Eqypt isn't my thing kama utatuweka pending safari zijazo lakin
 
Nilifanyaga safari ya uholanzi kumtembelea sister nauli kwenda kurudi chakula na kuzunguka Amsterdam,deft,Belgium,German na kurudi bongo nlitumia kama million 2.5.kwa mara ya Kqanza kumuona ombaomba wa kizungu ilinifungua macho sana kuondoa inferiority complex mbele ya wazungu...naja inbobo ingawa Eqypt isn't my thing kama utatuweka pending safari zijazo lakin
You are the traveller! woow......
Nimekuona inbobo, tutayajenga pamoja na member wengine wa group
 
Una mawaZo kama yangu nikienda huko nazamia acha nikalale nje tyuu
Hahahahahhahahaha! sio rahisi kihivyo mpenz, especially kipindi hiki. Nakumbuka trip yangu ya kwanza outside Tanzania was 2009 nlielekea sehemu inaitwa Mo I Rana nchini Norway. Nakumbuka wengi wa watu walinishangaa nliporudi wakawa wananiuliza kwanini nisingezamia tu??? By then nlikuwa form 6, hebu imagine ningezamia kule kipindi kile, jamaa wangenikamata na kunirudisha hapa Ningepoteza kila kitu na leo God knows ningekuwa wapi. Simshauri mtu kuzamia aiseee mbona bongo life njema sana
 
Back
Top Bottom