Tayar nyie ni wawili hivyo tuje wanaume 3 na wakike 3 ili twende sana.
Mtaacha lini? umeona wapi mie nmetumia lugha ya malikia hapo, penda lugha yako acha bwebwe. nonsenseThreesome
Roadtrip: Nairobi to South Africa and BackThats possible too. Nimeona kuna wakenya walifanya 2010 kwenye world cup
Shhteam FC Goes to World Cup 2010Thats possible too. Nimeona kuna wakenya walifanya 2010 kwenye world cup
Ngoja basi nkusanye michango alafu nije muniongezeeLakini si nimesema its very cheap. Unajua kuna kutaka ukasaidiwa halafu kuna ile hali hata ambition huna. Hebu njoo kundini mamaaa
Nazichanga kakaSijakuona bibie
Hahahahahahhahahha! wazee majukumu yenu mengiUmri umeniponza, kwahiyo sie wazee ndio mmetunyanyapaa!!!
Karibu sanaaaaaaNgoja basi nkusanye michango alafu nije muniongezee
In Shaa Allah mamaaaNazichanga kaka
[emoji39][emoji39][emoji39]In Shaa Allah mamaaa
Kama una chura tutakuruhusuUmri umeniponza, kwahiyo sie wazee ndio mmetunyanyapaa!!!
Kishafika tanzaniaCheck out theroadchoseme.com jamaa ameendesha gari tokea europe through west africa, south africa na this month yupo bongo anaelekea egypt, ana diary yake kuhusu matukio ya kila sehemu alizopita, its very interesting...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] hakika babuWanawake wenye chura watapewa kipaumbele!
Kama chura ipo twende nitakulipia!
Ndio.Kishafika tanzania