Mara ya kwanza kuwekwa lovebites

Mara ya kwanza kuwekwa lovebites

Sijawahi kupenda hiyo kitu maishani mwangu, nafurahi mm mweusi kwa hyo hata ikitokea akafanya bidii hazitaonekana
ushawahi kumweka mtu? Hizo zina utaalam wake hata kama mweusi itaonekana tuu
 
Acha kabisa kuna ya kuvuta nywele pia. Niliwahi kuvutwa afro langu hadi nikaogopa na kudhani naweza kuachwa kinyonyoke. Nilidhani binti kapatwa na kifafa kumbe mautamu ndiyo yamemzidia anafika kule kuitwako kilele cha mlima wetu maarufu nchini.
Kuta 4 zinaficha mengi sana,hakika tungeshuhudia uwendazimu wa kila mmoja wetu anapokuwa ktk ktk kile kitendo naamin kila mmoja angemuona mwenziwe wa ajabu huku barabarani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom