NdioUnajiramba mamaa??
Nakubali kabisa mkuu$2000 ni sawa na kujiwekea $5.5 kwa siku kwa mwaka mzima. Kusafiri ni kujipanga tu wala sio utajiri.
Mpaka sasa kuna wadau wanne ndio wamejitokeza. Inaonyesha vyuma vimewakazia kweli kweliMkuu uko pm kuna watu? Kipengere cha gharama kisingekuwepo ungefurahi mwenyewe.😀😀😀😀😀😀😀
Karibu sana mkuuHii idea ni nzuri sana. Im interested.
You are the traveller mkuu. HongeraHii idea ya Travelling ni nzuri sana Mkuu. Im interested. Join me please. Last year I went to SA for 3 months (Pretoria and Joberg), then Lesotho (Maseru) because its near to SA, then Zimbabwe (Harare), Uganda (Kyotera, Masaka and Kampala) and Kenya (Nairobi, Naivasha, Machakos and Mombasa). This december im planning to visit China then Namibia and Zambia.
Marekani nakosaga Visa Mkuu.
Join me please
Mkuu kama ulivyosema Travelling is Cheap ila watu wengi wanadhani kusafiri ni gharama sana. Una enjoy sana. Katika kusafiri kwangu, Sitoisahau Border ya Zimbabwe na SA, Beit Bridge. Dah nili enjoy sana paleYou are the traveller mkuu. Hongera
Ulikwenda SA kwa gari??Mkuu kama ulivyosema Travelling is Cheap ila watu wengi wanadhani kusafiri ni gharama sana. Una enjoy sana. Katika kusafiri kwangu, Sitoisahau Border ya Zimbabwe na SA, Beit Bridge. Dah nili enjoy sana pale
Ahaaaa nilijua tuu, yaan from no where eti MTU aende kutembea? Akirudi atakula mchanga😁😁😁😁😁😁 unless uwalipie.Mpaka sasa kuna wadau wanne ndio wamejitokeza. Inaonyesha vyuma vimewakazia kweli kweli
Nilienda kwa Bus Mkuu, mpaka Harare kisha nikachukua Bus lingine mpaka Pretoria. Nilitumia Siku Tano kufika. Nauli yake kwa Bus, kutoka Ubungo mpaka SA ni kama Laki Mbili na Nusu Tu.Ulikwenda SA kwa gari??
Mdau, nimekwambia tayari tupo watu wanne tayari, remember we proposed only 8 people. Na hao ni watu serious, kuna waliokuja PM lakini uwezo mdogo wanahitaji kupigwa support which means the desire is there.Ahaaaa nilijua tuu, yaan from no where eti MTU aende kutembea? Akirudi atakula mchanga😁😁😁😁😁😁 unless uwalipie.
Inawezekana sio vyuma ila hawako interested na groups.Mpaka sasa kuna wadau wanne ndio wamejitokeza. Inaonyesha vyuma vimewakazia kweli kweli
Inawezekana mkuuInawezekana sio vyuma ila hawako interested na groups.
see?? It is very cheap. Cha kwanza kabisa, travelling iwe ni hobby kakoNilienda kwa Bus Mkuu, mpaka Harare kisha nikachukua Bus lingine mpaka Pretoria. Nilitumia Siku Tano kufika. Nauli yake kwa Bus, kutoka Ubungo mpaka SA ni kama Laki Mbili na Nusu Tu.
OK hii ni nzuri kwa wanandoa. Kila la kheriMdau, nimekwambia tayari tupo watu wanne tayari, remember we proposed only 8 people. Na hao ni watu serious, kuna waliokuja PM lakini uwezo mdogo wanahitaji kupigwa support which means the desire is there.
Mkuu Travelling ni sehemu ya kujifunza pia.see?? It is very cheap. Cha kwanza kabisa, travelling iwe ni hobby kako