Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 839
- 1,031
Kumbee? Yawezekana aiseePengine huyo jamaa uliyekua na bifu nae wala hakua kamla huyo demu,huenda nae alikua anaongopa tu kama wewe,au ilitumika kama silaha ya kukutia maumivu coz washkaji zako walijua ni demu wako tayari,
Uliamini kirahisi sana kua demu kaliwa.