Ndio hapo sasa ili watu wawaone kuwa mmeng'atanaHayo mapenzi gani ya kung'atana!!
Penasol wine uuuuhUnatumia kinywaji gani?🙄
Mwenzako hata sijui wanawekeanajeushawahi kumweka mtu? Hizo zina utaalam wake hata kama mweusi itaonekana tuu
Mnawekana ili iwe nini?kwani unamng'ata basi kuna namna yake,Si kila mtu ni mjuvi wa hii sanaa![]()
Lovebites kwa sisi weusi haituhusu sana.


haituhusu sana kwa kweli... Wacha tuone wahanga watasema niniChonde chonde usije ukashindwa kutembea.Penasol wine uuuuh
Eid nlitoka kuekwa ayo maalama na binti flan hivi hayajaisha mpk leo nalazimika kufunga shati mpaka vishikizo vya juu kama mnyasa





Hahaha maana si kwa kulegeza miguuChonde chonde usije ukashindwa kutembea.
huyo alikuwa vampire kakunyonya damuEid nlitoka kuekwa ayo maalama na binti flan hivi hayajaisha mpk leo nalazimika kufunga shati mpaka vishikizo vya juu kama mnyasa

Utundu ktk mapenzi huwa hauna mipaka,lovebites zinasisimua sana ukipata mjuaji kiasi kwamba huwezi jua kama umewekwa kwa ile misisimuko. Ishu inakuja baade ndio wastuka,lakini wengi tunang`atana kama sio kuumanaMnawekana ili iweje sasa!!

alikuwa anatafuta nini huko nyuma Dada??Hahaaa mi niliwahi ng'atwa tako looh sitakaa nimsahau yule mnyamwezi
Kwani hao wanaokuona nao hawafanyagi tabia mbaya??Mie sipendi hayo maalama jamani cjui ni ushamba wangu au vipi, yaan ukishawekewa hilo lialama huwezi kuwa comfortable sehemu yoyote labda ujitoe ufahamu tuu. Kila mtu akikuona anakuhisia utakuwa umefanya matusi.
Hahaha nmecheka kwa sauti umefanya matusi lolMie sipendi hayo maalama jamani cjui ni ushamba wangu au vipi, yaan ukishawekewa hilo lialama huwezi kuwa comfortable sehemu yoyote labda ujitoe ufahamu tuu. Kila mtu akikuona anakuhisia utakuwa umefanya matusi.
Kibaya zaidi sina mpango wa kubeba mtu Leo. Bakisha nguvu ya kutembea mwenyeweHahaha maana si kwa kulegeza miguu