Mara ya kwanza kuwekwa lovebites

Mara ya kwanza kuwekwa lovebites

Me sipendi jamaan hiko kitu halaf kutokana na rangi yangu inaonekana sana mpaka kero unakuwa unajishtukia tu
Yaan na hiyo rangi yako ya asili,wewe right candidate
 
Lol mlale salama salmin, fanyeni kung'atana mpige picha mzilete hapa
 
Wachagga ninweupe huwa wanawekana lovebite ila wazaramo wenzangu na wasukuma sisi weusi kama mkaa hata haionekani alama
 
Mie sipendi hayo maalama jamani cjui ni ushamba wangu au vipi, yaan ukishawekewa hilo lialama huwezi kuwa comfortable sehemu yoyote labda ujitoe ufahamu tuu. Kila mtu akikuona anakuhisia utakuwa umefanya matusi .
hahah atii matusi. Unapigwa lovebite la tumbo mbona fresh tuu
 
Matusi kama hujaolewa,Ila mi mke wangu m'bunge na nikimfanya namuweka lovebite,wala hana shida
 
Kwa bahati mbaya sijawahi kumtoa demu kitandani bila hiyo lovebity

Kazi siku moja niliwala madem watatu kwa wiki moja na wote walikuwa waimba kwaya walipokuwa kwaya mmoja akamwona nayo mwenzake nae kumbe wamemwona nilikuwa kzi kwelikweli
 
Back
Top Bottom