Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,160
- 72,200
acha tu mkuuHuyo alikutafuna mkuu!
acha tu mkuuHuyo alikutafuna mkuu!
kwenye Maromance mkuu kweli mapenzi upofu na ukiziwi, niling'atwa ila maumivu sikuyasikia kwa muda huohahaha ilikuwaje mkuu?
Wanafanya, ila kumbuka hiki kitendo ni cha siri ndio maana huwa hatufanyi hadharani, sasa mambo ya sirini kuyaleta hadharani ni aibu sana.Kwani hao wanaokuona nao hawafanyagi tabia mbaya??
hapana mkuu i meant, ile comment yako kam umeizidisha chumvi,lovebite ya kwababu!!! Si mvhezo
Ndio hivyo yaan mambo ya tabia mbaya.Hahaha nmecheka kwa sauti umefanya matusi lol
Kibaya zaidi sina mpango wa kubeba mtu Leo. Bakisha nguvu ya kutembea mwenyewe

kweli hahahaWanafanya, ila kumbuka hiki kitendo ni cha siri ndio maana huwa hatufanyi hadharani, sasa mambo ya sirini kuyaleta hadharani ni aibu sana.
we jovitha wewe,malaika wanakuona ujue
huyo labda alikuwa na njaa
![]()
kweli tena sitaniii, mwanaume yule alikuwa kibokooohahah atii matusi. Unapigwa lovebite la tumbo mbona fresh tuuMie sipendi hayo maalama jamani cjui ni ushamba wangu au vipi, yaan ukishawekewa hilo lialama huwezi kuwa comfortable sehemu yoyote labda ujitoe ufahamu tuu. Kila mtu akikuona anakuhisia utakuwa umefanya matusi.