Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
- Thread starter
- #41
HahahahahahhahahahahaYa kuchezea chezea tu na kupiga vimakofi vya hapa na pale,ina rahaa yake!
HahahahahahhahahahahaYa kuchezea chezea tu na kupiga vimakofi vya hapa na pale,ina rahaa yake!
Mkuu ndio utaishia hivyo hivyo watu wanafanya yaoHapa kuna watu wanatafutwa, believe me
I will be going to Comoro for a week next year. You can join us lakini kwa gharama zakoIm inspired! mi ningependa siku moja niende comoro au madagascar maana napasikia tu
Na hiyo inaitwa life with a purpose.Wazo zuri sana nmesafiri na watu wa South Africa, Kenya na raia wengine wa nchi za Africa Magharibi kwa vipindi tofauti.
Ni nzuri AJABU!
Zipo groups ama teams tembelea Instagram, ambazo pia zina organize safari hizi ulimwenguni kote kila mwaka.
Mkuu sisi si ni wabongo wenzako au???Lugha tu wajameni, kingereza cha nitupa kando
Aamyn brother, pamoja sana mkuuAliyeanzisha uzi huu abarikiwe na watu ipo siku mtakuja kumpongeza na wengine pia kuwa- inspired tokea hapa na kufanya vitu vikubwa.
Always mim naangaliaga vitu kwa side mbili...nimeona lakujifunza toka kwenye uzi huu.
Usijali brother, your time will come too na utaenjoy maishaMimi labda za hapa hapa kwa wale wenzangu na mie dola 1000 sio mchezo mkuu kaitaja kiuwepesi sana eti ndogo wengine hata ndotoni hatuioti
Safi sana mkuu, I am in the final preparation hapa. tomorrow mapema kabisa naingia Dar to catch my flight mida midaThe world is like a book, the people who don't travel read only one page..but the people who travel read the whole book.
Kesho nitakuwa na safari ya kuelekea Ethiopia kupitia Uganda, Kenya then Ethiopia via Marsabit border.. Nawahaidi zawadi ya picha murua sana kuanzia njiani hadi nitakapofika Sheba empire.
We were not born to pay rent and die.
Envié D'aventure.
Njoo PM pleaseNiweke kwenye list
Ila ujue nitazamia hukohuko
Mzee umewahi kusafiri nje ya Tanzania??Duu... we call de golden chance.
HahahahhahahahahahahahWakikuad unistue namie niadiwe lol
Bro Engineer kakimbia na wewe umekimbiaThe world is like a book, the people who don't travel read only one page..but the people who travel read the whole book.
Kesho nitakuwa na safari ya kuelekea Ethiopia kupitia Uganda, Kenya then Ethiopia via Marsabit border.. Nawahaidi zawadi ya picha murua sana kuanzia njiani hadi nitakapofika Sheba empire.
We were not born to pay rent and die.
Envié D'aventure.
Una chura eti? Nauli churaWakikuad unistue namie niadiwe lol
Simba ikifa, Yanga lazma iingie huzuni.Bro Engineer kakimbia na wewe umekimbia
Ha haa basi kwa kigezo hiko nimekosa maa... Wambie Mungu anawaona lakiniUna chura eti? Nauli chura