Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
NajaNjoo PM please
NajaNjoo PM please
ivi mwanamke akiwa na 30 ni mzee... labda sijaelewa vizuri hapoMzee umewahi kusafiri nje ya Tanzania??
Linalika lakini mkuuPapuchi bila chura ni sawa na pilau bila kachumbari!
Sijakuona bibieNaja
Lakini si nimesema its very cheap. Unajua kuna kutaka ukasaidiwa halafu kuna ile hali hata ambition huna. Hebu njoo kundini mamaaaWenye hela zao waende..ni exposure nzuri
Wengine bado wasaka tonge
Thats possible too. Nimeona kuna wakenya walifanya 2010 kwenye world cupsafi sana mkuu
nmepata idea ya road trip na private car to Cape Town sjui ata nianzie wapi
before I die lkn 😯😰
Linalika ila kwa shida mkuu!Linalika lakini mkuu
Mbona sijakuelewa mkuu???Naiona Eight some kwa mbalii
Hahahahahaahahah! Jamaa yule karogwa nauli sio chura tena mwambie na valentineUna chura eti? Nauli chura
Thanks sana brotherIts nice brothers! Mie bado nina uwezo wa kusafiri miji ya ndani ya tz ! Hopefully nitaweza soon kuanza kuingia kwa majirani ! Gob blesa
Mkuu nipo mji mmoja hivi unaitwa Johor Bahru nchini Malaysia, kuna kitu kidogo tu nimejifunzza lakini cha maana sana. sasa najiuliza wale wabunge wanaokuja huku ziara za mafunzo wanakuja kufanya nini??Honestly napenda sana kujifunza culture tofauti..safari zinampa mtu exposure ya kutosha adventure ya kutosha pamoja na kutengeneza network na watu tofauti...ingawa zinahitaji mfuko uwe umetuna kidogo..
Usiwasikilize bestie, nauli sio chura bhana.Ha haa basi kwa kigezo hiko nimekosa maa... Wambie Mungu anawaona lakini
Kweli mkuu, nakubali haswaLinalika ila kwa shida mkuu!
Kumbe bibie??? kwanza sorry aisee nlidhani ni ME. Pili hiyo mzee sikumaanisha an old man, ni zile slang zetu si unajua. Halafu why hutaki kusafiri jamani??ivi mwanamke akiwa na 30 ni mzee... labda sijaelewa vizuri hapo
ivi mwanamke akiwa na 30 ni mzee... labda sijaelewa vizuri hapo
Unasema umeoa....then unaandaa trip na washkaji wa chuo....bachelor trip.....hizi ni chai za uckuSi tatizo kabisa hilo bibie, sometimes hataki kusafiri na hata nkisafiri nae basi excursions hataki kufanya anataka kukaa ndani. Mke wangu ni mtu wa kipekee katika dunia hii, ni wale wanawake ambao hawana chembe ya matamanio ya dunia, ajabu???
One of the excursion tutakayofanya tukiwa Thailand this time ni "Thailand night life" ameshasema kabisa yeye haendi sisi tuende tutakako. Nonetheless, nategemea kwenda nae Comoro March next year na nimeshamtaarifu naandaa trip na washkaji zangu wa chuo May 2019 bachelor trip (nimedanganya) alichonijibu ni "Safari njema" iwe washkaji tu but me & you know how it works,right???
Huyu ni mwanafunzi wa chuoSafi sana mkuu, nimerudi from Kenya on 26th September nlikaa 2 nights 3 days. Inaweza kuwa rahisi kupitia Tanga kama upo Dar maana Dar to Mombasa nadhani ni TZS 25,000-30,000 halafu Mombasa to Nairobi ukisafiri na first class bus ni 40,000. Pale Nairobi mimi nlilala Machakos nyumba nzuri tu and I paid TZS30,000 kwa siku kwa hiyo ilikuwa jumla 60,000 kwa night mbili. Kenya is visa-free to Tanzanian (s) kwa hiyo hutokuwa na gharama za visa. Milo ni kama bongo tu na I would suggest upae night 3 Nairobi na night 2 Mombasa.
Go for it aisee