Mara ya kwanza kupita rough road ilikuaje?

Mara ya kwanza kupita rough road ilikuaje?

Aisee mimi sitosahau, yule dereva sijui alikua kaweka mafuta gani yaani, na yeye ndie alikomalia tupite huko. Sababu ile tumeianza tu rough road pembeni nikaona tope la manjano na harufu ile ikanishinda kabisa. Nakumbuka nilitapika dirishani na sikua na hamu ya kula wala kupita road yoyote tena kwa mwezi mmoja hata yenye lami.

Vp nyie wakuu, ilikuaje kupita rough road kwa mara ya kwanza?
Duh!
 
Watu wengi wanavuruga hii road ila tatizo wengi wanazuga eti hawataki.
Binafsi nishapita rough na dereva mwenyewe ndo alipendekeza tena kwa vitendo.
Tatizo likaje kwenye speed tu,mimi sikujua kama rough road inahitaji uende taratiibuu.
Nenda Zenji kule afu uwe na pesa na demu wa kizenji akajua unazo walaa hata huambiwi pita huku,ni kuelekezewa upande tuu.
Kuta za nyumba zina sina siri,ukiamua kupita pita tuu mambo ya dhambi tumuachie shetani.
 
Aisee mimi sitosahau, yule dereva sijui alikua kaweka mafuta gani yaani, na yeye ndie alikomalia tupite huko. Sababu ile tumeianza tu rough road pembeni nikaona tope la manjano na harufu ile ikanishinda kabisa. Nakumbuka nilitapika dirishani na sikua na hamu ya kula wala kupita road yoyote tena kwa mwezi mmoja hata yenye lami.

Vp nyie wakuu, ilikuaje kupita rough road kwa mara ya kwanza?
Acheni uchafu huo, futa huu uzi mnafundisha jamii mambo yenye madhara Moderator
 
Back
Top Bottom