Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

kinachonishangaza humu ni kwamba sijui ID ipi ya kiume au ya kike au ya shemale maana humu bwana panashangaza sana ndo maana naogopaga kuchart na mtu kwa sababu unaweza ukafall in love kwa mwanaume mwenzio au popo bawa
 
Sema kuna watu wamekutana humu wakatamaniana mpaka leo wako wote.
There is no any special venue kwa ajili ya kukutania mkalane ujue.
Hakuna kwakweli lkn usiamini ndani ya wiki moja kuwa huyu ni wangu, ama nimeshamaliza kazi mademu wote dizaini moja, nishampata kiulaini!
 
haa aa sasa hapo ndio wengi tuna differ namna tunavyo view hayo maisha... btw kwani ukichukulia maisha serious huwezi ku enjoy
Ukiyachukulia too seriously huwezi kuenjoy, nataka kucheka tu, natumia lugha ya ulimi wewe waingia mkenge
 
Sisi wazee tunasema.......
Hauku mpenda au haku kuvutia.
Ivo tu [emoji135] [emoji135]
 
Sema kuna watu wamekutana humu wakatamaniana mpaka leo wako wote.
There is no any special venue kwa ajili ya kukutania mkalane ujue.
haaaaaa wewe hujakutana na mtu huku.... wengine tuko deep sasa hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu anatamani kupendwa! Raha kukitokea mkanganyiko wa aina hiyo, ni kuongea ukweli, wewe ni rafiki yangu, naheshimu hilo na kukipenda hivyo, si zaidi ya hapo.
ila nionavyo mimi japo haiwezekani kuwa anae kupenda ndo umpende....ila ipo tofauti yani mara nyingi unae mpenda huwa akupendi na anaekupenda huwa umpendi.....dah mapenzi haya hayana tafsri kabisa.
 
tatizo mambo yakishaenda vibaya ndio mtu analeta malalamiko huku watu wajadili na watoe hukumu wawezavyo kwa maneno yao
 
tatizo mambo yakishaenda vibaya ndio mtu analeta malalamiko huku watu wajadili na watoe hukumu wawezavyo kwa maneno yao
ingekua vizuri wakawa wanaelezea pia wanapofurahi kabla hayajaenda wrong
tatizo mambo yakishaenda vibaya ndio mtu analeta malalamiko huku watu wajadili na watoe hukumu wawezavyo kwa maneno yao
ingekua vizuri wakawa wanaelezea pia wanapofurahi kabla hayajaenda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…