Marafiki wa kusafiri nao (Travelling Partners)

Marafiki wa kusafiri nao (Travelling Partners)

Uzi unafundisha sana. Tunahitaji kurelax na hizi trips kutoa stress za maisha haya...

Trip ya Egypt ni bonge la trip. Hapa nilipo naenjoy baadhi ya maeneo. 4 days now nipo Alexandria baada ya kutoka Cairo (Giza) kwenye pyramids.
Kama mtafanikiwa msiache kufika Alexandria . Kuna vivutio vingi sana. Wish u all the best katika hiyo trip . sema ndo hivo umri ndo huooo next week navuka kigezo
 
Hayaaaaa.. wale wa lushoto fuso za makebich zipo k.koo na ushirombo fuso za maparach zipo bugurun, chocho kwa chocho nipo hapa ukiwa interested ni pm, nauli nyonga zako tuu, nahc tumeelewana maana shughuri ya tandamo/fuso barabaran unaijua, chakula njian msihofu hayo hayo maparachichi yatatufkisha destination
 
Kwa hela IPI ndugu yangu... Labda nipate offer ntaenda hata mbinguni wakitaka.
Tiket za huko zinapatkana Lumumba dada yang ni wewe tu kuamua mda gan, ukiwa tayar nishtue yan chap unakula ugali Yuda sahan moja, mjulishe na Shunie kama yupo tayar ili usiwe mpweke
 
Ni wazo zuri sana. Kwa wenye hobby ya kusafiri tunakuelewa. Huwa napanga na jamaa zangu kusafiri by road around East Africa ila hatujafanikiwa hata mara moja. Najua sababu wengi wa kundi langu tumeshakua watu wazima sasa (above 35) so majukumu ya kifamilia na kazini yanatubana. Wengine wanatu-discourage kuwa hizo safari ni ufuska tu (mpango kazi wa Kigali ulihusishwa sana na totoz) hivyo watu wanakufa moyo/nafsi zinawasuta.
Ningependa sana kujoin group yako. Ila safari ya Egpyt nimeshaifanya. Sioni sababu ya kurudi tena hapo wakati kuna sehemu kibao za kwenda sijaenda. Nitajiunga nawe/nanyi siku ya kwenda elsewhere in Africa, Middle East na Asia (Ulaya na Amerika inabidi mfuko uwe mzuri sana). Kama ni mpenzi wa mpira pia, ikitokea Taifa Starz tunaenda Cameroon next year (nina imani kwelikweli mwakani Mungu ibariki Tanzania itapigwa AFCON) basi organise hii safari kijana wangu. Nitakua tayari 100%....yaani siku tunafuzu tu naanza kutenga fungu la safari.
Mkuu unaonaje ukaaja kundini na tukashare mawazo???
 
Uzi unafundisha sana. Tunahitaji kurelax na hizi trips kutoa stress za maisha haya...

Trip ya Egypt ni bonge la trip. Hapa nilipo naenjoy baadhi ya maeneo. 4 days now nipo Alexandria baada ya kutoka Cairo (Giza) kwenye pyramids.
Kama mtafanikiwa msiache kufika Alexandria . Kuna vivutio vingi sana. Wish u all the best katika hiyo trip . sema ndo hivo umri ndo huooo next week navuka kigezo
Pamoja sana mkuu
 
Wengine ukiondoka nao hawarudi,mi mmoja wapo,nina mpango wa kuzamia sycheles,mauritius,mayote au moroco,mkiwa na trip za huko mnishtue.
 
wazo zuri ila inategemea mtaenda miji ipi na ipi,misri msiache kwenda shamur sheik,na mtafute hotel za dola 30 kwa siku zipo nyingi mno na mtembelee ufukwe wa bahari zenye hotel nyingi kama ghazalla na mtaona mawakala wa wa excursion nyingi mno hapo na mnaweza kwenda luxor,cairo na mtafaidi sana tu na hatavmkitaka mademu wapo mie ntakupeni simu ya mawakala wa mademu
 
H
wazo zuri ila inategemea mtaenda miji ipi na ipi,misri msiache kwenda shamur sheik,na mtafute hotel za dola 30 kwa siku zipo nyingi mno na mtembelee ufukwe wa bahari zenye hotel nyingi kama ghazalla na mtaona mawakala wa wa excursion nyingi mno hapo na mnaweza kwenda luxor,cairo na mtafaidi sana tu na hatavmkitaka mademu wapo mie ntakupeni simu ya mawakala wa mademu
ahahahahahahahahah! yaani wewe jamaa, umeamua kuanza kusaidia halafu mwishowe unataka kuangamiza
 
Huwezi elewa utamu wa travelling if you do not do it as a hobby. Travelling is a drug, ni ugonjwa aisee.

Kusafiri kuna utamu wake. You learn alot, meet diverse people, try out different meals.

Someday nitarudia kiguu na njia. See the world,
get lost in the dazzling night lights,get high on the air from different altitudes......

Kwa sasa acha niendelee kulea cubs wangu. Bado wadogo siwezi safiri na amani.
 
Back
Top Bottom