Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
- Thread starter
- #221
Mkuu ulifanikisha hii???Mimi nataka watu 7 na mimi wa 8.
Mwezi wa 12 twende Mbeya
Hata mchicha ulianza kama mbuyu
Amsterdam tutafika tu
Mkuu ulifanikisha hii???Mimi nataka watu 7 na mimi wa 8.
Mwezi wa 12 twende Mbeya
Hata mchicha ulianza kama mbuyu
Amsterdam tutafika tu
Mkuu vipi mipangilio??Wengine ukiondoka nao hawarudi,mi mmoja wapo,nina mpango wa kuzamia sycheles,mauritius,mayote au moroco,mkiwa na trip za huko mnishtue.
Am sure they are somehow grown up.Huwezi elewa utamu wa travelling if you do not do it as a hobby. Travelling is a drug, ni ugonjwa aisee.
Kusafiri kuna utamu wake. You learn alot, meet diverse people, try out different meals.
Someday nitarudia kiguu na njia. See the world,
get lost in the dazzling night lights,get high on the air from different altitudes......
Kwa sasa acha niendelee kulea cubs wangu. Bado wadogo siwezi safiri na amani.
Mkuu mrejesho ni kwamba kundi lilitengenezwa.Mrejesho.......
Fanya hivyo mkuu.Nimeiona hii thread leo na imenipa jambo jipya kichwanj.. Acha nianze kuweka akiba next year nianze kula route
Hongera mkuu. Mimi sizijui ila ukisoma online unaweza pata ABCsMimi nataka niende rwanda early next year, kwa anayejua ABC za rwanda msaada wako plz.
Umeshangaa rafiki
Mkuu jipange tu.Natamani sana hii kitu ila majukumu na uchumi vimebana. Naogopa kutumbuliwa
Ndugu, sometimes huko ndani ya nchi inakuwa ghali kuliko abroad.Jamani metamanii..ingekuwa ndani ya nchi ngejoin na me huko nje balance haijakaa sawaaa
Hongera sana mkuu. Mwenyezi Mungu ajalie ufikie malengo yako.Mkuu mrejesho ni kwamba kundi lilitengenezwa.
Bahati mbaya au nzuri safari ya kundi haikufanikiwa, labda uchumi wa watu sio mzuri. Ila binafsi tangu niliporudi safari yangu ya mwaka 2018 nimefanikiwa kutembelea nchi 3 ndani ya miaka 2. Ni mategemeo yangu ntatembelea nchi tatu nyengine mwakani alone.
Ahsante sana mkuu.Hongera sana mkuu. Mwenyezi Mungu ajalie ufikie malengo yako.
Mimi ni kufika tu mabara yote. Ambayo naamini ntaimaliza hii Covid ikiacha mbwembwe.Ahsante sana mkuu.
Malengo yangu ni angalau kutembea nchi 80 na kuendelea hapa duniani.
Mungu anijaalie nitimize ndoto zangu
Sure thing.Mimi ni kufika tu mabara yote. Ambayo naamini ntaimaliza hii Covid ikiacha mbwembwe.
NdioUmeshangaa rafiki
Usishangae mkuuNdio